Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

partey na rice wanaweza kucheza pamoja kwenye eneo la kati la uwanja.. kwa mfumo wa 4-4-2.
 
Hakutukataa yeye.

Atletico walioeta ujanja kabla hajaondoka wakamsainisha mkataba mpya idea yao ni atakapoenda wakimtaka value iwe ya juu.

Miluzi alivyofika akatoa ofa ya mkopo ya juu kutuzidi so Atletico waliamini wamepata potential suitor pua so wakatutosa.
Upo sahihi kabisa
 
partey na rice wanaweza kucheza pamoja kwenye eneo la kati la uwanja.. kwa mfumo wa 4-4-2.
Rice ni namba 8 mzuri ,nashindwa kuweka video hapa ,ujue hata Pep alikuwa anamtaka Kama no.8 acheze na Rodri ,

Tuombe Partey abaki wacheze pamoja , plus Zinny au timber , Kuna mtu atakuja kula 10 haki ya nani
 
Wale Arsenal fans mnaoishi tunduma ,mjitokeze Kuna mwana ka organize event huko

Through events Kama hizi nimepata ndugu jamaa na marafiki ambao mpaka kesho tunasaidiana kwenye Hali ngumu
20230718_180301.jpg
 
Tchoumeni namuona Kama kiungo flan mgumu , napenda viungo like Lavia ,Kuna takwimu moja ya Lavia inasema katika press 10 alizofanyiwa alipoteza mpira mara moja tu
Tchouameni & Lavia wote hawana tofauti na Thomas Partey,wote press resistant ila wanakosa baadhi ya vitu, lavia bado mdogo, miaka 19, siwezi kumuamini kabisa kuanza kwenye timu kama Arsenal mbele ya man city, Caicedo is built different ila ufupi wake unamfanya asiwe potential #6, Caicedo ni #8 LCM.
 
Tchouameni & Lavia wote hawana tofauti na Thomas Partey,wote press resistant ila wanakosa baadhi ya vitu, lavia bado mdogo, miaka 19, siwezi kumuamini kabisa kuanza kwenye timu kama Arsenal mbele ya man city, Caicedo is built different ila ufupi wake unamfanya asiwe potential #6, Caicedo ni #8 LCM.
Kuna sehemu nimeona pia wanasema Caicedo hafai kuwa 6 ,ni #8
 
KUDUS ni swala la muda



Arsenal are eyeing Kudus but first need to sell players.

Kudus versatility is known to be particularly attractive to Arsenal's recruitment staff.

(@SamiMokbel81_DM - Tier 1 )
 
Hapo n kudus hapoo ndio atakuwa sahihi kwa kulia na kati.

Ila likumbukeni jina la amario yakimnyookea ni saka wa pili

Hao braiton ndio hivyo tu,tungewapa baloguni+tavarezi/pepe(kama watawahitaji) na hiyo kati ya yuro 10-20m hapo

Hamis77 ww kama mjumbe wa asenali dunia kutoka jamiiforamu watakusikilizanaomba uwapelekee mapendekezo haya wakina edu iniboksi au kwenye imeili ya timu,kwa wale wachezaji waliochwa(tava,pepe,sedriki, n.k) kama kuna uwezekano waunganishwe kwenye madili ya kuleta wachezaji wawili (msaidizi wa saka na kiungo-lavia) ilikulahisisha usajili
It seem ni kudus

Sami mokbel -Tier 1

Hajawahi niangusha
 
KUDUS ni swala la muda



Arsenal are eyeing Kudus but first need to sell players.

Kudus versatility is known to be particularly attractive to Arsenal's recruitment staff.

(@SamiMokbel81_DM - Tier 1 )
Hahaahaaaaaa imemramba hii😆😆😆😆
 
Tchouameni & Lavia wote hawana tofauti na Thomas Partey,wote press resistant ila wanakosa baadhi ya vitu, lavia bado mdogo, miaka 19, siwezi kumuamini kabisa kuanza kwenye timu kama Arsenal mbele ya man city, Caicedo is built different ila ufupi wake unamfanya asiwe potential #6, Caicedo ni #8 LCM.
Mrithi wa patei ilifaa aletwe dirisha hili la sasa,binafsi naona Lavia angefaa zaidi 😆 iliaendane na fezi fooo😂😂😂
Ila dunia hii yaani asenali waliamua kusajili Lokonga kabisaaa wakamsahau dogo Lavia😂😂😂

Marquinyos nae asipobadili namna ya uchezaji wake ambayo naona ni ngumu kubadilika aende walau ligi ya ujerumani au akibaki ipielo aende kwa palesi/lutoni/wachana mbao

Fabio viera mfanyakazi hewa huyu naye presha ni kubwa sana halafu afya yake nina wasi wasi nayo(majeraha aliyonayo nikama endelevu hivi)
 
Marco van Basten: akielezea utofauti wa Kudus na Anthony masebene

"I find Mohammed Kudus a much better football player than Antony.

Antony has his skills, but he is confused with the things he is trying to do! Kudus has much better technique and he knows what he is doing."
20230718_204918.jpg
 
Back
Top Bottom