Nyumbu hamjawahi kuwa na akili ,tutawapiga spana mpaka muwelewe
Mamluki wote Kaz mnayo ,
Hakuna anayezuiwa kukosoa ,ila wanafiki lazima wale spana , halafu siku hiz spana nimeacha ,
Yaan unawasapot wanafiki unasema wanazuiwa kukosoa ,mtu kasema kahama Arsenal kahamia PSG mwingine Newcastle,
Timu ikishinda huwaoni wakitoa positive , walisema arsenal hautaingia top 6
Tukifungwa ndio wanaonekana
Why wanafiki Kama Hawa wasipingwe
Ngoja nianze kuwa napiga spana ,niliacha ila Sasa nataka kupambana na wanafiki