Hakuna cha stats hapo wewe chukua man city to win & over 1.5 . Weka hela tuliaa hio ni sure guaranteed



.
Hizi kelele za “false hopers “ zisikudanganye hawa ni wapiga kelele tu kama chura lakini tembo maji lazima annywe.
Ingekuwa Liverpool, Newcastle na man utd hizi ndo timu ambazo unaweza kuanza kuangalia stats mzee lakini si hawa wanajiita title chaser then unaenda kula chuma za kutosha gemu zote 2. Cheki tu highlights man city alivyokutana na Arsenal then angalia na hizo timu nyingine nilizokutajia hapo juu.