Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Nakumbuka ulisema Bora tufungwe

Mimi najua makelele yao ,nilijua watajazana humu na Wana jealous hatari

Waliaminishana Hatuwez shindana na city kwa usajili , n.k

Imagine mtu anaumia kusifia Arsenal ni most valuable squad ,
most valuable squad inawasaidia nini ikiwa huu ni mwaka wa 20 bila Epl na tokea kuumbwa kwa dunia hamjawahi kushinda kombe lolote la ulaya sio conference, Europa wala Uefa?


#Poor Arsenyau
 
Yaan mech ya Jana ambayo magoli ni individual error ndio unaongea hivi

Hiyo mech sisi tumeitumia kutafuta uwiano wa wachezaj wapya Kuzoena na wazaman

Lone DM ndio mfumo wetu na tumeutumia huo na tutautumia huo

Acha kutafuta uwiano wakati ulikua unatapatapa hapa mara man u wasilete wachezaji mara atateta arushe nini watakaookata ndiyo waanze. Baada ya kufungwa misumali miwili ohoo tunatafuta uwiano.

Uwiano by foot pole sana inauma lakini
 
most valuable squad inawasaidia nini ikiwa huu ni mwaka wa 20 bila Epl na tokea kuumbwa kwa dunia hamjawahi kushinda kombe lolote la ulaya sio conference, Europa wala Uefa?


#Poor Arsenyau
Kwan manjesta imekaa miaka 6 bila kombe hata la uji na mnasema ni timu tajiri duniani
 
Hamtaki au hamna pesa ?

Mbona mlinunua magarasa kina fofana 80, mud 100, Rahim 50, n.k
Fofana ni bonge la mchezaji mkuu, mudryk ni mchezaji Mzuri ndio maana mpaka Leo roho inawauma kumkosa na kizuri zaidi anakutana na kocha wa ball Maurizio Potenshino
 
Acha kutafuta uwiano wakati ulikua unatapatapa hapa mara man u wasilete wachezaji mara atateta arushe nini watakaookata ndiyo waanze. Baada ya kufungwa misumali miwili ohoo tunatafuta uwiano.

Uwiano by foot pole sana inauma lakini
Kumbe mnaumia

Yaan unataka nisifie nyumbu

Utasubiri Sana ,kila mtu afanye majukumu yake

Yaan ile kauli kumbe uliumia ,mbona hukuja kujibu pale pale
 
Acha kutafuta uwiano wakati ulikua unatapatapa hapa mara man u wasilete wachezaji mara atateta arushe nini watakaookata ndiyo waanze. Baada ya kufungwa misumali miwili ohoo tunatafuta uwiano.

Uwiano by foot pole sana inauma lakini
Walikua wanaakwambia we don't play friendlies. Eti hii ni war hakuna mechi ya kirafiki ya Arsenal vs Man U😃. Wakaweka full mkoko baada ya kichapo wanasema tulikamia.
 
Walikua wanaakwambia we don't play friendlies. Eti hii ni war hakuna mechi ya kirafiki ya Arsenal vs Man U. Wakaweka full mkoko baada ya kichapo wanasema tulikamia.
Kwahiyo Sasa mna timu ya ubingwa

Hiz kelele ndio zilifanya pale Emirates tuwageuze Kama namungo

Mimi nacheka maana najua bado mna timu mbovu ,ila haya matokeo yatawadanganyeni

Soon nitawakumbusheni
 
Kwahiyo Sasa mna timu ya ubingwa

Hiz kelele ndio zilifanya pale Emirates tuwageuze Kama namungo

Mimi nacheka maana najua bado mna timu mbovu ,ila haya matokeo yatawadanganyeni

Soon nitawakumbusheni
Sisi hatuna ubingwa ubingwa mtachukua nyie wazee wa kupress, ku-overload na ku-invert 😃. Eti We don't play friendlies mkaambulia kichapo. Ila West Ham mungu anawaona wakatupiga bei yote ile kwa Rice.
 
Sisi hatuna ubingwa ubingwa mtachukua nyie wazee wa kupress, ku-overload na ku-invert . Eti We don't play friendlies mkaambulia kichapo. Ila West Ham mungu anawaona wakatupiga bei yote ile kwa Rice.
Yaan mnaumia Sana,mnataka tufanane kwenye kupigwa mnalazimisha Sana


Wazee wa kupigwa ni 7hag ,€250m

€100m Anthony masebene EPL goals 4
€70m casemiro ,miaka 30+
Malacia average player

Tunasubiri aanze kulia lia hajapewa hela

Mkimaliza top 4 nimekaa palee
 
West Ham wakatuzuuia ubwabwa (Rice) kwa bei ya Boeing. Tukauziwa na mbao (Timber) kwa bei ya Bombardier .
Na hii itawadanganyeni mna timu Bora kumbe hata Astonvilla anawazid quality had kocha

Mnataman Sana Arsenal aingie kwenye kund la waliopigwa Kama nyie

Anthony€100m FLOP
Sancho €80m FLOP
Magwaya €80m FLOP
Mount €60m approach to be FLOP
Malacia FLOP

List ni ndefu sana
 
Having seen a number of different trios so far this preseason, which trio do we think will be most successful?

Rice, Havertz, Odegaard - A trio that has looked promising, but Havertz will definitely need time to settle in and adapt to his new midfield role.

Rice, Partey, Odegaard - A solid, more defensive option. Rice and Partey could act as more of a double pivot in the middle with Odegaard as a number 10. It has worked so far and would include both Partey and Rice. A reliable option.

Another option? Rice, Trossard, Odegaard? Rice, ESR, Odegaard?

Which one would you start the season with?
20230719_222650.jpg
 
Utakua pimbi kama unaamini Pochettino ni kocha wa kucheza possession football itakayowapa wachezaji wenu muda wa kufanya 1,2 au kumnyanyasa mpinzani
The same to nyumbu wanaamini 7 hag ni kocha wa total football

Kwangu naona pochetino anaweza kufundisha possession football kuliko 7hag
 
Arsenal may have to terminate Nicholas Pepe’s contract. if we can’t find a buyer for the player before the end of the transfer window


@MirrorFootball
 
Club is very keen on Kudus. Let’s see what happens. There’s dialogue with all parties now.
 
Back
Top Bottom