Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Wametufunga zote mkuu, nje ndani. Kama una swali lingine liweke kabisa hapa.

Pia kwa kukuongezea, hatujachukua EPL since 2003/2004. Na hatuna UCL hata moja.
Kwa nini imekua ngumu kwenu kuzuia hata sare dhidi ya City? Mbona ile Barcelona kali ya pep mlikua mnajitutumua mnaifunga, City mnashindwa wapi kila mechi 3+ ?
 
Important game ya leo tunayoisubiri, katika games almost 11 vs Manchester City tumewin 1 na kupoteza 10 games ,so ni kipimo sahihi kwa game ya leo kuona dira ipoje sababu last season walitupiga EPL na FA cup so leo ni leo katika EPL kila game waliscore kuanzia goli 3 tusubiri tuone hiyo jioni
2-0 history repeats on itself
 
Thuram ni Mmarekane mwenzie.

Ni kama Martinelli alivyompa mkono Richarlson
Thuram ni mfaransa mtoto wa Lilian Thuram

Anacheza National team, namkubali Sana Thuram ,Sasa yupo Intermilan
 
Ni kivipi Spurs au United inaweza ifunga City kuliko Arsenal na hii haijalishi timu ipo kwenye form gani.

Spurs ina Kane na Son. United ina kupaki basi na counter.

While Arsenal hatuna forwards threats wala mpira wa basi na counter. United ina forwards wana pace, kuanzia Rashford, Sancho, Martial, Anthony wote wana speed. Its easier kwao kusubiri kaunta.

Kwa Arsenal counter ni sehemu ya mchezo na siyo mchezo mzima. Kwa united ni Spurs counter ni mchezo mzima.

Tuliwahi mlaumu Wenger miaka ile ya kila tukiingia UEFA tunakutana na Bayern au Barcelona. Tukasema shida ya Wenger hajui ni muda gani asishindane mbinu badala yake akubali kupaki basi na kucounter.

Nafikiri dhidi ya City Arsenal tukubali kubadili mbinu. Kwa hawa sajili mpya sijaona anayeweza kutufanya tuwe lethal kule mbele, watapeleka mipira ila finishers hakuna.
 
Ni kivipi Spurs au United inaweza ifunga City kuliko Arsenal na hii haijalishi timu ipo kwenye form gani.

Spurs ina Kane na Son. United ina kupaki basi na counter.

While Arsenal hatuna forwards threats wala mpira wa basi na counter. United ina forwards wana pace, kuanzia Rashford, Sancho, Martial, Anthony wote wana speed. Its easier kwao kusubiri kaunta.

Kwa Arsenal counter ni sehemu ya mchezo na siyo mchezo mzima. Kwa united ni Spurs counter ni mchezo mzima.

Tuliwahi mlaumu Wenger miaka ile ya kila tukiingia UEFA tunakutana na Bayern au Barcelona. Tukasema shida ya Wenger hajui ni muda gani asishindane mbinu badala yake akubali kupaki basi na kucounter.

Nafikiri dhidi ya City Arsenal tukubali kubadili mbinu. Kwa hawa sajili mpya sijaona anayeweza kutufanya tuwe lethal kule mbele, watapeleka mipira ila finishers hakuna.
Ninachokiona Arteta hawez kurudi nyuma Tena ,ukiangalia mech za karibuni , mancity amekuwa kumiliki mpira hatuwezi, swala lililobaki ni kuanza kuweka mpira wavuni

Tumepitia era Kama 3 ,Wenger mwishon, Emery aliyeharibu falsafa ya Arsenal, na Arteta katika kurudisha culture, vipindi vyote hivo vya mpito mancity amekuwa Bora, ni wakati Sasa Tuanze kumchabanga ,

Arsenal hata Leo hawawez kukubali wapaki Basi ,Pep mech za karibuni amekuwa akitu win sababu project yake ni ya muda mrefu kuliko sisi pia amekuwa na wachezaji quality kuliko sisi

Hata Liverpool ametusumbua ,muda wake umefika ,

Nimekuwa nikiona progress vs city miaka miwili hii ,kuanzia ile mech pale Emirates,refa anawabeba ,
 
️ | Negotiations between Arsenal and Brentford for keeper David Raya are reaching the final stages,


@FabrizioRomano.
 
