Castr
JF-Expert Member
- Apr 5, 2014
- 38,227
- 76,751
Ndo hapo tunaposema ukizidiwa huna haja ya kushindana possession.Brighton alituzidi asee ,ule mpira wa Brighton Kama huna mbinu thabiti wanakubatua
Ile mech ya pale Amex tuligawana vipind,
Brighton Wana buildup Yao hatari Sana ,klopp alicheza nao mechi mbili na Di zerbi, zote alizidiwa kwa kuwekwa nyuma na kipigo juu
Kuna mechi huwa tunashindwa ku control kabisa ,sio kwamba tunamuachia mpinzani
Chukua mpira nenda nao mbele.
Sisi City katuzidi hatuna haja ya kushindana nao possession. Chukua mpira nenda nao mbele