Flano
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 5,842
- 16,292
False hopes hizo ndugu yangu computerarsenalJambo jingine ambalo Arsenal players nimeliona kwao ni wanajua kupiga penalties!nahisi hilo wadau hamjaliona kwa jicho la 3 and even Ramsdale kaanza kudaka at least penalties!
Asenyo ni ileile tu hua ina mwanzo mzuri wa kuvutia sana na kujipa matumaini makubwa kupita maelezo, ila ligi inapoelekea ukingoni ndio uhalisia wenu hua mnouna wenyewe.
Hio shilingi 5 mliyopewa jana isiwahadae sana mkajipea matumaini hewa.
# Ngao sio kombe



️ | 

