hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 18,290
- 26,693
Upo sahihi ndio maana ili ipate momentum inahitaji mudaMfano ligi ingekua inaanza kesho kisha mid yetu ingekua ni Rice, Martin na Kai ingekua ni disaster.
Waweza argue kwamba mbona Rodri, Silva na De Bruyne wanacheza hivyo pale City na utakua sahihi.
Ishu ni kwamba iliwachukua muda gani? Phillips mpaka leo hapati namba kwakua hawezi leta anacholeta Rodri.
Hapa ndiyo tulisema Partey akiuzwa kisa Rice yupo tunarudi steps nyuma, na ndipo nikasema akija Zubimendi kwa jinsi tunavyocheza ataclick mapema ila akija Rice itabidi azoee.
So once hii mid ikigain momentum tutaifurahia na wengine wataanza kutuquote na kutuambia sisi tulisema
Thus why Partey hawez kuondoka , ili wacheze na Rice
Mwisho Sources za mashabiliz ya Arsenal huwa yanaanzia sehemu mbili kwa Zinchenko na Partey ,
Mchango wa Jesus ni very underrated ,he can create chaos in our team, anasaidia midfield zone kwa kiwango kikubwa


Mikel Arteta asks the #Arsenal fans to have patience with our new signings:

