Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Nyie mnaforce mpaka muingie kwenye 18 ndio mfunge, Onana ili umfunge unatakiwa walau upige shuti katikati ya uwanja, je nyinyi mnao wachezaje hao?
Huyo pazia wewe subiri, umeona kipa wa city alikuwa anacheza Kama onana ,

Kai kazi yake ni kupress ,halafu viungo wenu ndio kina mount mabeki wale kina dalot
 
|| Forest have reached an agreement with Arsenal to sign Matt Turner. The player is scheduled to undergo a medical today [Via - @David_Ornstein].
 
Liverpool anamjulia sana tu City na anamfunga mara kibao. Kwake halikuwa jambo jipya. Sisi tunamuona City kama kikwazo pekee kwetu kubeba ligi na ametusumbua miaka nenda rudi. Tunachukulia kila tunapomfunga, haswa Kwa style yetu ya uchezaji kama ishara kuwa tunaanza kumkaribia na kummudu. Huu ushindi kwetu ni 'symbolic' zaidi naona
Arsenal fans bwana Kwaiyo mmesaau kuwa hata msimu wa 2020 mlimfunga man City kwenye ngao ya jamii icho sio kipimo Cha nyinyi kufanya vizuri kabisa.

Nyie kipimo chenu ni ligi kuanza tu tutajua Wenger orphans ni ile ile au Kuna Jambo jipya.
 
N
Huyu huyu spurs aliyekula 5 ndani ya dk 20 za kwanza au yupi? Kafa nje ndani last season , msimu wa kwanza tu eddie howe kaingia uefa unahisi kabahatisha sio? We are there to stay mzee.

Aston villa last season umemfunga kwa kubahatisha tu , kaangalie highlights tena za Newcastle vs arsenal then uje uone ushindi ule ulikua ni upepo tu ambao mpaka sasa umekata . Wewe top 4 pale ndo unaondoka nafasi anakaa aston villa.
Narudia tena...huna uwezo wa kwenda toe to toe na top sides yeyote pale EPL...huna...mwaka jana ile bahati ndo imeshapita haitakaa ijirudie tena....kwni Eddie Howe kuingia UEFA ni ishu...Leicester kapanda ligi kabeba kombe la EPL na alienda UEFA vilevile...kwhyo siyo story...ww level zako ni kina Brentford huko....ila pale juu huwezi mtoa arsenal...man shitty...Manyumbu...Chelkenge Wala Liverkuku hata Tottenham huna huo uwezo....msimu ulopita ndo mwanzo na mwsho na hiko kigenge chenu cha kupoteza mda
 
Arsenal fans bwana Kwaiyo mmesaau kuwa hata msimu wa 2020 mlimfunga man City kwenye ngao ya jamii icho sio kipimo Cha nyinyi kufanya vizuri kabisa.

Nyie kipimo chenu ni ligi kuanza tu tutajua Wenger orphans ni ile ile au Kuna Jambo jipya.
Oya unafananisha Arsenal hii ya Asali na maziwa na ile ya miaka mitatu minne iliyopita ?

Unafananisha Arsenal hii iliyomchezea shoga enu mama cita , 1-3-6 ,huku wimbo wa UTATOA HUTOI ukiimbwa
20230806_222343.jpg
 
Arsenal fans bwana Kwaiyo mmesaau kuwa hata msimu wa 2020 mlimfunga man City kwenye ngao ya jamii icho sio kipimo Cha nyinyi kufanya vizuri kabisa.

Nyie kipimo chenu ni ligi kuanza tu tutajua Wenger orphans ni ile ile au Kuna Jambo jipya.
Haya maneno mngeyasema Jana kabla ya mechi mngeeleweka

Kabla ya mechi mlisema tutapigwa 2-0

Leo mnabadili maneno
20230806_210729.jpg
 
Tatizo lenu hua hampendi kabisa kusikia ukweli, mtapindishapindisha maneno ili mradi tu mjipee false hopes.
Haya nitajie timu yoyote ndani ya misimu 10 iliyopita ya ligi alibeba hilo ngao la hisani halafu akafanikiwa kuchukua kombe la ligi?
Mancity jana walikua wanawategea muingie cha kike na nyie mlivyo na akili nyingi mkaingia kweli
Community Shield Lina Pesa nyingi kuliko Carabao energy drink

Pale watu walikuwa walikuwa kazini
20230807_155152.jpg
20230807_155150.jpg
 
N

Narudia tena...huna uwezo wa kwenda toe to toe na top sides yeyote pale EPL...huna...mwaka jana ile bahati ndo imeshapita haitakaa ijirudie tena....kwni Eddie Howe kuingia UEFA ni ishu...Leicester kapanda ligi kabeba kombe la EPL na alienda UEFA vilevile...kwhyo siyo story...ww level zako ni kina Brentford huko....ila pale juu huwezi mtoa arsenal...man shitty...Manyumbu...Chelkenge Wala Liverkuku hata Tottenham huna huo uwezo....msimu ulopita ndo mwanzo na mwsho na hiko kigenge chenu cha kupoteza mda

Tatizo lenu false hopers mnasahau mapema sana nimegundua hilo , mkuu una habari mlikaa top kwa muda wa siku 258 na bado mlishindwa kubeba ubingwa . Kilichowakosesha ubingwa unakijua ? Je unaona kile kilichowakosesha ubingwa mmerekebisha?

