Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Ndiyo...wa kawaida sana....asipochezeshwa na viungo ni mzururaji uwanjani....hirizi yake ni De Bruyne...leo umeona kafichwa tuli akawa anakimbiakimbia tu....Sasa ww Baki na kigenge chako cha Newcastle msimu huu na mkakati wenu wa kupoteza mda safari hii utawatokea puani....nilisema na ntasema tena....top 4 ya mwaka jana ndo mwanzo na mwsho...yaani msahau kuipata tena..mrudi nafasi zenu za 6 kushuka chini huko
Exactly na mimi niliwafikiria Newcastle United. Tabia yao yakupoteza muda wakicheza na Arsenal msimu huu gemu itakua inaendabhadi dakika 100+
 
Ndiyo...wa kawaida sana....asipochezeshwa na viungo ni mzururaji uwanjani....hirizi yake ni De Bruyne...leo umeona kafichwa tuli akawa anakimbiakimbia tu....Sasa ww Baki na kigenge chako cha Newcastle msimu huu na mkakati wenu wa kupoteza mda safari hii utawatokea puani....nilisema na ntasema tena....top 4 ya mwaka jana ndo mwanzo na mwsho...yaani msahau kuipata tena..mrudi nafasi zenu za 6 kushuka chini huko
Halland bila huduma hafurukutagi hiyo inajulikana mbona ,Kuna mtu anabisha ,ameshafichwa Sana had na middle table team ,akikosa huduma ,

Ni CF hatari anayeishi kwa kutengenezewa nafasi

Hao Newcastle wasubiri tu kurudi nafasi ya 6-8,
 
Exactly na mimi niliwafikiria Newcastle United. Tabia yao yakupoteza muda wakicheza na Arsenal msimu huu gemu itakua inaendabhadi dakika 100+
Kwa SHERIA hii mpya Kuna mechi zitakuwa zinaongezwa dk 15

Kuna game moja Newcastle vs Liverpool yalipoteza muda ,refa akaongeza dk had yalipopigwa goli ndio akamaliza mpira
 
Hii habari kutoka kwa wasaudia nimeipenda naomba wapush zaidi , wahakikishe wanamuondoa pale maana ndio tumain lao limebaki hapo

BREAKING

Reliable sources in Saudi Arabia have said that Al-Ittihad are preparing a bid for Mohamed Salah.

The Egyptian talisman will earn £180m over two seasons. They are rumoured to be offering Liverpool £60m.
 
Partey , octopus
20230807_064209.jpg
 
Nipo naombea wasaudia wakomae zaidi wamchukue Salah ,yule jamaa wa Liverpool katupigia Sana kelele humu

Al-Ittihad kazeni ,Kama mlivyofanya kwa Fabinho
Screenshot_20230807-064951.jpg
 
Nipo naombea wasaudia wakomae zaidi wamchukue Salah ,yule jamaa wa Liverpool katupigia Sana kelele humu

Al-Ittihad kazeni ,Kama mlivyofanya kwa Fabinho View attachment 2710616
🤣🤣🤣🤣....watakuambia Wana Gakpo....Bora Salah ajiondokee....yann kufia uwanjani....akacheze karibu na Al Kaaba...atakuwa anafanya Umrah sana
 
Mkuu yaan reference yako kwa Kai ni mashabiki wa Chelsea kulalamika?

Seriously??


Mfumo wa Chelsea umewakataa wachezaji wangapi last season?

Cha kushangaza Kai ndiye alikuwa best player wao
Narudia Pesa ya Kai imepotea kwa style ile ile ya uchezaji wake hatakuwa na jipya after 10 games wote tutaona hili why kila mtu kaona Timber ni kidume?even Rice amejitahidi mno ,Kai finish bado ana weakness ile ile ,sometimes hata makocha wanakosea sio Mungu watu Arteta usajili wa Kai ameyumba,Trossard ambaye hampi nafasi unaweza sema lile goli utaona IQ yake kulitafuta BIG UP sana kwake!katika sajili kubwa za Arteta tangia last season ya Kai naona haikuwa na umuhimu that's why wengi hatukutegemea ila Jesus Trossard Zin Timber Rice even Raya anayekuja zote hizi ni position muhimu na zina msaada mkubwa
 
Narudia Pesa ya Kai imepotea kwa style ile ile ya uchezaji wake hatakuwa na jipya after 10 games wote tutaona hili why kila mtu kaona Timber ni kidume?even Rice amejitahidi mno ,Kai finish bado ana weakness ile ile ,sometimes hata makocha wanakosea sio Mungu watu Arteta usajili wa Kai ameyumba,Trossard ambaye hampi nafasi unaweza sema lile goli utaona IQ yake kulitafuta BIG UP sana kwake!katika sajili kubwa za Arteta tangia last season ya Kai naona haikuwa na umuhimu that's why wengi hatukutegemea ila Jesus Trossard Zin Timber Rice even Raya anayekuja zote hizi ni position muhimu na zina msaada mkubwa
Ok
 
Niliomba waondokewe na fabinho na Henderson, Sasa naingia mliman kufunga ,aondoke Salah ,uzuri wasaudia hawatishii nyau ,wao wanaweka pesa mezan wamemaliza ,
Umeharibu ilibidi uombe wabaki.

