Bayern ,Real Madrid za Sasa hazina quality ya kutosha ,mbona tunasema kila siku humu ,
Bayern ya Sasa bila kumpata Kane watazidi kuwa wakawaida ,hata Madrid nashangaa wanavyopewa hype ,Kuna mtu nilimwambia wasipompata Mbappe hawatuwa wakutisha Kama miaka kadhaa , Midfielders zao zinashindana na yeyote na wanachezea vichapo vzr tu,
Mm ni mmoja ya wachache Sana ninayeamini Madrid Kama hawatampata mbappe Basi sitashangaa wakiishia hata 16 Bora ,
Walipompiga manjesta juz 2-0, Ambangile aliweka list ya viungo wao akawapamba Sana , uzuri anajua mm simkubali Bellingham Kama anavyosemwa , sio mbaya lakin sio Kama class ile ya kina modric au Kross, mech na Barca wakala 3 Safi, mechi na Juve wakala 3 ,
Bayern ndio mweupe katikati Hana No.6 ,na CF ,
Mwaka Jana City alikuwa Hana mpinzani kule UCL, Na msimu huu bado timu nying UCL ni zakawaida , nikuchanga karata vzr
Majina yasikutishe ,quality zimepungua sana