Unajua sisi tunaongea uhalisia lakini nyinyi mnaona kama tunawafanyia dhihaka , under pressure huwa mnapoteana sana unakuta tomiyasu anampa kdb pasi afunge mara ramsdale kampasia alcaraz dakika ya 2 tu mara maghales kapiga buti mtu ndani ya box yaani mnakuwa kama kuku kakatwa kichwa
 
Arsenal are finalizing details in the move for David Raya. The Spaniard’s move to the Emirates is set to be confirmed this week. Reports,

@ChrisWheatley.
 
Wait, Arteta has been at the Wembley for 12 times and he's won all 12 games combined as a player and a manager
 
Tatizo lenu false hopers mnasahau mapema sana nimegundua hilo , mkuu una habari mlikaa top kwa muda wa siku 258 na bado mlishindwa kubeba ubingwa . Kilichowakosesha ubingwa unakijua ? Je unaona kile kilichowakosesha ubingwa mmerekebisha?

Unajua sisi tunaongea uhalisia lakini nyinyi mnaona kama tunawafanyia dhihaka , under pressure huwa mnapoteana sana unakuta tomiyasu anampa kdb pasi afunge mara ramsdale kampasia alcaraz dakika ya 2 tu mara maghales kapiga buti mtu ndani ya box yaani mnakuwa kama kuku kakatwa kichwa
Ni kweli tulikaa juu kwa mda mrefu na aliyetutoa alibeba makombe matatu makubwa it means alikuwa strong kuliko sisi mentally na kikosi Chao kilikuwa na depth ya kutosha....ndo maana tukatafuta watu kwny maeneo pungufu....kwa misimu sita Man City wamebeba kombe mara Tano Liver alijitutumimua ndo akabeba kombe mara moja pamoja na kuwa na prime ya kina Salah...Mane na firmino....hvyo only Man City is the only team to beat this time around....Sasa unapokuja kuanza kunijazia pumba hmu za kina Newcastle sijui mara Chelkenge nakuona kama hujielewi ndo maana nasema tena na narudia....mlicho achieve mwaka jana ndo mwanzo na mwsho....mchezaji mmojammoja tu mliyenaye tukisema tufanye comparison na wachezaji wengine wa vilabu vikubwa bdo mpo mbali sana kuwafikia....ndo maana nikakuambia fanyeni recruitment nzuri mcheze mzozeane kwa misimu 3 walau....ndo mje Sasa lakini sasahv kuja kushindana na sisi hapa bdo sana....narudia tena level zenu ni kina Brentford
 
Wait, Arteta has been at the Wembley for 12 times and he's won all 12 games combined as a player and a manager
Hapo Wembley for 12 times ameishia kupata Ngao na mwanaFA, huoni kama hayo ni matumizi mabaya ya Wembley for 12 times?
 
Hapo Wembley for 12 times ameishia kupata Ngao na mwanaFA, huoni kama hayo ni matumizi mabaya ya Wembley for 12 times?
Community shield Lina Prize money kubwa kuliko Carabao energy drink
20230807_155152.jpg
20230807_155150.jpg
 
David_Ornstein:


“Matarajio yangu kwa sasa ni kwamba Arsenal wanaenda kufikia makubaliano na Brentford kwa David Raya, walikuwa na upungufu kidogo wa ofa yao ya awali.

Brentford kabla ya Arsenal kusonga mbele walikuwa wanataka pauni milioni 40. "

“Arsenal ingependa kwenda chini zaidi ya hapo. Labda watakutana katikati (£25-30m)lakini ni hatua ambayo vilabu vyote viwili vinataka ifanyike ila maelewano yatapatikana.

Inategemea Matt Turner ataondoka na Nottingham Forest ndio klabu inayotaka kumchukua na inakaribia kukamilisha dili hilo. Kwa hivyo natarajia hali hiyo yote itaisha mwanzoni mwa wiki hii na kisha Arsenal inaweza kuendelea na mambo mengine."

 
GOOD NEWS

Alex Zinchenko reveals he is back in full Arsenal training ahead of the new Premier League season

youtu.be/13j5Cy4NUf8


 
Community shield Lina Prize money kubwa kuliko Carabao energy drinkView attachment 2711079View attachment 2711080
Hizo prize money kwa makombe yote madogomadogo FA, carabao, ngao n.k kwa timu kubwa kama Man utd hua tunachukulia kama bonanza tu maana bajeti ya timu kwa matumizi ya siku moja tu hua ni mara mbili ya hizo pesa.
Ila kutumia uwanja wa Wembley mara 12 kwa kushinda ngao na FA ni matumizi mabaya ya huo uwanja wa Taifa.
 
BREAKING:

Arsenal have turned down a formal offer from AS Monaco for Folarin Balogun. [@David_Ornstein]

Monaco had an opening verbal proposal for the USMNT international rejected following a pre-season friendly between the clubs last week

 
Back
Top Bottom