Kwahiyo Newcastle yako inashinda mechi zote?
Jitahidi uitoe Arsenal kichwani , Kuna jukwaa la Newcastle kalifufue upate fans
Why mnaumia Sana kuhusu Habari za Arsenal?
Kwanini usiliweke active jukwaa la Newcastle

Ungefufua jukwaa Hilo angalau upate fans wawili kuliko kukaa humu Unaona wivu, Kama tunapeana hopes kwann umeekuwa unaumiaWewe unahisi kwanini watu wanampenda madonga ? Mikwara mingi halafu mwishoni anachezea ndo arsenal kwenye mpira![]()
Ila zincheko ana vikao vingi sana yule mwamba this season mwambie apunguze vikao bana!! Mnapigwa goli yeye anawakusanya tu na kuwapa false hope kama unavyofanya humu
Jukwaa soon linafufuka subiri si unajua hata Newcastle tupo uefa then tunaanza na big teams zote city na liverpool then tunakuja kwa hizi brighton then false hope gunners![]()
Thus why naamini mmerudi back 2005tunashukaje daraja angali tuko darajani![]()
Ungefufua jukwaa Hilo angalau upate fans wawili kuliko kukaa humu Unaona wivu, Kama tunapeana hopes kwann umeekuwa unaumia
Kwann usihangaike na Newcastle na sajili zake na Jana imecheza na rangers ,muda wote upo humu kukebehi Arsenal wakati Newcastle ule Uzi wake upo domant
Inaonesha unaumia Sana kuona Arsenal tunapeana update humu,,


umepotea kusikojulikanaMimi naona unaongea ujinga ,ndio maana nilikukataza hata kuni qoute ,Sina cha kuumia hapo mkuu kama ni maumivu niliumia as fan na sio sasa now napoza maumivu kwa kushinda humu nikishangaa what happened mpaka arsenal ikaamua kunipa false hope nami nikakubali .
Nipo hapa nasubiri niwaangalie mnavyocheza then nije nione false hope unazowapa vijana![]()
Huu ndo muda wenu wakutamba we know that!! Huu ndo muda wa wewe kutufukuza jukwaani kwa tambo lakini April sisi ndo tutakuwa tunakutafuta kwenye jukwaa lakoumepotea kusikojulikana
Fufua Uzi wa Newcastle Basi ili itakapokuwa inachezea vipigo tukuone au unajificha humu kuinanga Arsenal na kusubiri ifungwe ila Newcastle yako utaisemea wapi au kuikosoa wapi?Sina cha kuumia hapo mkuu kama ni maumivu niliumia as fan na sio sasa now napoza maumivu kwa kushinda humu nikishangaa what happened mpaka arsenal ikaamua kunipa false hope nami nikakubali .
Nipo hapa nasubiri niwaangalie mnavyocheza then nije nione false hope unazowapa vijana![]()
Huu ndo muda wenu wakutamba we know that!! Huu ndo muda wa wewe kutufukuza jukwaani kwa tambo lakini April sisi ndo tutakuwa tunakutafuta kwenye jukwaa lakoumepotea kusikojulikana
Mimi naona unaongea ujinga ,ndio maana nilikukataza hata kuni qoute ,
Wewe mshabiki wa Newcastle ,lakin Arsenal inakuumaa Sana , usiku huu umeacha usingizi, why usihangaike na Newcastle inafanya sajili imecheza Jana
Why usifufue jukwaa la Newcastle ili watu wawe wanakupika humu
Au hiyo Newcastle yako inashinda kila mechi ? Hiyo Newcastle yako itakuwa ikibondwa huonekani?
Maana binafsi bado sion Newcastle yakuchukua point 3 kwa Arsenal
usijekukimbia April tunakuomba utupe ahadi kabisa utakuwa bega kwa bega na false hopers wengine 
as a leaderCha Moto kipi ,game muda wote Newcastle anazuiaAt the end itajulikana nan anaongea ujinga pleaseusijekukimbia April tunakuomba utupe ahadi kabisa utakuwa bega kwa bega na false hopers wengine
as a leader
Sijaacha usingizi hata arsenal angekuwa hachezi still ningekuwa macho , Newcastle mbona nahangaika nayo tu mzee rangers jana kafa 2 then barnes yupo hatua za mwisho kuwa magpies player
Game ya mwisho umebahatisha kushinda cha moto ulikionaa this time ndo kabisa 6 points howe anabeba. Arteta unakumbuka Newcastle ilifanya aishiwe sauti baada ya kufa goli 2 mule mchaka mchaka mwanzo mwisho ben white akajifunga kisa tu msako na kipindi kile tulikuwa hatupo katika race yoyote now we are real title contender

