Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Unamsifia wakat anawaza ujinga, kama msimu uliopita ukajaa upepo ukaanza kusema Arse88 kondoo haland kiatu. Mwisho wa siku akawakimbia.
Relegation battle for Chelsea it's just a matter of time
 
️ | Arsenal want to sell Nuno Tavares (23) this summer and have slapped a £15m-£20m price tag on him. (@BjornJournoPDA).

A talented player, however, constant issues regarding his behaviour and discipline. Last season on loan at Marseille.

The 23-year-old has NOT travelled with the Gunners to the USA. Expect a deal to be concluded. #AFC #Transfers
 
️ | Arsenal want to sell Nuno Tavares (23) this summer and have slapped a £15m-£20m price tag on him. (@BjornJournoPDA).

A talented player, however, constant issues regarding his behaviour and discipline. Last season on loan at Marseille.

The 23-year-old has NOT travelled with the Gunners to the USA. Expect a deal to be concluded. #AFC #Transfers
Tavares is a talented player but his decisions making with the ball is awful. Arsenal must sell him
 
️ | Arsenal want to sell Nuno Tavares (23) this summer and have slapped a £15m-£20m price tag on him. (@BjornJournoPDA).

A talented player, however, constant issues regarding his behaviour and discipline. Last season on loan at Marseille.

The 23-year-old has NOT travelled with the Gunners to the USA. Expect a deal to be concluded. #AFC #Transfers
Watu wa psychology na walimu wa nidhamu hii ndio kazi yao kwa wachezaji Kama hao

Nuno namuona ana potential kubwa sana, ana confidence na speed pia
Maamuzi sahihi tu akiwa na mpira kidogo ndio anayumba
kocha ilibidi amfue kisawa sawa

Nuno, balogun na Lokonga hawa watu ilibidi tuwapige mkopo

Nakumbuka saliba alikua ready for war lakini Arteta akamrudisha tena mkopo
Na msimu huo huo alikiwasha balaaa
Hadi akachua best young player

Wachezaji ambao ilibidi wasiende marekani ni;
Nketiah
elneny
Holding,
Wangeungana na wenzao; Pepe, Cedric
 
Huyo ndio Mc Hamis77, kuna kondoo wake huko wameshaitikia tawireee ....
Kama alishakwambia Pep alifundishwa tatics na Arteta, naomba tu umwelewe.
Tuishi nae tu hivyo hivyo.
Mc wa Singeli Hamis77 hana maisha marefu humu timu ikianza kupokea visago atakimbia na kambi ya upinzani tutateka rasmi hiki kijiwe cha kahawa
 
Amario cozier-Dubbery balaa jingine hilo 😆😆😆 mbavu ya kulia,akiweza kuyafanya mambo yake pasipo presha,SAKA atapata mrithi sahihi😂....
Nelson safari ya soka inaweza kufupishwa na majeraha.

Fabio Vieira ajaribu kumuiga Leon Goretzka inaweza kumsaidia,ila fabio itakuwa anashida kubwa ya kiafya.

Elneny nae sio mchezaji wa kumtegemea yeye anachoweza ni kukamia mechi mbili au tatu msimu mzima😆😆😆

Trossard ndio kiraka chenye fitna kinacheza nafasi zisizopungua 4😆😆😆😆

Wamalize na Romeo Lavia halafu Patei abaki,Joginho kwa ajili ya mechi kadhaa

Alex Runnarson,Trusty wameenda kufanyaje huko marekani?maana sijawaona kama wanaendana na arteta kwa sasa
 
Mc wa Singeli Hamis77 hana maisha marefu humu timu ikianza kupokea visago atakimbia na kambi ya upinzani tutateka rasmi hiki kijiwe cha kahawa
Huyu jamaa kuna siku tutamshtaki kw kuwanadanganya makondoo wenzie na kuwakimbia.

Mpk sasa timu anayowanganya kondoo wenzie kuwa itakua bingwa. Pre season tu haijaweza kushinda hat game moja.
 
Pepe ana namba nzuri za GA kuliko Sancho pia

Na wengi wanakubali kwamba United kwa Sancho wamepigwa. Why? Coz hakuna kikombe United ilishinda.

Ila kwa Grealish jamaa anabisha coz mafanikio ya timu yamemask hizo poor stats

Kumfananisha na pepe ni ujinga, yees Grealish hana stats za maana sana ila kwa pepe hells no!!! Jack ana dribble unaona kabisa mabeki wanaogopa kumkaba na anavuta mabeki wanakuja kwake na kuachia nafasi kwa watu wengine , pepe hata sijui alikua anafanya nini uwanjani yeye mwenywe muoga kukaa na mpira ndo hawezi akishika mpira unajua tu huu Umepotea!!

