Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kwenye makaratasi ni viungo watatu ila with ball hapo ni viungo wanne

Zinchenko Rice Partey Ødegaard

Hakuna fala wakupoteza mpira kizembe hapo , Press resistant wote hao

Ukisimama nchale ukilala nchale


Flano na Genge lako hamuogopi
20230719_205251.jpg
 
Hii kit tutakuwa tumeitafuta kwa ajili ya kuwapa wapinzani kizunguzungu wakituona tunakimbia uwanjani. Itakuwa ndo sababu sisi tunaianzia mapema wachezaji wetu waizoee kwanza maana mimi nikiiona kwenye screen tu napata kizunguzungu na kichwa kinauma.
Hio jezi imewatambulisha rasmi kua nyie ni utopolo wa London.
tapatalk_1939870005_450x600.jpg
 

Attachments

  • tapatalk_1939870005_450x600.jpg
    tapatalk_1939870005_450x600.jpg
    71.4 KB · Views: 7
Kwenye makaratasi ni viungo watatu ila with ball hapo ni viungo wanne

Zinchenko Rice Partey Ødegaard

Hakuna fala wakupoteza mpira kizembe hapo , Press resistant wote hao

Ukisimama nchale ukilala nchale


Flano na Genge lako hamuogopiView attachment 2693525
Mpira wa kuongelea mdomoni na ule wa uwanjani ni vitu viwili tofauti.
Subiri ligi ianze tuone mbivu na mbichi.
Kikubwa wasisitize tu hao wafuasi wako mwisho wa ligi wawe wapole, hatutaki matusi humu
Screenshot_20230422-105757.jpg
 
Mpira wa kuongelea mdomoni na ule wa uwanjani ni vitu viwili tofauti.
Subiri ligi ianze tuone mbivu na mbichi.
Kikubwa wasisitize tu hao wafuasi wako mwisho wa ligi wawe wapole, hatutaki matusi humu View attachment 2693623
Mimi nakusisitiza tu last season nilikwambia we are going to be title Contender na ilikuwa hivo

Msimu huu mjiandae kutoa points 6 bila shuruti

Hatutaki Tena Mambo yakupotezeana muda


Kwa Midfield hii unaponaje

Ukisimama nchale ukikaa nchale

20230719_222650.jpg
 
Representatives of Arsenal, in the case of sporting director Edu Gaspar, have contacted Gremio to ‘close the deal’ for 23-year-old midfielder Bitello.

[@UOLEsporte] #afc
 
Moja ya mkakati wa Arsenal nikuhakikisha kila dirisha kubwa anashushwa kinda mmoja wa kibrazili fundi ,na huyu anakuwa ni usajili wa Edu mwenyewe na sio Arteta japo atapitishwa na Arteta

Edu alituletea Martinel ,, Marquinho na Sasa Kuna dalili akatushushia Bittelo


Arsenal are in negotiations to sign Gremio midfielder Bitello. Edu Gaspar is in contact with the board of Gremio to close the deal.
20230719_233329.jpg
 
Moja ya mkakati wa Arsenal nikuhakikisha kila dirisha kubwa anashushwa kinda mmoja wa kibrazili fundi ,na huyu anakuwa ni usajili wa Edu mwenyewe na sio Arteta japo atapitishwa na Arteta

Edu alituletea Martinel ,, Marquinho na Sasa Kuna dalili akatushushia Bittelo


Arsenal are in negotiations to sign Gremio midfielder Bitello. Edu Gaspar is in contact with the board of Gremio to close the deal.View attachment 2693680
Skauti aliyempeleka martinel asenali ndio hatariii zaidi.

Huyu bitelo kwa mllivyo muona anavitu vitu au ndio lokonga aliyechangamka tu😆😂
 
Kwenye makaratasi ni viungo watatu ila with ball hapo ni viungo wanne

Zinchenko Rice Partey Ødegaard

Hakuna fala wakupoteza mpira kizembe hapo , Press resistant wote hao

Ukisimama nchale ukilala nchale


Flano na Genge lako hamuogopiView attachment 2693525

Mikwara hii unanikumbusha kwa mara ya kwanza naona clip ya mandoga akimpiga mkwara kaoneka nikajiuliza hili jamaa la wapi mbona linaweza kuua mtu ulingoni ni kama wewe vile mtu anaweza kujua arsenal ni ruthless timu.

Ngoja timu iingie uwanjani sasa ikutane na watu wa kazi city na wengine unaona mara tomiyasu anatetemeka mwenye anampasia KDB. Zincheko nae huyu anakula tobo kwa arnold , anaanza kuita vikao vya kipumbavu uwanjani kila mnapufungwa
IMG_1365.jpg

Picha kam hii mara nyingi huonekana kwenye viunga vya arsenal kuanzia April & May
 
Mikwara hii unanikumbusha kwa mara ya kwanza naona clip ya mandoga akimpiga mkwara kaoneka nikajiuliza hili jamaa la wapi mbona linaweza kuua mtu ulingoni ni kama wewe vile mtu anaweza kujua arsenal ni ruthless timu.

Ngoja timu iingie uwanjani sasa ikutane na watu wa kazi city na wengine unaona mara tomiyasu anatetemeka mwenye anampasia KDB. Zincheko nae huyu anakula tobo kwa arnold , anaanza kuita vikao vya kipumbavu uwanjani kila mnapufungwa View attachment 2693697
Picha kam hii mara nyingi huonekana kwenye viunga vya arsenal kuanzia April & May
Kwahiyo Newcastle yako inashinda mechi zote?

Jitahidi uitoe Arsenal kichwani , Kuna jukwaa la Newcastle kalifufue upate fans

Why mnaumia Sana kuhusu Habari za Arsenal?

Kwanini usiliweke active jukwaa la Newcastle
 
Back
Top Bottom