Flano
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 5,842
- 16,292
Unajua kwa Ulaya Man Utd inajulikana ndio timu tajiri kuliko zote, sasa suala la tajiri kununua bidhaa aliyoipenda kwa bei ya juu sio jambo la kushangaza kwa matajiri wenzake, Ila maskini wa Tandale akisikia Bakhresa kanunua Supermarket fungu mbili za mchicha kwa 50,000/- lazima povu liwe jingi, hio 50,000/- itamuuma na kumsokota roho utafikiri imetoka mfukoni mwake.Wewe jamaa muhuni Sana ,
Haya nakupa hii list ya Sajili za kitapeli kuwa kutokea
Sky sport wanaripoti, Manjesta na Chelsea ndio mnaongoza kwa Sajili za kitapeli episodeView attachment 2710976
Matajiri kupigwa ndio sehemu ya matumizi ya utajiri wake kijana hilo lisikuume sana.