Ninachokiona Arteta hawez kurudi nyuma Tena ,ukiangalia mech za karibuni , mancity amekuwa kumiliki mpira hatuwezi, swala lililobaki ni kuanza kuweka mpira wavuni

Tumepitia era Kama 3 ,Wenger mwishon, Emery aliyeharibu falsafa ya Arsenal, na Arteta katika kurudisha culture, vipindi vyote hivo vya mpito mancity amekuwa Bora, ni wakati Sasa Tuanze kumchabanga ,

Arsenal hata Leo hawawez kukubali wapaki Basi ,Pep mech za karibuni amekuwa akitu win sababu project yake ni ya muda mrefu kuliko sisi pia amekuwa na wachezaji quality kuliko sisi

Hata Liverpool ametusumbua ,muda wake umefika ,

Nimekuwa nikiona progress vs city miaka miwili hii ,kuanzia ile mech pale Emirates,refa anawabeba ,
Hapa nakukatalia sisi Manchester City hatumuwezi abadani alivyosema Castr yupo sahihi sometimes inabidi uchange formation kutokana na mpinzani wako Emirates Pep (Genius)alituacha tumiliki mpira na akatubonda kwa nyundo 3 pekee ,(ARSENAL LEO ATAWIN GAME LEO KAMA ATABADILI FORMATION YAKE YA UCHEZAJI) otherwise tutamiliki mpira kisha paap nyundo za kutosha tutapewa kwa sasa narudia hakuna team yoyote duniani I repeat duniani ambayo itamfunga City kwa kumìliki mpira HAKUNA
 
Squad depth

And still we are looking for potential
IMG-20230806-WA0017.jpg
 
Hapa nakukatalia sisi Manchester City hatumuwezi abadani alivyosema Castr yupo sahihi sometimes inabidi uchange formation kutokana na mpinzani wako Emirates Pep (Genius)alituacha tumiliki mpira na akatubonda kwa nyundo 3 pekee ,(ARSENAL LEO ATAWIN GAME LEO KAMA ATABADILI FORMATION YAKE YA UCHEZAJI) otherwise tutamiliki mpira kisha paap nyundo za kutosha tutapewa kwa sasa narudia hakuna team yoyote duniani I repeat duniani ambayo itamfunga City kwa kumìliki mpira HAKUNA
Pep hawez kukuacha umiliki mpira ,nikuzidiana

Hakuna kocha dunian anapenda kukaa nyuma

Ukiona Arsenal anakaa nyuma tumezidiwa Kama ilivyokuwaga kwa Emery au Arteta wakati anafika alikuwa Hana wachezaji hao

Pep ni muumini wa possession football ,hizi kauli kwamba anakuachia mpira mnazitoa wapi, kasome Kitabu chake utaelewa ni Nan

Anayemiliki mpira ndiye mwenye chance kubwa ya kushinda ,
 
Pep hawez kukuacha umiliki mpira ,nikuzidiana

Hakuna kocha dunian anapenda kukaa nyuma

Ukiona Arsenal anakaa nyuma tumezidiwa Kama ilivyokuwaga kwa Emery au Arteta wakati anafika alikuwa Hana wachezaji hao

Pep ni muumini wa possession football ,hizi kauli kwamba anakuachia mpira mnazitoa wapi, kasome Kitabu chake utaelewa ni Nan

