Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Ndio maana inaitwa community shield sio community cup ndugu yangu Masingeli.
Flano acha hizo, Ila kile kikarabao energy drink ndio cup, why hamjaalikwa Wembley kama kile ni kikombe
20230806_204116.jpg
 
Mpaka dakika ya 60+ ,Pep alikuwa hajapata hata On target

A 4CBc plus Rice naturally ni CB/DM

20230807_121301.jpg
 
Huyu injury prone Kama ni kweli Bora imekataliwa

| Arsenal make a very big offer to FC Barcelona for Ansu Fati, but he rejected it immediately. He will stay at the club.

@sanantheone
Haiwezi kua kweli.

Huyu Fati wakati anaanza mpira Barca ikaweka release clause 1B

Dogo mwenyewe ni mweupe kimpira sijapata kuona. Kwa alioanza nao sasa hivi wanatia mchango lwenye timu zao
 
Haiwezi kua kweli.

Huyu Fati wakati anaanza mpira Barca ikaweka release clause 1B

Dogo mwenyewe ni mweupe kimpira sijapata kuona. Kwa alioanza nao sasa hivi wanatia mchango lwenye timu zao
Alitabiriwa makubwa Sana

Fabrizio kasema Kuna klabu Zaid ya moja zimemuhitaji, hajazitaja

Habari za Spain ndio wanasema Arsenal wanamuhitaji Kama backup ya Saka


Barca wachezaji wao wote wanawawekea Release clause kubwa toka wafanyiwe uhuni na Neymar ,kipind kile walijua release clause ya €200m ni kubwa Sana haifikiwi
 
Haiwezi kua kweli.

Huyu Fati wakati anaanza mpira Barca ikaweka release clause 1B

Dogo mwenyewe ni mweupe kimpira sijapata kuona. Kwa alioanza nao sasa hivi wanatia mchango lwenye timu zao
Injury prone wakutisha ,mim sijawahi mkubali ,Kuna huyu na Ferran Torres ,

Pale Madrid nasubiri Jude nihakikishe wanachosema watu, namuona very overrated
 
ndugu yangu masingeli mbona unakua mgumu sana kuelewa?
Haya soma mwenyewe hapo uone nani amepewa kombe na nani amekabidhiwa ngao. View attachment 2710890View attachment 2710891
Haya nakupa mkeka weka pesa upate pesa ya bia wiki ijayo

Jamvi la kumkaribisha muhindi.

Man city
Arsenal
Brighton
Westham over 1.5
Everton over 1.5
Newcastle over 1.5
Spurs over 1.5
Manjesta DRAW

Ukichanika huu niulizwe mimi
 
David Raya move to Arsenal is now a done deal just waiting to be announced.

Arsenal will pay a fee of between £25-30 million for the 27-year-old.

[Football Transfers]

footballtransfers.com/en/transfer-ne…
 
|| Beşiktaş have reached an agreement with Nicolas Pépé on financial issues. Deal to be finalised if the player terminates with Arsenal


[Via - @GokmenOzcan].
 
Walipoanza kufunga goli wao alishangilia kama kashinda kombe la Dunia...Maneno ya mkosaji hayo....Guardiola ni attention seeker....mwaka huu unganeni naye tena kutuombea njaa....na asijidanganye tukafungua gepu la point nane kama mwaka jana....shughuli yake itakuwa imeishia hapo
Tena huyo Pep alishangilia sana
goli lilipoingia utadhani ni World Cup final. Clip zipo
 
Msimu ulioisha Liverpool alishinda hilo sinia na kwa kutambua kua hilo ni kama bonanza tu la kufunguliwa kwa pazia la ligi wala hata hawakushangilia, sanasana waliishia kusikitika tu kwa kujua baada ya kupewa hilo sinia litawapata jambo na kweli limewapata.

Hivi kwani sisi na nyinyi lini, naona kama kelele zimekua nyingi humu.
Uganda mashabiki wa Arsenyo wameandamana tena kusherehekea timu yao kubeba ngao ya hisani
Liverpool anamjulia sana tu City na anamfunga mara kibao. Kwake halikuwa jambo jipya. Sisi tunamuona City kama kikwazo pekee kwetu kubeba ligi na ametusumbua miaka nenda rudi. Tunachukulia kila tunapomfunga, haswa Kwa style yetu ya uchezaji kama ishara kuwa tunaanza kumkaribia na kummudu. Huu ushindi kwetu ni 'symbolic' zaidi naona
 
Inaonyesha kwenye upigaji wa penalty jana kulikua na makadilio ya sekunde kuanzia 6-7 kudelay kwa wachezaji wa Arsenal baada ya mwamuzi kupuliza filimbi

Uku kwa wachezaji wa Man City ni Sekunde sisizozidi 2

20230807_130617.jpg
 
Liverpool anamjulia sana tu City na anamfunga mara kibao. Kwake halikuwa jambo jipya. Sisi tunamuona City kama kikwazo pekee kwetu kubeba ligi na ametusumbua miaka nenda rudi. Tunachukulia kila tunapomfunga, haswa Kwa style yetu ya uchezaji kama ishara kuwa tunaanza kumkaribia na kummudu. Huu ushindi kwetu ni 'symbolic' zaidi naona
Kwa hio kumbe hamshangilii kubeba Ngao, mnachoshangilia ni kudraw na mliMan City?
Screenshot_20230807-092810.jpg
 
Haya nakupa mkeka weka pesa upate pesa ya bia wiki ijayo

Jamvi la kumkaribisha muhindi.

Man city
Arsenal
Brighton
Westham over 1.5
Everton over 1.5
Newcastle over 1.5
Spurs over 1.5
Manjesta DRAW

Ukichanika huu niulizwe mimi
Mimi na bia mbalimbali tena kamari za mikeka ndio kabisaaaa, naonaga tu hio minamba namba lakini sijui hata hua inafanyaje kazi na wala sitaki hata kujua
 
Hapo Pep hakua anashangilia ushindi wa kuchukua Ngao, bali hapo Le professeur Peperoni Guardiola alikua anafurahia goli maridadi kabisa lililofungwa kiustadi na kijana wake Cole Jermaine Palmer.
Wewe jamaa muhuni Sana ,

Haya nakupa hii list ya Sajili za kitapeli kuwa kutokea

Sky sport wanaripoti, Manjesta na Chelsea ndio mnaongoza kwa Sajili za kitapeli episode
20230807_135242.jpg
 
Back
Top Bottom