Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Wewe jamaa muhuni Sana ,

Haya nakupa hii list ya Sajili za kitapeli kuwa kutokea

Sky sport wanaripoti, Manjesta na Chelsea ndio mnaongoza kwa Sajili za kitapeli episodeView attachment 2710976
Unajua kwa Ulaya Man Utd inajulikana ndio timu tajiri kuliko zote, sasa suala la tajiri kununua bidhaa aliyoipenda kwa bei ya juu sio jambo la kushangaza kwa matajiri wenzake, Ila maskini wa Tandale akisikia Bakhresa kanunua Supermarket fungu mbili za mchicha kwa 50,000/- lazima povu liwe jingi, hio 50,000/- itamuuma na kumsokota roho utafikiri imetoka mfukoni mwake.
Matajiri kupigwa ndio sehemu ya matumizi ya utajiri wake kijana hilo lisikuume sana.
 
Ila kili za mashabiki wa Arsenyo banaaaa
 
Lengo la kocha nadhani ilikua ni kuwapa dakika wengine ambao msimu uliopita hawakupata sana nafasi na ndicho kilichotucost baadhi ya wachezaji hawakua na match fitness, btw it was just another preseason game
Hapa sasa nimekuelewa Mkuu nadhani hatarudia tena hii mistake si unaona kwenye official page ya Arsenal Timber kawa Man of the match!
 
Mwanetu yule , soon tutaanza kumfukuzia ,Arsenal ya Sasa mashabiki wawe na utulivu, wasitake tusajili ilimradi ni CF,

Yaan kuwafunga manjesta, chelkenge, tunahitaji lazima awepo CF?

January lazima tutaanza mipango ya kushusha CF wa maana , Kama hatutasajili CF Sasa

Na habari njema Jesus alikuwepo Jana ,anasema yupo vzr anarud sio muda
Sio kweli bhn,
kumfunga Omama au Kepa ata sholo mwamba anatosha sana pale mbele
 
Unajua kwa Ulaya Man Utd inajulikana ndio timu tajiri kuliko zote, sasa suala la tajiri kununua bidhaa aliyoipenda kwa bei ya juu sio jambo la kushangaza kwa matajiri wenzake, Ila maskini wa Tandale akisikia Bakhresa kanunua Supermarket fungu mbili za mchicha kwa 50,000/- lazima povu liwe jingi, hio 50,000/- itamuuma na kumsokota roho utafikiri imetoka mfukoni mwake.
Matajiri kupigwa ndio sehemu ya matumizi ya utajiri wake kijana hilo lisikuume sana.
Yaan wewe jamaa hujawahi kukosa majibu

Kwahiyo unafurahia kabisa Chelsea kuwatapeli mount

Mount Mimi namuona Kama veteran aliyemaliza mpira miaka miwili iliyopita

A Dutch David Moyes Erik 7 hag anamsajili mount ambaye ana Mwaka na nusu ana goli 1 na assist 1, eti ambadilishe ,

Wakati Kuna wachezaj wengi wazuri hapo manjesta kafeli kuwasaidia , mpaka hapo nikajua mount anaenda kuwa Moja ya Sajili za kitapeli episode 1,

Kama Kuna mchezaji Sina Shaka kabisa mmetapeliwa Basi ni mount .
 
Yaan wewe jamaa hujawahi kukosa majibu

Kwahiyo unafurahia kabisa Chelsea kuwatapeli mount

Mount Mimi namuona Kama veteran aliyemaliza mpira miaka miwili iliyopita

A Dutch David Moyes Erik 7 hag anamsajili mount ambaye ana Mwaka na nusu ana goli 1 na assist 1, eti ambadilishe ,

Wakati Kuna wachezaj wengi wazuri hapo manjesta kafeli kuwasaidia , mpaka hapo nikajua mount anaenda kuwa Moja ya Sajili za kitapeli episode 1,

Kama Kuna mchezaji Sina Shaka kabisa mmetapeliwa Basi ni mount .
Unapozungumzia sajili za kitapeli msimu huu naomba usiwasahau Mchele na Kai Harvez kwenye orodha yako.
 
Unapozungumzia sajili za kitapeli msimu huu naomba usiwasahau Mchele na Kai Harvez kwenye orodha yako.
Hujaona kazi zao Jana asee

Sisi kupigwa ngumu ,hatusajili ovyo ovyo

Angalia 7hag anamsajili mount akacheze hivi

Mount casemiro Bruno

Hiki kiungo hakina Controller wa mechi , Casemiro ni mkabaji tu ,akiwa na mpira Kama ana siafu miguuni ,Bruno ndiye mchezaji mzuri hapo

Kwa staili hiyo ni rahisi mchezaji kufeli
 
Ndiyo...wa kawaida sana....asipochezeshwa na viungo ni mzururaji uwanjani....hirizi yake ni De Bruyne...leo umeona kafichwa tuli akawa anakimbiakimbia tu....Sasa ww Baki na kigenge chako cha Newcastle msimu huu na mkakati wenu wa kupoteza mda safari hii utawatokea puani....nilisema na ntasema tena....top 4 ya mwaka jana ndo mwanzo na mwsho...yaani msahau kuipata tena..mrudi nafasi zenu za 6 kushuka chini huko

Kuchukua hio shilingi 20 isikufanye uone kama umemaliza kila kitu hio mbona si mara ya kwanza kuchukua ndo kombe lenu hilo, hakuna timu isiyopoteza muda unakumbuka game yenu na liverpool mlivyopoteza muda na bado mkakosa ushindi.