Anayemiliki mpira ndiye mwenye chance kubwa ya kushinda ,
Sawa ila sio kwa Arteta vs Guardiola yes we are Arsenal but ukweli ni uwazi tumfunge PEP kwa Kumiliki mpira?hehehehehe tuachage utani kwenye mambo serious ,Real Madrid, Bayern, hata Arsenal hawa wote wamekutana na nyundo za kutosha walivyotaka kumzidi Genius kwenye kumiliki mpira kipara games za Manchester United and Liverpool why unahisi zinakuwaga ngumu kwake ?hata kama atashinda?sababu ni COUNTER ATTACK that's it
 
Kwao kumepoa mkuu usimlaumu.hatujabeba epl for 20years ila jukwaa lipo juuu.ndo maana mkuu Flano anaombea tusibebe ubingwa maana mitaa na majukwaa yatapata shida.
We know how to enjoy every moment of the game
Mwanangu toobiter mechi ya ngao ni saa ngapi?
Nataka nishuhudie Teta ball burudani kwa wote, mambo ya pressing na overloading from genius Masterclass.
 
Sawa ila sio kwa Arteta vs Guardiola yes we are Arsenal but ukweli ni uwazi tumfunge PEP kwa Kumiliki mpira?hehehehehe tuachage utani kwenye mambo serious ,Real Madrid, Bayern, hata Arsenal hawa wote wamekutana na nyundo za kutosha walivyotaka kumzidi Genius kwenye kumiliki mpira kipara games za Manchester United and Liverpool why unahisi zinakuwaga ngumu kwake ?hata kama atashinda?sababu ni COUNTER ATTACK that's it
Bayern ,Real Madrid za Sasa hazina quality ya kutosha ,mbona tunasema kila siku humu ,

Bayern ya Sasa bila kumpata Kane watazidi kuwa wakawaida ,hata Madrid nashangaa wanavyopewa hype ,Kuna mtu nilimwambia wasipompata Mbappe hawatuwa wakutisha Kama miaka kadhaa , Midfielders zao zinashindana na yeyote na wanachezea vichapo vzr tu,

Mm ni mmoja ya wachache Sana ninayeamini Madrid Kama hawatampata mbappe Basi sitashangaa wakiishia hata 16 Bora ,

Walipompiga manjesta juz 2-0, Ambangile aliweka list ya viungo wao akawapamba Sana , uzuri anajua mm simkubali Bellingham Kama anavyosemwa , sio mbaya lakin sio Kama class ile ya kina modric au Kross, mech na Barca wakala 3 Safi, mechi na Juve wakala 3 ,

Bayern ndio mweupe katikati Hana No.6 ,na CF ,

Mwaka Jana City alikuwa Hana mpinzani kule UCL, Na msimu huu bado timu nying UCL ni zakawaida , nikuchanga karata vzr

Majina yasikutishe ,quality zimepungua sana
 
Hapa nakukatalia sisi Manchester City hatumuwezi abadani alivyosema Castr yupo sahihi sometimes inabidi uchange formation kutokana na mpinzani wako Emirates Pep (Genius)alituacha tumiliki mpira na akatubonda kwa nyundo 3 pekee ,(ARSENAL LEO ATAWIN GAME LEO KAMA ATABADILI FORMATION YAKE YA UCHEZAJI) otherwise tutamiliki mpira kisha paap nyundo za kutosha tutapewa kwa sasa narudia hakuna team yoyote duniani I repeat duniani ambayo itamfunga City kwa kumìliki mpira HAKUNA
Na hii ni akili ya kawaida tu.

Aina moja ya mpira haiwezi kukupa mafanikio kila siku. hamis77 anakataa kwamba timu pinzani haiwezi kukuachia mpira ila anasahau hata Arsenal tushamuachia Brighton mpira sisi tukatafuta magoli.

Na hata Europa tuliwahi cheza kwa mtindo huo.

Game dhidi ya City anatuwekea mabeki 3 nyuma tukamiliki mpira. Next game mpira akamiliki na akatunyoosha vile vile
 
Back
Top Bottom