Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Naomba kufahamishwa kw nini dk ziliongezwa 8 na mchezo haukusimama hata mara moja, na halafu mbona game limeenda dk. 100+
Yan saiv hata ufanye sub mchezaj atoke anatembea au anajivuta chini Refa hata haangaiki na ww.. Mtakutana na furushi la dkk baada ya zile 90 za kawaida.

Leo porojo zinazopigwa jukwaa ili na wana Gunners ni unmatched....unaweza sema hii team kwny ligi hii itakua ni moto wa kuotea mbl.

Hongeren wazee wa kupress kwa juu.. Lkn kitendo hiki mlichokifny leo mtakuja kukijutia sana ligi ikianza
 
Naomba kufahamishwa kw nini dk ziliongezwa 8 na mchezo haukusimama hata mara moja, na halafu mbona game limeenda dk. 100+
Muda ulipotea ,na kwenye dakika 8 za nyongeza ,Partey na Mchezaji wa city waliumia ,zikaongezwa Tena

Nimeipenda hii Sheria kwa zile timu zinazopoteza muda Kama Newcastle ,Everton, manjesta Wana tabia hiyo ukiwapiga mbinyo ,wakaona Kuna upenyo wa sare
 
Naomba kufahamishwa kw nini dk ziliongezwa 8 na mchezo haukusimama hata mara moja, na halafu mbona game limeenda dk. 100+
Kuna sheria mpya 8 zimeamza kutumika leo Ulaya. Jaribu kuzifatilia naona uvivu kuziandika hapa.
Ya kwanza inahusu offside , ipo inayohusu kipa wakati wa penalti haruhusiwi kumbuhudhi mpiga penati kwa namna yoyote vile na nyingine pia fatilia utaziona.
Kuhusu swali lako la kuongezwa dakika 8 hiyo ni sheria mpya pia imeanza leo. Wameiga Qatar World cup 2022.
Fanya home work utaziona uzisome utaelewa.
 
Kanuni mpya....wame adopt kwny world cup....mda unopotea kwny kurusha mpira...kupiga faulo....kuanzisha mpira kwa makipa...unajumlishwa wte...then wanatupia midakika hyo....
Kwa hiyo kwnye dk8 za nyongeza zikaongezwa dk tena aisee, huyu refa aitwe apimwe mkojo.
Muda ulipotea ,na kwenye dakika 8 za nyongeza ,Partey na Mchezaji wa city waliumia ,zikaongezwa Tena

Nimeipenda hii Sheria kwa zile timu zinazopoteza muda Kama Newcastle ,Everton, manjesta Wana tabia hiyo ukiwapiga mbinyo ,wakaona Kuna upenyo wa sare
 
Umeangalia mpira au naongea na mtu anayeokoteza maneno vijiweni....hukuona Kyle Walker na Partey wakitibiwa pale chini kwa dk 3 nzima kipindi tyri mpira uko kwny dakika za nyongeza ...au huwa mnajitoa fyuzi muonekane mnajua kubishana tu....ww na kikundi chako mjiandae kuachia points 12 za awali kwa arsenal na man City kwa huu mpira ulochezwa leo....jengeni kikosi ndo mje kubwabwaja hmu ndani
Kwa hiyo kwnye dk8 za nyongeza zikaongezwa dk tena aisee, huyu refa aitwe apimwe mkojo.
 
Umeangalia mpira au naongea na mtu anayeokoteza maneno vijiweni....hukuona Kyle Walker na Partey wakitibiwa pale chini kwa dk 3 nzima kipindi tyri mpira uko kwny dakika za nyongeza ...au huwa mnajitoa fyuzi muonekane mnajua kubishana tu....ww na kikundi chako mjiandae kuachia points 12 za awali kwa arsenal na man City kwa huu mpira ulochezwa leo....jengeni kikosi ndo mje kubwabwaja hmu ndani
Njoo uchukue maua yako
 
Kinyonge wapi? Nyie bado ni wale wale. Kilichonifurahisha mchezaji wangu havertz hajaniprove wrong😁
Endeleeni kusajili, angalau muukaribie (siyo kuwa sawa) quality wa hii arsenal ya makombe, mana yake sioni timu ya kwenda toe to toe na hili chama
 
| Declan Rice on winning the Community Shield:

“I am buzzing, this is what I visioned when I joined. City gave us what we expected, but I am buzzing – so happy.

“You have to have the patience against them, you have to have mini games within the game against them like the manager said to us before.

“To win today, my first for the club. I feel I've grown a lot in the last three weeks. There's a lot of information to take in of what the manager wants.

“I'm eager to learn and keep improving. I'm sure we can achieve anything this season - we just need to remain focused.” [via @MirrorFootball] #afc
20230806_213424.jpg
 
HILI DILI LIKAMILIKE ,WAARABU WAPUSH ,MAANA KUNA WATU WANA MDOMO


BREAKING

Reliable sources in Saudi Arabia have said that Al-Ittihad are preparing a bid for Mohamed Salah.

The Egyptian talisman will earn £180m over two seasons. They are rumoured to be offering Liverpool £60m.
 
Kwamba halland ni mchezaji wa kawaida , hizi dharau nyingine mtazilipia tu
Ndiyo...wa kawaida sana....asipochezeshwa na viungo ni mzururaji uwanjani....hirizi yake ni De Bruyne...leo umeona kafichwa tuli akawa anakimbiakimbia tu....Sasa ww Baki na kigenge chako cha Newcastle msimu huu na mkakati wenu wa kupoteza mda safari hii utawatokea puani....nilisema na ntasema tena....top 4 ya mwaka jana ndo mwanzo na mwsho...yaani msahau kuipata tena..mrudi nafasi zenu za 6 kushuka chini huko
 
Ni vizuri FIFA wangepiga marufuku akili kisoda kama hizi kuchangia mada za mpira, huu ndio uhuru wa maoni kutema pumba unavyojisikia.
We na akili zako jaba unashabikia ASENYO ficha ujinga wako.
 
Back
Top Bottom