Bado tunaninginia kwenye tawi lakini kwa kamba ya mgomba na sio katani, muhimu tumepata clean sheet, na mechi ya marudiano Mungu atasaidia pengine Wilshere, Capitanyo RVP na pengine Nasri ( you never know) watacheza na Professa atakaa kwenye benchi - kibarua msimu huu ni kizito sana, lakini ni cha kujitakia wenyewe, tulifanya uzembe tukamaliza nafasi ya nne, tulifanya uzembe katika usajili na tunaendelea kufanya uzembe kutegemea wachezaji wasio na uzoefu.
Lini shilingi itadondoka kwa mabeberu (Arsenal board of Directors) Nahisi wanasubiri mapinduzi - Egyptian style.