Franklin1902
JF-Expert Member
- Aug 1, 2018
- 2,241
- 4,876
Yan saiv hata ufanye sub mchezaj atoke anatembea au anajivuta chini Refa hata haangaiki na ww.. Mtakutana na furushi la dkk baada ya zile 90 za kawaida.Naomba kufahamishwa kw nini dk ziliongezwa 8 na mchezo haukusimama hata mara moja, na halafu mbona game limeenda dk. 100+
Leo porojo zinazopigwa jukwaa ili na wana Gunners ni unmatched....unaweza sema hii team kwny ligi hii itakua ni moto wa kuotea mbl.
Hongeren wazee wa kupress kwa juu.. Lkn kitendo hiki mlichokifny leo mtakuja kukijutia sana ligi ikianza



| Declan Rice on winning the Community Shield:
BREAKING