Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Nyota nzuri huone kana asubui.
IMG-20230806-WA0033.jpg
 
Hii habari kutoka kwa wasaudia nimeipenda naomba wapush zaidi , wahakikishe wanamuondoa pale maana ndio tumain lao limebaki hapo

BREAKING

Reliable sources in Saudi Arabia have said that Al-Ittihad are preparing a bid for Mohamed Salah.

The Egyptian talisman will earn £180m over two seasons. They are rumoured to be offering Liverpool £60m.
Habari njema sana kwetu, ila Liverpool sidhani kama wataikubali hiyo ofa.
 
EXC

Nottingham Forest have reached agreement with Arsenal to sign goalkeeper Matt Turner. The US international is scheduled to undergo #NFFC medical later today. #AFC working to finalise deal for David Raya from Brentford


@TheAthleticFC #BrentfordFC #USMNT
 
Kipindi wanatufunga sisi tukiwa dhaifu mbona wao walikuwa hawaombei tuwe strong.....Ubaya Ubaya tu...Kama waarabu wanamtaka Salah wamchukue haraka sana ..ikiwezekana Salah agome alazimishe kuondoka...Manyumbu yabaki hvihvi yasipate wachezaji wengine wa maana .....Chelsea wabaki na kikundi Chao cha ma Rasta hivihivi...Man City De Bruyne aumie mwaka mzima...ikiwezekana na Rodri naye aumie mda mrefu...

Natamani KDB aumie kama miezi 6 awe bench ,then bernado silver aende barca ili mancity asitupe ushindani katika ligi .
 
Huyu injury prone Kama ni kweli Bora imekataliwa

| Arsenal make a very big offer to FC Barcelona for Ansu Fati, but he rejected it immediately. He will stay at the club.

@sanantheone
 
Ivany Toney au Ivan Ferguson wa Brighton nafikiri one day watahusika pale Emirates

Binafsi natamani sanaa Toney aje pale atafiti vzr Sana.,

Kocha wa Brentford mwaka Jana alisema Toney watamuuza £100m ,

He needs us and We need Him.
Nakumbuka kauli yake ya mwaka juzi wakati wanapanda daraja alisema hili Arsenal ashinde ubingwa inabid wawe na striker kama yeye, yan wawe nae yeye.
 
Remove FA cups and Community Shield cups and Arsenal will remain a trophyless club since 2004.


Wenger orphans kwaiyo haya ndo yamebaki ndo makombe yenu.

Buree kabisa.View attachment 2710808
Community shield hua haihesabiki kua ni kombe, lile ni sinia tu kama masinia mengine ya kwenye shughuli.
Arsenyo kabati lao la makombe lina masinia mengi kuliko idadi ya makombe, pia makombe ya Emirates na FA ndio yanafatia kwa wingi kwenye kujaza kabati lao.
Genious Pep huyu hapa anaelezea kuhusu sinia la ubwabwa walilo kabidhiwa Arsenyo jana



# Ngao sio Kombe

IMG-20230806-WA0124.jpg
 
Community shield hua haihesabiki kua ni kombe, lile ni sinia tu kama masinia mengine ya kwenye shughuli.
Arsenyo kabati lao la makombe lina masinia mengi kuliko idadi ya makombe, pia makombe ya Emirates na FA ndio yanafatia kwa wingi kwenye kujaza kabati lao.
Genious Pep huyu hapa anaelezea kuhusu sinia la ubwabwa walilo kabidhiwa Arsenyo janaView attachment 2710867
Mkishinda nyie ni makombe ,Tukishinda Arsenal sio makombe

Niwekee mataji ya Erevedise na Bundesliga hapa

20230806_205757.jpg
20230806_222339.jpg
 
Nakumbuka kauli yake ya mwaka juzi wakati wanapanda daraja alisema hili Arsenal ashinde ubingwa inabid wawe na striker kama yeye, yan wawe nae yeye.
Mwanetu yule , soon tutaanza kumfukuzia ,Arsenal ya Sasa mashabiki wawe na utulivu, wasitake tusajili ilimradi ni CF,

Yaan kuwafunga manjesta, chelkenge, tunahitaji lazima awepo CF?

January lazima tutaanza mipango ya kushusha CF wa maana , Kama hatutasajili CF Sasa

Na habari njema Jesus alikuwepo Jana ,anasema yupo vzr anarud sio muda
 
DAVID SEAMAN AMEZUNGUMZIA UJIO WA DAVID RAYA


Itamfanya Ramsdale kuwa kipa bora!"

“Arsenal ililipa pesa nyingi sana kwa Richard Wright nikiwa kipa no.1.

Ilinifanya kuwa bora zaidi.”

David Seaman anaeleza kwa nini kumsajili Raya kwa Arsenal itakuwa nzuri kwa Ramsdale.

 
Mkishinda nyie ni makombe ,Tukishinda Arsenal sio makombe

Niwekee mataji ya Erevedise na Bundesliga hapa

View attachment 2710868View attachment 2710869
Msimu ulioisha Liverpool alishinda hilo sinia na kwa kutambua kua hilo ni kama bonanza tu la kufunguliwa kwa pazia la ligi wala hata hawakushangilia, sanasana waliishia kusikitika tu kwa kujua baada ya kupewa hilo sinia litawapata jambo na kweli limewapata.

Hivi kwani sisi na nyinyi lini, naona kama kelele zimekua nyingi humu.
Uganda mashabiki wa Arsenyo wameandamana tena kusherehekea timu yao kubeba ngao ya hisani
 
Msimu ulioisha Liverpool alishinda hilo sinia na kwa kutambua kua hilo ni kama bonanza tu la kufunguliwa kwa pazia la ligi wala hata hawakushangilia, sanasana waliishia kusikitika tu kwa kujua baada ya kupewa hilo sinia litawapata jambo na kweli limewapata.

Hivi kwani sisi na nyinyi lini, naona kama kelele zimekua nyingi humu.
Uganda mashabiki wa Arsenyo wameandamana tena kusherehekea timu yao kubeba ngao ya hisani
Walishangilia sana ,Leta picha hapa

Liverpool mwaka Jana mlikuwa mnawapamba ,Mimi binafsi ukitaka naku quote comment yangu nilisema tofauti wakati wengi mkidai watapigania ubingwa ,Mimi niliwatoa ,

Kikosi Chao kilijaa wazee wakutosha , Midfielders wao umri wao jumla ilikuwa miaka 120+

Backline Yao VVD,matip ,Robertson umri miaka 100+
 
Community shield hua haihesabiki kua ni kombe, lile ni sinia tu kama masinia mengine ya kwenye shughuli.
Arsenyo kabati lao la makombe lina masinia mengi kuliko idadi ya makombe, pia makombe ya Emirates na FA ndio yanafatia kwa wingi kwenye kujaza kabati lao.
Genious Pep huyu hapa anaelezea kuhusu sinia la ubwabwa walilo kabidhiwa Arsenyo janaView attachment 2710867
Walipoanza kufunga goli wao alishangilia kama kashinda kombe la Dunia...Maneno ya mkosaji hayo....Guardiola ni attention seeker....mwaka huu unganeni naye tena kutuombea njaa....na asijidanganye tukafungua gepu la point nane kama mwaka jana....shughuli yake itakuwa imeishia hapo
 
Back
Top Bottom