Ile mid ilishajifia.

Hata huyo Salah acha abaki. Atasaidia kuyafunga mdomo manyumbu akifika hapa anakutana na Timber anakaa kushoto
 
Umeharibu ilibidi uombe wabaki.

Ile mid ilishajifia.

Hata huyo Salah acha abaki. Atasaidia kuyafunga mdomo manyumbu akifika hapa anakutana na Timber anakaa kushoto
Wale walishachoka ila wangebakiza mmoja Kama fabinho acheze na Hawa wawili wapya ,kitendo Cha kucheza na new midfield lazima uwe hatarini, hata Arsenal tungeuza Partey ingetuwia vigumu Sana

Sasa Wasaudia wamerudi kwa Salah
 
kai kacheza vizuri mechi ya jana kwa majukumu yake aliyopewa uwanjani ni vile tu hakufunga goli..

kwa mechi kama izi za city na pressing yao jinsi ilivo superb mno ni bora kai aanze eneo la mbele mana kuna mda hamuwezi kupita chini kama build up so inabidi mipira ya juu itumike na jana kasaidia sna kwnye hilo.

akina jesus na wengine ambao vimo hawana.. kwa game nyepesi ambazo timu zina paki bus mda wote ndio naona zitawafaa mana wamejaliwa unyumbulifu na kuforce kwenye tight spaces wanaweza.
 
M
Hii habari kutoka kwa wasaudia nimeipenda naomba wapush zaidi , wahakikishe wanamuondoa pale maana ndio tumain lao limebaki hapo

BREAKING

Reliable sources in Saudi Arabia have said that Al-Ittihad are preparing a bid for Mohamed Salah.

The Egyptian talisman will earn £180m over two seasons. They are rumoured to be offering Liverpool £60m.
Mimi sijapenda. Nataka wawe na best players wao tushindane na the best na tuwashinde. Napenda tushinde Kwa kuwa sisi ni Bora kuliko kushinda Kwa sababu mshindani wetu kadhoofika
 
Balogun has told Arteta that he wants to play for Inter. Inter will make an offer of 30m euros plus 5 in bonuses plus large sell on % for Arsenal

(@Gazzetta_it via @90ordnasselA )
 
M

Mimi sijapenda. Nataka wawe na best players wao tushindane na the best na tuwashinde. Napenda tushinde Kwa kuwa sisi ni Bora kuliko kushinda Kwa sababu mshindani wetu kadhoofika
Mimi nipo tofauti ,na hapa naona Barca wanapush kwa Bernado ,japo Pep anawakazia Sana , ila Barca wanazidi kupush had kieleweke


| BREAKING: Bernardo Silva has officially told Pep Guardiola that he wants to leave Manchester City! @RogerTorello
 
Arteta alimtoa Timber na goli likapatikana upande ule unaliongeleaje hilo?najua utasema hukuliona ulikuwa kipofu kwa muda
Lengo la kocha nadhani ilikua ni kuwapa dakika wengine ambao msimu uliopita hawakupata sana nafasi na ndicho kilichotucost baadhi ya wachezaji hawakua na match fitness, btw it was just another preseason game
 
Kipindi wanatufunga sisi tukiwa dhaifu mbona wao walikuwa hawaombei tuwe strong.....Ubaya Ubaya tu...Kama waarabu wanamtaka Salah wamchukue haraka sana ..ikiwezekana Salah agome alazimishe kuondoka...Manyumbu yabaki hvihvi yasipate wachezaji wengine wa maana .....Chelsea wabaki na kikundi Chao cha ma Rasta hivihivi...Man City De Bruyne aumie mwaka mzima...ikiwezekana na Rodri naye aumie mda mrefu...
M

Mimi sijapenda. Nataka wawe na best players wao tushindane na the best na tuwashinde. Napenda tushinde Kwa kuwa sisi ni Bora kuliko kushinda Kwa sababu mshindani wetu kadhoofiKipjn
 
Back
Top Bottom