Siokweli kwamba tulimu underestimate,
Kwann hamtaki kuelewa maana ya pre season
Huon kwamba kupitia mchezo Kama ule kocha anapata best combination ipi yakutembea nayo kwenye Ligi na UCL
Wachezaji Kama Martinelli ,Tomiyasu wametoka injury ,kucheza michezo Kama ile wanarudisha fitness
3 new players ambao hawajawahi kucheza pamoja ,wanacheza katika system mpya ,ndio sehemu yakusomana na wenzao
Hatujakataa ila inabidi u invert new style of football analysis achana na majigambo yakupitiliza uwe unasema positive in a place to be said na negative sehemu sahihi why...???
1 inasaidia mtu kuona a true progress kwenye phase ya build up na sio tu kusema positive in a awful moment unakosea mpira ni mchezo wa makosa anae kosea inabidi awe criticized na anae patia apewe credit
2 embu pitia thread zengine jinsi hard die fans wake wanavo isifia na kui criticize team na form unatoka umejifunza jambo sasa kwanini iwe ni wewe humu hamiss wanakuimba..because we unachojua ni mnafanya best and mnatisha una aminisha umma wa humu mko na best team in the world ukija na evidence zako
(i) mko na team with the highest value na under age of 24-26 ukifikiri value na age ndio zinacheza vali ni ambitions quality na experience
(ii) una lilia personal mistake za wachezaji wenu zime wanyima ushindi... Remind you mpira mchezo wamakosa the same mistakes ndizo zilizo wakosesha ubingwa na ukizibeza eti ni personal mistake tu bro uefa kunawakatili uko just imagine mbappe yupo real na kane katua hapo bayern then kundi lenu ya uefa group liwe arsenal real bayern napoli au benfica ...tuseme ukweli hapo
(iii) unajificha kwenye build ya formation na team selection ukisema kwa mid ya kai ode rice au rice partey ode hapa amna team italeta team yake uwanjani japo kadri muda unavozidi kwenda tunaona kabisa hapo kati partey akiondoka ni uchochoro na tobo zito uwezi mtegemea rice kama lone dm ni ubakaji hapo kwenye kipa na beki sigusi maana....!!!
Lastly arsenal sio kwamba ni timu tushio hivo kusema kuna watu wataiogopa
Mark my words mi naona hawa wata challenge ubingwa msimu huu zaidi Liverpool man utd chealse pia na arsenal ila hao niliowataja hapo mwanzo usiwachukulie poa poa kaka
Less zaidi ya hapo ni man city anakuja kuji bebea tena ELP