Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kwamba!?

Mimi siyo deluded fan kama wewe. Arsenal kwa kikosi bado sana.
ni wachezaji wawili au mmoja tu ndio anweza kuingia first eleven ya Arsenal

Muda utaongea Mimi hata top 6 siwaoni mkiingia

Kama ile mech imewadanganya Basi mnakazi Sana

Last season pale OT mlivyoshinda nilisema tumecheza hivi makosa ya refa na makosa binafs ya Lokonga , ndio yaliwapa kiburi ,but tutashinda mech nyingi mbele na ndicho kilitokea

Mimi sio shabiki wakuishia kuangalia matokeo tu

Kushinda Jana ni sawa na kunguru kumnyea binadamu


Two own individual errors
 
Tumepigwa 2 kwa zero na penalties tumelose what does it mean?yes ni friendly game but pia ndio inatakiwa userious uonekane hapo Ramsdale kwa penalties ni paka na panya kiujumla tumezidiwa na bado team haijakamilika August 6 vs Manchester City kwa squad hii unaona tutatoboa?even kwenye EPL and champions league?OK let's wait and see na problem ya baadhi ya fans ni kujiona wao football ️ wanaijua sisi wengine tunakaa na kushangaa is it true kuwa tupo tayari kucompete na giants?unabaki unacheka tu jana Manchester United ni kipimo sahihi sana kwetu zaidi ya sana licha ilikuwa ni friendly tu

Kwa mtu anayejua mpira, that was a good result at this stage of preseason, otherwise we would have been carried away with complacency
 
ni wachezaji wawili au mmoja tu ndio anweza kuingia first eleven ya Arsenal

Muda utaongea Mimi hata top 6 siwaoni mkiingia

Kama ile mech imewadanganya Basi mnakazi Sana

Last season pale OT mlivyoshinda nilisema tumecheza hivi makosa ya refa na makosa binafs ya Lokonga , ndio yaliwapa kiburi ,but tutashinda mech nyingi mbele na ndicho kilitokea

Mimi sio shabiki wakuishia kuangalia matokeo tu

Kushinda Jana ni sawa na kunguru kumnyea binadamu


Two own individual errors
Una vitu vingi vya kujifunza kwenye football hasa nje ya possession football.

Unalazimisha kila timu ifanane uchezaji na Arsenal. United toka miaka hiyo hatuchezi mpira wa furahisha genge. Tusipocheza transition football basi tutapiga counter attack, pasi mbili tu tunabadilisha matokeo.

Hizo individual errors ndiyo zinahitajika ili timu ifungwe, Heaton kupiga mpira kwa Mainoo pasi hadi kwa Bruno siyo miujiza kuwa ilitokea tu au goli la pili mabeki wenu walifanya makosa na siyo kwamba Sancho alijikuta tu kwenye nafasi ya kuchukua mpira kimiujiza. Jifunze kutoa credits hata kama siyo timu yako iliyoshinda. Last season OT mlifungwa kwa kuzidiwa mbinu usitafute vijisababu.

Wewe kawaida yako ni ubishi na upo deluded hutaki timu yako ikosolewe.
 
Una vitu vingi vya kujifunza kwenye football hasa nje ya possession football.

Unalazimisha kila timu ifanane uchezaji na Arsenal. United toka miaka hiyo hatuchezi mpira wa furahisha genge. Tusipocheza transition football basi tutapiga counter attack, pasi mbili tu tunabadilisha matokeo.

Hizo individual errors ndiyo zinahitajika ili timu ifungwe, Heaton kupiga mpira kwa Mainoo pasi hadi kwa Bruno siyo miujiza kuwa ilitokea tu au goli la pili mabeki wenu walifanya makosa na siyo kwamba Sancho alijikuta tu kwenye nafasi ya kuchukua mpira kimiujiza. Jifunze kutoa credits hata kama siyo timu yako iliyoshinda. Last season OT mlifungwa kwa kuzidiwa mbinu usitafute vijisababu.

Wewe kawaida yako ni ubishi na upo deluded hutaki timu yako ikosolewe.
Wapi nimelazimisha timu zote zicheze hivo?

Yaani kushinda pre season umeshaona tayari mna timu ya ubingwa?

Kuna mwaka gan pre season mlifungwa nyie

Tumeona mlikamia kutaka kuvunja had wachezaji wetu

Mimi narudia manjesta wachezaji wanaoweza kuingia Kikos cha Arsenal hawazid wawili au mmoja
 
Kwa mtu anayejua mpira, that was a good result at this stage of preseason, otherwise we would have been carried away with complacency
Kabisa maana pale Kocha ndio anaelewa combination gan ianze na ipi inafaa

Sasa Hawa wenzetu wamehitimisha tayari timu yao ni Bora kuliko Arsenal

Ni swala la muda tu wataanza kulia Lia
 
Ni ujinga huu huu ulimfanya Hamis ajiaminishe kwamba wakienda Anfield watampiga Liverpool endapo akicheza mpira wa kupishana nao, mwisho wa siku mkaambulia sare.
Ni ujinga huu huu ulimfanya Hamis atambe kwamba wakienda Etihad watampiga Man city afu watangaze ubingwa, kilichotokea almanusura wapigwe 6 au 7.
Hatukatai kwamba Arsenal ni bora, lkn hiyo haizuii timu nyingine kuwa bora.
Arteta kuwa kocha mzuri au kuwa na mbinu nzuri haiwafanyi makocha wengine wasiwe na mbinu.
These are two independent events
Sasa MC Masingeli anazunguka majukwaa yote kukebehi makocha wengine
Kuna wakati unakuwa na hoja ila prizentesheni ya kizaramo inakuponza mkuu.any way jana umeumia sana kwa chama lako kufungwa.once a gooner always a gooner
 
FACT ukiangalia squad yetu sio mbaya tatizo kubwa naloliona ni FOCUS na huwa inatokea kwenye baadhi ya games for almost 4 years in a row hili limekua ni tatizo kubwa sijui ni kwa nini hasa kwenye Mid ,Defence na Goalkeeper kuhusu forwards zetu sina shaka nazo kabisa kabisa mf Gabriel Ramsdale Zenny White Partey hawa ni 11st eleven wetu ila concentration huwa ni tatizo tusipotibu hili tatizo hata kwa formation tofauti yatajirudia yale yale!
Sahihi.no matter how good are they,kuna muda ile killing instinct inakosekana na hiki kitu kifanyiwe kazi saaana
 
Wapi nimelazimisha timu zote zicheze hivo?

Yaani kushinda pre season umeshaona tayari mna timu ya ubingwa?

Kuna mwaka gan pre season mlifungwa nyie

Tumeona mlikamia kutaka kuvunja had wachezaji wetu

Mimi narudia manjesta wachezaji wanaoweza kuingia Kikos cha Arsenal hawazid wawili au mmoja
Sawa.
 
Mpira wa siku hizi unahitaji nidhamu... Nidhamu ni kitu kikubwa sana

"You underestimate your opponent then be prepared to be humbled"
Siokweli kwamba tulimu underestimate,

Kwann hamtaki kuelewa maana ya pre season

Huon kwamba kupitia mchezo Kama ule kocha anapata best combination ipi yakutembea nayo kwenye Ligi na UCL

Wachezaji Kama Martinelli ,Tomiyasu wametoka injury ,kucheza michezo Kama ile wanarudisha fitness

3 new players ambao hawajawahi kucheza pamoja ,wanacheza katika system mpya ,ndio sehemu yakusomana na wenzao
 
Back
Top Bottom