hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 18,335
- 26,802
Acha majungu kijana , umesikia wapi, mashabiki wa Chelsea mnamuandama ili tu aonekana Kama magarasa yenuNasikia havertz hamumtaki tena
Havertz amecheza mechi gani had Sasa ,
Acha majungu kijana , umesikia wapi, mashabiki wa Chelsea mnamuandama ili tu aonekana Kama magarasa yenuNasikia havertz hamumtaki tena
Huyo Muhindi kwenye avator yako miyeyusho sana![]()
![]()


ana akili za kiwaki sanaHapana. Halfajili ni mechi ya leo kwetu itakuwa 03:30 yaani saa tisa usikuSio alfajiri kwa saa za huku kwetu mkuu
BWhich midfield would you want View attachment 2693282
Ni kwa sababu Stats zake upande wa defense ni mbaya ukilinganisha na Rice. Caicedo anamzidi Rice kwenye attacking aspects while Rice anamzidi Caicedo kwenye defensive aspects.Kuna sehemu nimeona pia wanasema Caicedo hafai kuwa 6 ,ni #8
Lakin mbona stats za Rice kwenye attacking nazo zinaonesha ni nzuri kuliko #8 wengiNi kwa sababu Stats zake upande wa defense ni mbaya ukilinganisha na Rice. Caicedo anamzidi Rice kwenye attacking aspects while Rice anamzidi Caicedo kwenye defensive aspects.
Namkubali Kai ,ila naona ataingia taratibu XI , naiona Midfield B mapema Sana
Ametapeliwa Sana last season hana hamuTajiri miluzi amevunja laini ambayo arsenal wanampigia simu amesema it is all about business.
Namba 8 wengi but sio Rice. Kuwaanzisha itategemea na formation, game approach and strength of opponent team.Lakin mbona stats za Rice kwenye attacking nazo zinaonesha ni nzuri kuliko #8 wengi
Thus why Arsenal fans wanataman kuiona Trio ya
Partey Kama #6 Rice na Øde Kama double 8
Maana humo utapata Radha zote za midfield

️ |
Arsenal boss Mikel Arteta has confirmed that he expects to see Declan Rice and Thomas Partey play a lot together this season. 

















Mazungumzo kati ya mshambuliaji wa Arsenal Nicolas Pepe na klabu moja ya Saudi Arabia yamesambaratika. Mchezaji huyo wa kimataifa wa Ivory Coast alikuwa amepewa kitita ambacho kilijumuisha mshahara wa jumla wa Euro milioni 5 pamoja na marupurupu makubwa lakini klabu hiyo sasa imehamia kwenye malengo mengine. Yeah, hiyo B ipo tayari yaani! Kai anaweza kuwaka baadaye akaanza piga watu benchi hatutaamini.Namkubali Kai ,ila naona ataingia taratibu XI , naiona Midfield B mapema Sana
Yah inategemea na mechi ,Namba 8 wengi but sio Rice. Kuwaanzisha itategemea na formation, game approach and strength of opponent team.
Nane tunao wengi naona had TROSAARD atacheza Sana hapoYeah, hiyo B ipo tayari yaani! Kai anaweza kuwaka baadaye akaanza piga watu benchi hatutaamini.
Positional play, Kai ndio master wa hii michezo kitu ambacho xhaka ni mgumu kunyambulikaNane tunao wengi naona had TROSAARD atacheza Sana hapo
Kai akitulia hapo nane ya kushoto ,halafu Kuna kale kamchezo ka Arsenal kakubadilisha namba ndan ya mchezo ,unamkuta Jesus kawa no.11 ,, Kai kaingia 9 , martinelli karud chini
Wazungu wanaita positional play , kale ndio kanafanyaga usijue Nan anafunga goli
















Kapten mtoto kaongeaPositional play, Kai ndio master wa hii michezo kitu ambacho xhaka ni mgumu kunyambulika
Na kwasababu michuano ni mingi,
Kai, rice partey, odegard, joginho hizi mido zitakua zinapigwa rotation ya hatari sana
Kuna game duo itakua, joginho rice na odegard
Kuna game duo itakua, Kai ode na rice
Kuna game duo itakua rice Rowe na partey
Na Kuna hii ya moto; rice odegard na partey
![]()