Upo sahihi kabisaHakutukataa yeye.
Atletico walioeta ujanja kabla hajaondoka wakamsainisha mkataba mpya idea yao ni atakapoenda wakimtaka value iwe ya juu.
Miluzi alivyofika akatoa ofa ya mkopo ya juu kutuzidi so Atletico waliamini wamepata potential suitor pua so wakatutosa.
Rice ni namba 8 mzuri ,nashindwa kuweka video hapa ,ujue hata Pep alikuwa anamtaka Kama no.8 acheze na Rodri ,partey na rice wanaweza kucheza pamoja kwenye eneo la kati la uwanja.. kwa mfumo wa 4-4-2.
Kama sio nyumbu ni Kenge,Rice ni namba 8 mzuri ,nasahindwa kuweka video hapa
Tuombe Partey abaki wacheze pamoja , plus Zinny au timber , Kuna mtu atakuja kula 10 haki ya nani


home sweet home' hili event liko poaWale Arsenal fans mnaoishi tunduma ,mjitokeze Kuna mwana ka organize event huko
Through events Kama hizi nimepata ndugu jamaa na marafiki ambao mpaka kesho tunasaidiana kwenye Hali ngumu View attachment 2692283
Tchouameni & Lavia wote hawana tofauti na Thomas Partey,wote press resistant ila wanakosa baadhi ya vitu, lavia bado mdogo, miaka 19, siwezi kumuamini kabisa kuanza kwenye timu kama Arsenal mbele ya man city, Caicedo is built different ila ufupi wake unamfanya asiwe potential #6, Caicedo ni #8 LCM.Tchoumeni namuona Kama kiungo flan mgumu , napenda viungo like Lavia ,Kuna takwimu moja ya Lavia inasema katika press 10 alizofanyiwa alipoteza mpira mara moja tu
Itakuwa poa kweli, Kuna event nilihudhuria ilikuwa kusaidia yatima nilipata ndugu wengi wa Arsenal fans ,ambao tunasaidiana mpaka keshohome sweet home' hili event liko poa
love sana kwa fans wa arsenal pande hizo
BREAKING: Arsenal are eyeing a move for Mohammed Kudus. But, they need to sell players first.
Kuna sehemu nimeona pia wanasema Caicedo hafai kuwa 6 ,ni #8Tchouameni & Lavia wote hawana tofauti na Thomas Partey,wote press resistant ila wanakosa baadhi ya vitu, lavia bado mdogo, miaka 19, siwezi kumuamini kabisa kuanza kwenye timu kama Arsenal mbele ya man city, Caicedo is built different ila ufupi wake unamfanya asiwe potential #6, Caicedo ni #8 LCM.
It seem ni kudusHapo n kudus hapoondio atakuwa sahihi kwa kulia na kati.
Ila likumbukeni jina la amario yakimnyookea ni saka wa pili
Hao braiton ndio hivyo tu,tungewapa baloguni+tavarezi/pepe(kama watawahitaji) na hiyo kati ya yuro 10-20m hapo
Hamis77 ww kama mjumbe wa asenali dunia kutoka jamiiforamu watakusikilizanaomba uwapelekee mapendekezo haya wakina edu iniboksi au kwenye imeili ya timu,kwa wale wachezaji waliochwa(tava,pepe,sedriki, n.k) kama kuna uwezekano waunganishwe kwenye madili ya kuleta wachezaji wawili (msaidizi wa saka na kiungo-lavia) ilikulahisisha usajili
![]()
Hahaahaaaaaa imemramba hii😆😆😆😆KUDUS ni swala la muda
Arsenal are eyeing Kudus but first need to sell players.
Kudus versatility is known to be particularly attractive to Arsenal's recruitment staff.
(@SamiMokbel81_DM - Tier 1 )
Naam ikienda kama ilivyo ni hatariiii sanaaa😂It seem ni kudus
Sami mokbel -Tier 1
Hajawahi niangusha
The gunnersWale Arsenal fans mnaoishi tunduma ,mjitokeze Kuna mwana ka organize event huko
Through events Kama hizi nimepata ndugu jamaa na marafiki ambao mpaka kesho tunasaidiana kwenye Hali ngumu View attachment 2692283



Mrithi wa patei ilifaa aletwe dirisha hili la sasa,binafsi naona Lavia angefaa zaidi 😆 iliaendane na fezi fooo😂😂😂Tchouameni & Lavia wote hawana tofauti na Thomas Partey,wote press resistant ila wanakosa baadhi ya vitu, lavia bado mdogo, miaka 19, siwezi kumuamini kabisa kuanza kwenye timu kama Arsenal mbele ya man city, Caicedo is built different ila ufupi wake unamfanya asiwe potential #6, Caicedo ni #8 LCM.
Ni swala la muda , wengi walihisi hivo ,Naam ikienda kama ilivyo ni hatariiii sanaaa![]()
Kudus akija bas hata saka akiumia hatutashituka sana pia anaweza cheza number ya ordegaad vizuri na false nineNaam ikienda kama ilivyo ni hatariiii sanaaa![]()