Flano
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 5,842
- 16,292
Hio mipapaso mbona kama mnaenda kupapaswa nyinyi, stricker Haaland halafu beki mnamuwekea Bichwa la Bata ndio amdhibitiHuo ndio ukweli, ni swala la muda kuanza kutoa mipapaso





Hio mipapaso mbona kama mnaenda kupapaswa nyinyi, stricker Haaland halafu beki mnamuwekea Bichwa la Bata ndio amdhibitiHuo ndio ukweli, ni swala la muda kuanza kutoa mipapaso





Tulikuwa tunajenga timu , Mancity ni kibonde wetu Kama Chelsea tu ,alitusumbua Sana kipind Cha Mourinho, mwisho karudi kuwa mteja muaminifuArsenal leo mjikaze. Kataeni utumwa
Ila manjesta kwa mpira ule wa A Dutch David Moyes Erik 7 hag, sitashangaa mwez wa 12 ukahamia city Kama kawaida yakoHio mipapaso mbona kama mnaenda kupapaswa nyinyi, stricker Haaland halafu beki mnamuwekea Bichwa la Bata ndio amdhibiti![]()
Nipeni takwimu za last 8 match btn Arsenal na City, nataka nitie mkeka![]()



Acha UchawiMwanangu toobiter mechi ya ngao ni saa ngapi?
Nataka nishuhudie Teta ball burudani kwa wote, mambo ya pressing na overloading from genius Masterclass.





unatangaza amani huku umeficha panga.Dah game saa 12 jioni.kipara kumkabili inaleta mawazo sana.jamaa ni tactical genius,ana quality squad kila eneo,ana waarabu wanamwaga hela kama hawana akili, yaaani mpuuzi ana kila kitu.


.Saa 12Mechi saa ngapi wadau
Acha Uchawiunatangaza amani huku umeficha panga.Dah game saa 12 jioni.kipara kumkabili inaleta mawazo sana.jamaa ni tactical genius,ana quality squad kila eneo,ana waarabu wanamwaga hela kama hawana akili, yaaani mpuuzi ana kila kitu.
Hili kombe la EPL lisipobebwa na timu nyingine mwaka huu maaana yake jamaa ndani ya misimu saba atakuwa kachukua mara sita.duh huu udhalilishaji. Ila arsenal we are coming at your rescue.tutamsimamisha ili kuku wa maziwa(man u),liverpool,chelshiit na wengine mkae kwa amani.
Hahaa huyu mpuuzi guadiola akichukua tena msimu huu nashauri 7hag,pochetino,klop,arteta na emery wakae nae chini wamwambie sio ugomvi na kama vip wafanye donation wampe mzigo aende ligi ya italy au ufaransa mpuuzi yule.
Anyway mark my words leo tunaishangaza dunia.we gona possiblelize the impossibility.


12Mechi saa ngapi wadau
4-2-3-14-3-3
4CBs as I predicted ,
Naona kikosi sio kibaya sana istoshe kule city de Bruyne yupo benchi... Leo hapatabiriki4-3-3
4CBs as I predicted ,
No ,huo mfumo hatuchezi, hata pre season hatuutumii ,tulishaachana na hiyo mifumo4-2-3-1
GABRIEL( KICHWA CHA BATA/UBONGO WA BATA)Hio mipapaso mbona kama mnaenda kupapaswa nyinyi, stricker Haaland halafu beki mnamuwekea Bichwa la Bata ndio amdhibiti![]()
Okay ngoja tusubir tuoneNo ,huo mfumo hatuchezi, hata pre season hatuutumii ,tulishaachana na hiyo mifumo
Ni 4-3-3
Rice na Øde wanakuwa double 8