Mabula Msirikale
JF-Expert Member
- Nov 29, 2022
- 1,060
- 2,303
Exactly na mimi niliwafikiria Newcastle United. Tabia yao yakupoteza muda wakicheza na Arsenal msimu huu gemu itakua inaendabhadi dakika 100+Ndiyo...wa kawaida sana....asipochezeshwa na viungo ni mzururaji uwanjani....hirizi yake ni De Bruyne...leo umeona kafichwa tuli akawa anakimbiakimbia tu....Sasa ww Baki na kigenge chako cha Newcastle msimu huu na mkakati wenu wa kupoteza mda safari hii utawatokea puani....nilisema na ntasema tena....top 4 ya mwaka jana ndo mwanzo na mwsho...yaani msahau kuipata tena..mrudi nafasi zenu za 6 kushuka chini huko


| BREAKING: Bernardo Silva has officially told Pep Guardiola that he wants to leave Manchester City! @RogerTorello 