Panga pangua ya man city grealish ulikua humkosi this season alikua hakosi first 11, sio mafanikio ya timu yamembeba bali yeye pia amechangia mafanikio ya timu
 
Kumfananisha na pepe ni ujinga, yees Grealish hana stats za maana sana ila kwa pepe hells no!!! Jack ana dribble unaona kabisa mabeki wanaogopa kumkaba na anavuta mabeki wanakuja kwake na kuachia nafasi kwa watu wengine , pepe hata sijui alikua anafanya nini uwanjani yeye mwenywe muoga kukaa na mpira ndo hawezi akishika mpira unajua tu huu Umepotea!!

Panga pangua ya man city grealish ulikua humkosi this season alikua hakosi first 11, sio mafanikio ya timu yamembeba bali yeye pia amechangia mafanikio ya timu
Umeona sasa tatizo lilipo hapa.

Mimi nimeongelea namba za GA.

Wewe umeongelea yeye kuvuta watu. Na hata nikiukubali huu msingi mpya ulioutaja wa kuvuta watu nani mwingine tunaambiwa anavuta watu? Anthony wa United na Weghorst wa United.

Kwanini wanaonekana hawajafanya lolote? Hiyo kuvuta watu haijatoa mafanikio yoyote kwenye timu. Kwanini husikii Raphinha wa Barca akisemwa sana wakati na yeye ni hivi hivi? Barca ina la liga
 
Pepe ana namba nzuri za GA kuliko Sancho pia

Na wengi wanakubali kwamba United kwa Sancho wamepigwa. Why? Coz hakuna kikombe United ilishinda.

Ila kwa Grealish jamaa anabisha coz mafanikio ya timu yamemask hizo poor stats
Hivi grealish ukiachana na ku-dive ana nini kingine?
 
Mc wa Singeli Hamis77 hana maisha marefu humu timu ikianza kupokea visago atakimbia na kambi ya upinzani tutateka rasmi hiki kijiwe cha kahawa
Arsenal kwa msimu wa mechi 38 ina uhakika wa kushinda mechi 25-30 ,ikifungwa Sana ni 3-5 nyingine draw ,

Kwahiyo nikimbie kwa hizo mechi 3-5?

Muulize huyo jamaa ako wa Chelsea ,niliwahi mtafuta Sana akasema hawez kutokea maana Chelsea inashuka daraja
 
Mimi naomba Partey abaki ,maana hata caicedo simuamini kivile

Naamin zitakuwa kelele tu Kama zile za Xhaka kwenda Roma ,Hadi ofa ilikuja ,
Acha zako mzee, Caicedo X Rice hii combo world class level ya Real Madrid, hapa unaongelea mid level ya enzo / Bellingham, wanakupa ubingwa mapema mno.
 
Acha zako mzee, Caicedo X Rice hii combo world class level ya Real Madrid, hapa unaongelea mid level ya enzo / Bellingham, wanakupa ubingwa mapema mno.
Niwe mkweli Bellingham, Tchoumeni, sijawahi waelewa nasubiri uwanjani nithibitishe ,

Bissouma sikuwahi muamin had leo

Caicedo nahitaji nimuone msimu mwingine isije kuwa ni one season wonder tu
 
Last season tumemtegemea sn Zinny kuimplement tactics, ila ukiwa na Timber, caicedo, zinny, Rice &Arteta on the wheel, you're unstoppable. Una switch unavyojisikia.
 
Niwe mkweli Bellingham, Tchoumeni, sijawahi waelewa nasubiri uwanjani nithibitishe ,

Bissouma sikuwahi muamin had leo

Caicedo nahitaji nimuone msimu mwingine isije kuwa ni one season wonder tu
Bellingham tupo pamoja
Ila Tchoumeni technically kwenye ni mid ni mzuri mno mno mno

Ndio maana camavinga anacheza full back, coz ukimtoa Tony / modric anaefata ni Tchoumeni
Dream team ya Madrid pale mido wawe Tchoumeni, camavinga

Caicedo so far ni mchezaji mzuri
Japo msimu mmoja zaidi aoneshe uwezo zaidi
Kuweka €100m ni kamari Kama kamari zingine tu
 
Back
Top Bottom