computerarsenal
JF-Expert Member
- Jan 27, 2020
- 3,479
- 6,039
Hapa sasa nimekuelewa Mkuu nadhani hatarudia tena hii mistake si unaona kwenye official page ya Arsenal Timber kawa Man of the match!Lengo la kocha nadhani ilikua ni kuwapa dakika wengine ambao msimu uliopita hawakupata sana nafasi na ndicho kilichotucost baadhi ya wachezaji hawakua na match fitness, btw it was just another preseason game