Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Ben white anaona wivu
20230717_221817.jpg
 
SIKU MOJA NITALETA MAKALA KWANINI

Arteta anamkubali Sana Ødegaard kuliko mchezaji mwingine Arsenal

Kwanini alimchagulia jezi namba 8 ambayo yeye Arteta aliivaa akiwa Arsenal

Kwanini kwenye mazoezi ya Arsenal anakuwa nae karibu Sana na mazoezi ya wachezaji kwa wachezaji ,Arteta hufanya na Ødegaard



View attachment 2691300View attachment 2691301
Sababu ni chakula chake, Ode si huwa anagawa upendo, nahis ata ugomvi wa Lecazate na Arteta kisa ni Ode kugawa upendo kwa wote wawili.
 
During the 2022/23 season...

◉ Declan Rice won possession more times than any other player in the Premier League

◉ Martin Ødegaard won possession in the final third more times any other player in Europe's top five leagues

◉ At the time of his injury, William Saliba had won possession in the defensive third more times than any other player in the Premier League

Arsenal will be sweeping up everything.
20230718_002738.jpg
20230718_002736.jpg
20230718_002732.jpg
 
Hajaanza kuchekesha leo, tangu ya Arsenal kondoo, Halland kiatu.
Huwa makondoo mnachekesha hatari
Hii timu yenu Kama chuma ulete , Hadi Sasa mmeshatumia €100m kwenye usajili, lakin timu ni dhaifu afadhali ya mwaka Jana

Dirisha likifungwa utasikia imetumika€300m , lakin kikos Kama Cha Gwambina ya pastor Athanas

Nakupa homework panga first eleven hapa ya kutoboa top 10
20230717_205441.jpg
 
7+3hag nasubiri msimu huu Kama atani surprise,ila mm bado namuona kocha wa kawaida kwa mpira mnaocheza ,sajili za ajabu anazofanya

Kuna mechi sichini ya 7-9 mlikuwa mfe kabisa ila harakati za Degea ziliwaweka mjini

Kwa msako ule tunaowapigiaga mwaka huu Kuna 4+

Tarehe 23 wiki ijayo pale USA tutawatest nadhani baada ya hiyo mechi mtaingia sokon kwa pupa
Subirini 10hag awatandike nje ndani halafu mtupigie kelele humu kua Man Utd anebebwa.
Hii Arsenyo ya msimu huu sidhani kama itazifunga zile big 6 hata moja.
Tunasubiri ligi ianze kelele zipungue humu.
Tunaendlea tulipoishia tunawapiga kwenye mshono..
 
Back
Top Bottom