Rashford. Mchezaji ambaye hajawahi kutakwa na timu yoyote dunianiHivi mtu anaweza akamnunua Zinchenko akamwacha ChilWell? Au akamnunua Saka akamwacha Rashford? au akamnunua Zinchenko akamwacha Luke Shaw?
Sababu ni chakula chake, Ode si huwa anagawa upendo, nahis ata ugomvi wa Lecazate na Arteta kisa ni Ode kugawa upendo kwa wote wawili.SIKU MOJA NITALETA MAKALA KWANINI
Arteta anamkubali Sana Ødegaard kuliko mchezaji mwingine Arsenal
Kwanini alimchagulia jezi namba 8 ambayo yeye Arteta aliivaa akiwa Arsenal
Kwanini kwenye mazoezi ya Arsenal anakuwa nae karibu Sana na mazoezi ya wachezaji kwa wachezaji ,Arteta hufanya na Ødegaard
View attachment 2691300View attachment 2691301
Rashford. Mchezaji ambaye hajawahi kutakwa na timu yoyote duniani

Ligi ianze tu, top 3 wahusika tushajuanaNewcastle katia 82M kwa ajili ya Kvarastkelia
Nimecheka kinomaLigi ianze tu, top 3 wahusika tushajuana
Imebaki nafasi 1 ambayo ni ya 4 ya kugombania ili ucheze uefa
Yaan Kama hayupo hivi,, kumbe ni flop mwingine huyu , mchezaji hata mechi 5 hafikishiWesley Fofana alinunuliwa kwa 80M na chelsea.
Na ni bogus ila husikii watu wakimtaja

Hajaanza kuchekesha leo, tangu ya Arsenal kondoo, Halland kiatu.Nimecheka kinoma
Hii timu yenu Kama chuma uleteHajaanza kuchekesha leo, tangu ya Arsenal kondoo, Halland kiatu.
Huwa makondoo mnachekesha hatari![]()
, Hadi Sasa mmeshatumia €100m kwenye usajili, lakin timu ni dhaifu afadhali ya mwaka Jana7+3hag nasubiri msimu huu Kama atani surprise,ila mm bado namuona kocha wa kawaida kwa mpira mnaocheza ,sajili za ajabu anazofanya
Kuna mechi sichini ya 7-9 mlikuwa mfe kabisa ila harakati za Degea ziliwaweka mjini
Kwa msako ule tunaowapigiaga mwaka huu Kuna 4+
Tarehe 23 wiki ijayo pale USA tutawatest nadhani baada ya hiyo mechi mtaingia sokon kwa pupa
Tunaendlea tulipoishia tunawapiga kwenye mshono..Subirini 10hag awatandike nje ndani halafu mtupigie kelele humu kua Man Utd anebebwa.
Hii Arsenyo ya msimu huu sidhani kama itazifunga zile big 6 hata moja.
Tunasubiri ligi ianze kelele zipungue humu.
Hela unatoa wewe kaka?Hizi pesa zilizomwagwa kwa Rice ni nyingi mno haziendani kabisa na ubora wa mchezaji husika.
Mkuu ukiangalia hyo comment yke kwa vzuri....ni maumivu tu yanamsumbua jamaa kuchukuliwa na Arsenal maana haikutegemewa especially baada ya City kumtaka piaHela unatoa wewe kaka?
Soko lishaharibiwa Na Chelsea, city Na manyumbu tunaenda nalo hivyo hivyo.
Antony sio mchezaji wa euro 100.
Huyo Muhindi kwenye avator yako miyeyusho sana 🤣 🤣Tunaendlea tulipoishia tunawapiga kwenye mshono..
Kuna fofana anacheza mechi 5 kwa msimu aliuzwa €80mHela unatoa wewe kaka?
Soko lishaharibiwa Na Chelsea, city Na manyumbu tunaenda nalo hivyo hivyo.
Antony sio mchezaji wa euro 100.

