Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal leo mjikaze. Kataeni utumwa
Tulikuwa tunajenga timu , Mancity ni kibonde wetu Kama Chelsea tu ,alitusumbua Sana kipind Cha Mourinho, mwisho karudi kuwa mteja muaminifu
20230806_133821.jpg
 
Hio mipapaso mbona kama mnaenda kupapaswa nyinyi, stricker Haaland halafu beki mnamuwekea Bichwa la Bata ndio amdhibiti
Ila manjesta kwa mpira ule wa A Dutch David Moyes Erik 7 hag, sitashangaa mwez wa 12 ukahamia city Kama kawaida yako
 
Mwanangu toobiter mechi ya ngao ni saa ngapi?
Nataka nishuhudie Teta ball burudani kwa wote, mambo ya pressing na overloading from genius Masterclass.
Acha Uchawiunatangaza amani huku umeficha panga.Dah game saa 12 jioni.kipara kumkabili inaleta mawazo sana.jamaa ni tactical genius,ana quality squad kila eneo,ana waarabu wanamwaga hela kama hawana akili, yaaani mpuuzi ana kila kitu.

Hili kombe la EPL lisipobebwa na timu nyingine mwaka huu maaana yake jamaa ndani ya misimu saba atakuwa kachukua mara sita.duh huu udhalilishaji. Ila arsenal we are coming at your rescue.tutamsimamisha ili kuku wa maziwa(man u),liverpool,chelshiit na wengine mkae kwa amani.

Hahaa huyu mpuuzi guadiola akichukua tena msimu huu nashauri 7hag,pochetino,klop,arteta na emery wakae nae chini wamwambie sio ugomvi na kama vip wafanye donation wampe mzigo aende ligi ya italy au ufaransa mpuuzi yule.

Anyway mark my words leo tunaishangaza dunia.we gona possiblelize the impossibility.
 
Acha Uchawiunatangaza amani huku umeficha panga.Dah game saa 12 jioni.kipara kumkabili inaleta mawazo sana.jamaa ni tactical genius,ana quality squad kila eneo,ana waarabu wanamwaga hela kama hawana akili, yaaani mpuuzi ana kila kitu.

Hili kombe la EPL lisipobebwa na timu nyingine mwaka huu maaana yake jamaa ndani ya misimu saba atakuwa kachukua mara sita.duh huu udhalilishaji. Ila arsenal we are coming at your rescue.tutamsimamisha ili kuku wa maziwa(man u),liverpool,chelshiit na wengine mkae kwa amani.

Hahaa huyu mpuuzi guadiola akichukua tena msimu huu nashauri 7hag,pochetino,klop,arteta na emery wakae nae chini wamwambie sio ugomvi na kama vip wafanye donation wampe mzigo aende ligi ya italy au ufaransa mpuuzi yule.

Anyway mark my words leo tunaishangaza dunia.we gona possiblelize the impossibility.

Safi sana haya ndiyo maneno ya Mshabiki wa mpira sasa. 50 50 au siyo
 
Dah mwanangu Eddie ashakuwa 3rd choice

Now CF ni Jesus ,Kai , Trossard , Nketiah
 
Back
Top Bottom