Hio jezi imewatambulisha rasmi kua nyie ni utopolo wa London.Hii kit tutakuwa tumeitafuta kwa ajili ya kuwapa wapinzani kizunguzungu wakituona tunakimbia uwanjani. Itakuwa ndo sababu sisi tunaianzia mapema wachezaji wetu waizoee kwanza maana mimi nikiiona kwenye screen tu napata kizunguzungu na kichwa kinauma.
Mpira wa kuongelea mdomoni na ule wa uwanjani ni vitu viwili tofauti.Kwenye makaratasi ni viungo watatu ila with ball hapo ni viungo wanne
Zinchenko Rice Partey Ødegaard
Hakuna fala wakupoteza mpira kizembe hapo , Press resistant wote hao
Ukisimama nchale ukilala nchale
Flano na Genge lako hamuogopiView attachment 2693525




Haya maneno ya kapteni mtoto sisi kazi yetu ni kuyahifadhi tu halafu tutakuja kukumbushana humu mwezi wa 5 wakati ligi inaelekea ukingoni.Kapten mtoto kaongea View attachment 2693482
Ungepambana kwanza na timu yako inayoonekana inawezekana kushuka daraja ingekuwa vzr zaidihamisa mobeto ukiwaga unaongoza ligi unakuaga na mdomo sanaila unajipigaga ban mwenyewe ngoja tukuache saiv unaongoza ligiView attachment 2693611
Wewe hifadhi , weka na muhuri kabisaHaya maneno ya kapteni mtoto sisi kazi yetu ni kuyahifadhi tu halafu tutakuja kukumbushana humu mwezi wa 5 wakati ligi inaelekea ukingoni. View attachment 2693628
Mimi nakusisitiza tu last season nilikwambia we are going to be title Contender na ilikuwa hivoMpira wa kuongelea mdomoni na ule wa uwanjani ni vitu viwili tofauti.
Subiri ligi ianze tuone mbivu na mbichi.
Kikubwa wasisitize tu hao wafuasi wako mwisho wa ligi wawe wapole, hatutaki matusi humuView attachment 2693623


Sidhan mkuu labda online ,mm nimejitolea nitaangalia highlights tu keshoMechi ya alfajiri,mbali na onilaini kuna chaneli ya stataimu,/azam/dstv itaonyesha?
Arsenal are in negotiations to sign Gremio midfielder Bitello. Edu Gaspar is in contact with the board of Gremio to close the deal.Arsenal signed TimberHaya maneno ya kapteni mtoto sisi kazi yetu ni kuyahifadhi tu halafu tutakuja kukumbushana humu mwezi wa 5 wakati ligi inaelekea ukingoni. View attachment 2693628
Skauti aliyempeleka martinel asenali ndio hatariii zaidi.Moja ya mkakati wa Arsenal nikuhakikisha kila dirisha kubwa anashushwa kinda mmoja wa kibrazili fundi ,na huyu anakuwa ni usajili wa Edu mwenyewe na sio Arteta japo atapitishwa na Arteta
Edu alituletea Martinel ,, Marquinho na Sasa Kuna dalili akatushushia Bittelo
Arsenal are in negotiations to sign Gremio midfielder Bitello. Edu Gaspar is in contact with the board of Gremio to close the deal.View attachment 2693680
Skauti aliyempeleka martinel asenali ndio hatariii zaidi.
Huyu bitelo kwa mllivyo muona anavitu vitu au ndio lokonga aliyechangamka tu![]()
. Huyu marqhuinos nae naona kazi hamnaKwenye makaratasi ni viungo watatu ila with ball hapo ni viungo wanne
Zinchenko Rice Partey Ødegaard
Hakuna fala wakupoteza mpira kizembe hapo , Press resistant wote hao
Ukisimama nchale ukilala nchale
Flano na Genge lako hamuogopiView attachment 2693525
ni kama wewe vile mtu anaweza kujua arsenal ni ruthless timu.
kila mnapufungwa tunashukaje daraja angali tuko darajaniUngepambana kwanza na timu yako inayoonekana inawezekana kushuka daraja ingekuwa vzr zaidi



Kwahiyo Newcastle yako inashinda mechi zote?Mikwara hii unanikumbusha kwa mara ya kwanza naona clip ya mandoga akimpiga mkwara kaoneka nikajiuliza hili jamaa la wapi mbona linaweza kuua mtu ulingonini kama wewe vile mtu anaweza kujua arsenal ni ruthless timu.
Ngoja timu iingie uwanjani sasa ikutane na watu wa kazi city na wengine unaona mara tomiyasu anatetemeka mwenye anampasia KDB. Zincheko nae huyu anakula tobo kwa arnold , anaanza kuita vikao vya kipumbavu uwanjanikila mnapufungwa View attachment 2693697
Picha kam hii mara nyingi huonekana kwenye viunga vya arsenal kuanzia April & May