Newcastle ni title contender usifananishe na nyinyi bottlers. Sisi game zetu tano tu tukishinda zote basii ndo mjue mchezo umeisha bahati nzuri tumepewa timu za maana mapema.

Arsenal unauchukulia ubingwa sijuii kama nini yaani huna CF then unawaza ubingwa kweli? Nakuambia tunza haya maneno wewe humalizi juu ya Aston villa .
 
Kuchukua hio shilingi 20 isikufanye uone kama umemaliza kila kitu hio mbona si mara ya kwanza kuchukua ndo kombe lenu hilo, hakuna timu isiyopoteza muda unakumbuka game yenu na liverpool mlivyopoteza muda na bado mkakosa ushindi.

Newcastle ni title contender usifananishe na nyinyi bottlers. Sisi game zetu tano tu tukishinda zote basii ndo mjue mchezo umeisha bahati nzuri tumepewa timu za maana mapema.

Arsenal unauchukulia ubingwa sijuii kama nini yaani huna CF then unawaza ubingwa kweli? Nakuambia tunza haya maneno wewe humalizi juu ya Aston villa .
Narudia tena...ww level zenu ni hao kina Aston villa na level zenu ni nafasi ya 6 kushuka chini....huna ubavu hata wa kwenda jino kwa jino na Tottenham tu...uje kutusumbua sisi...chezeni miaka kama 3 mzoeane hasa ndo mje kuanza kushindana na sisi ila kwa sasahv bado sana....top 4 ya mwaka jana ndo mwanzo na mwsho...na msimu huu mna points 6 zetu Sio 4 kama mwaka jana
 
Kuchukua hio shilingi 20 isikufanye uone kama umemaliza kila kitu hio mbona si mara ya kwanza kuchukua ndo kombe lenu hilo, hakuna timu isiyopoteza muda unakumbuka game yenu na liverpool mlivyopoteza muda na bado mkakosa ushindi.

Newcastle ni title contender usifananishe na nyinyi bottlers. Sisi game zetu tano tu tukishinda zote basii ndo mjue mchezo umeisha bahati nzuri tumepewa timu za maana mapema.

Arsenal unauchukulia ubingwa sijuii kama nini yaani huna CF then unawaza ubingwa kweli? Nakuambia tunza haya maneno wewe humalizi juu ya Aston villa .
Arsenyo kubeba hio shilingi 5 jana wanajiona tayari wameshakua mabingwa wa Epl, wamuulize Liverpool msimu ulioisha nae alichukua ngao kipi kimempata kwenye ligi.
1691409157285.jpg
 
Arsenyo kubeba hio shilingi 5 jana wanajiona tayari wameshakua mabingwa wa Epl, wamuulize Liverpool msimu ulioisha nae alichukua ngao kipi kimempata kwenye ligi. View attachment 2711010
Ya Liver sisi hayatuhusu....tunachojua sisi tumetwa community shield jana...hzo ngonjera zingine watani pelekeni huko....na tunachoelewa kingine kuna timu mechi ya nne ya ligi tunakutana nayo itupe points zetu 3 na magoli 3....hcho ndo tunachokijua sisi
 
Kudus to Brighton in doubt as player and club cant agree on a deal so far. Ajax want clarity on the matter in 48 hours

(@VI_nl )
 
Arsenyo kubeba hio shilingi 5 jana wanajiona tayari wameshakua mabingwa wa Epl, wamuulize Liverpool msimu ulioisha nae alichukua ngao kipi kimempata kwenye ligi. View attachment 2711010
Liverpool alijaza wazee kikos kizima ,ni wajinga tu waliokuwa wanaamini Liverpool angepigania ubingwa na Midfielders ina jumla ya umri miaka 130
 
Natamani KDB aumie kama miezi 6 awe bench ,then bernado silver aende barca ili mancity asitupe ushindani katika ligi .

still hata hilo likitokea bado kombe hamtachukua unajua hilo ishatokea kipindi kile na leicester city .
Man city kachukua kombe sio kisa kaifunga arsenal, Arsenal mmeshindwa kuchukua kombe si kisa mmefungwa na man city, game zilivyowakosesha ubingwa ni westham na soton
 
Back
Top Bottom