Arsenal (The Gunners) | Special Thread

🤣🤣🤣🤣
 
hii ni mechi ya kirafiki tu, ila points zenu 6 kwenye Epl bado ziko palepale.
Ni lini mara y mwisho umechukua point6 kwa arsenal kama haijapita miaka5 sijui mtu anaetupa mtihan wa kupata ushindi ni city pekee nyumbu wengn wote either mshangilie ushindi wa favour z marefa au sare....haka ka ushindi utakajutia nakwambia
 
Matusi ya nini tena mbona huwa unakasirika sana tukikuambia ukweli kijana, Tulia hapa sio kitchen party ushazoea u mc basiii unataka kuongea pekee yako.

Punguza hasira brother we are here against false hope and you are the one who bring false hope .
Huyu ni mpumbav na muongo..kama hatak kua Quoted aanzishe jamii forumn yake aiite Hamis Forumn awe anacomment mwnyw.. Ww hapa jukwaa la mpr hutak kua Quoted na unaongea mambo ya uongo we nan bana?
 
Ni lini mara y mwisho umechukua point6 kwa arsenal kama haijapita miaka5 sijui mtu anaetupa mtihan wa kupata ushindi ni city pekee nyumbu wengn wote either mshangilie ushindi wa favour z marefa au sare....haka ka ushindi utakajutia nakwambia
Punguza wenge basi mkuu, goli mbili tu tena mechi yenyewe ni ya kirafiki tu inakufanya unapagawa mpaka unashindwa kusoma comments vizuri?
Mashabiki wa Asaninyau kina Mc Masingeli ndio walikua wanatamba kua msimu huu Arsenongwa wana points zao 6 kwa nyumbu, mimi hapo ndio nimewakumbusha kua points zao 6 kwa nyumbu bado ziko palepale sasa wewe hapo hujaelewa nini?
 
Ni mtazamo wako na ni haki yako.unajua kwanini mechi kama ya leo ni muhimu?.kuna mengi ya kujifunza kuliko matokeo.
Kumbuka.IF YOU NEED TO BE A HERO BE A MAN FIRST
Tumepigwa 2 kwa zero na penalties tumelose what does it mean?yes ni friendly game but pia ndio inatakiwa userious uonekane hapo Ramsdale kwa penalties ni paka na panya kiujumla tumezidiwa na bado team haijakamilika August 6 vs Manchester City kwa squad hii unaona tutatoboa?even kwenye EPL and champions league?OK let's wait and see na problem ya baadhi ya fans ni kujiona wao football
️ wanaijua sisi wengine tunakaa na kushangaa is it true kuwa tupo tayari kucompete na giants?unabaki unacheka tu jana Manchester United ni kipimo sahihi sana kwetu zaidi ya sana licha ilikuwa ni friendly tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…