Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Yaani unafananisha impact ya Grealish na Pepe hebu kuwa serious Hamis77 you are better than this

Grealish: EPL (2), FA cup, Champions League kombe,. Trebble 2023. Amekuwa mchezaji muhimu msimu wa 22/23 panga pangua Grealish kamiiiki namba winga ya kulia kampokonya Foden.

Pepe:

Nani Flop unaanzaje kujaribu kumfananisha Grealish na Pepe
Mafanikio ya timu ndio unayazungumzia wewe ,hapo nazungumzia individually

Takwimu za Grealish bado haziridhishi ,huo ndio ukweli

Kumbuka Foden muda mwingi amekuwa injury ,

Mafanikio ya jumla kwa timu ndio yamefanya wengi muone Jack kaperfom Sana ,ila ukweli kwa Bei aliyonunuliwa bado Sana ,

Sikuwahi kuamini Ferran Torres ni Bora Sana ,niliamini Barca wametapeliwa ila sababu ya mafanikio ya city alionekana bonge la mchezaji
 
Amario, anayetajwa Kama mrithi Saka, atakuwa chini ya uangalizi wa karibu na Arteta na wakufunzi wake.

Ndiye mchezaji pekee wa academy aliyesafiri na timu kwenda pre season USA

Wakufunzi wa Akademi na Mertesacker wanaamini kabisa kwamba Arsenal haihitaji kununua winga asilia wa kulia dirisha hili la usajili
20230716_183951.jpg
20230716_183948.jpg
 
Mafanikio ya timu ndio unayazungumzia wewe ,hapo nazungumzia individually

Takwimu za Grealish bado haziridhishi ,huo ndio ukweli

Kumbuka Foden muda mwingi amekuwa injury ,

Mafanikio ya jumla kwa timu ndio yamefanya wengi muone Jack kaperfom Sana ,ila ukweli kwa Bei aliyonunuliwa bado Sana ,

Sikuwahi kuamini Ferran Torres ni Bora Sana ,niliamini Barca wametapeliwa ila sababu ya mafanikio ya city alionekana bonge la mchezaji
Ina maana Mchango wa Jack Grealish msimu uliopita hukuuona au mwenzetu unaangalia mechi za Arsenal tu. Jack Grealish alikua mchezaji muhimu msimu uliopita kwenye kikosi cha Manchester City. Yaani nimekupuuza ulimpofananisha Super Jack Grealish na Pepe.
 
Ina maana Mchango wa Jack Grealish msimu uliopita hukuuona au mwenzetu unaangalia mechi za Arsenal tu. Jack Grealish alikua mchezaji muhimu msimu uliopita kwenye kikosi cha Manchester City. Yaani nimekupuuza ulimpofananisha Super Jack Grealish na Pepe.
Mafanikio ya timu yasikufanye umuone alikuwa na mchango mkubwa , Kuna watu Wana mchango mkubwa Sana ,

Nimekuwekea namba zake hapo , bado mapema Sana kumtoa kwenye kundi la wachezaj flop , narudia mtenge na mafanikio ya timu ,

Kwa namba zake hizo hizo muweke hata manjesta, automatically mtasema ni flop
 
Mafanikio ya timu yasikufanye umuone alikuwa na mchango mkubwa , Kuna watu Wana mchango mkubwa Sana ,

Nimekuwekea namba zake hapo , bado mapema Sana kumtoa kwenye kundi la wachezaj flop , narudia mtenge na mafanikio ya timu ,

Kwa namba zake hizo hizo muweke hata manjesta, automatically mtasema ni flop
Nakufatilia na kukubali sana michango yako lakini leo kwa hili la Grealish umetoa boko. Grealish huyu aliyeuwasha au kuna mwingine
 
Amario cozier-duberry was made part of the USA Tour irrespective of Nelson involvement.

The idea was to give Walters,Nwaneri ,Skelly the Germany tour and to give Cozier Duberry the USA Tour

(@kayakaynak97 on youtube)

youtube.com/watch?v=-XxUv1…
20230716_183951.jpg
 
Nakupa homework ,ujue mafanikio ya timu yamefanya umuone Kama ka perform Sana , ila kwa takwimu hizo hizo na Bei yake ya £100m mpeleke timu nyingine , Kama hutaambiwa MMEPIGWA
Pepe ana namba nzuri za GA kuliko Sancho pia

Na wengi wanakubali kwamba United kwa Sancho wamepigwa. Why? Coz hakuna kikombe United ilishinda.

Ila kwa Grealish jamaa anabisha coz mafanikio ya timu yamemask hizo poor stats
 
Huyo Smith Rowe ndiye mchezaji ball carrier kuliko yeyote Arsenal ,anajua ku Carrie mpira anajua kufanya one two kwa haraka Sana , shooting accuracy yake ni nzuri
Huyu dogo akiwa kwenye ubora wake ni mtu na nusu!.. majeruhi yamemridisha nyuma sana!.. mwaka huu Kuna watu atawakalisha benchi pale Arsenal. Huyu dogo ni mfungaji hatari kabisa!..
 
Nakupa homework ,ujue mafanikio ya timu yamefanya umuone Kama ka perform Sana , ila kwa takwimu hizo hizo na Bei yake ya £100m mpeleke timu nyingine , Kama hutaambiwa MMEPIGWA
Mkuu wanaojua mpira ni wachache sana

Bernado, gundo na KDB
Hii ndio man city

Tena bernado na gundo game changer ambapo wanamlisha kdb
Kdb anamalizia kwa kusambaza upendo

Kila mtu anaona jinsi gani mudryk ni flop ila
Huwezi kuona Philips ni flop, labda uwe na jicho la mpira
 
Tuombe zibaki rumours tu Kama zile za Xhaka mwaka Jana mwisho akabaki ,

Akipaki Partey ,nakuhakikishia Castr tutatoa vipigo Sana ,

Maana huko FA unaweka Jorginho , EPL unaanza na Rice Partey Øde, Jumanne UCL unacheza na Kai Rice Øde

Wachezaji hawachoki na quality inakuwa juu

Kuna factors naziona zitatu favor, moja city hawez kuwa Bora zaidi coz anawapoteza mahrez ,Bernado, Gundo,Walker , Laporte, na fitness ya KDB imeanza kuwa tatizo ,

Liverpool ambaye anaonekana anarejea tayari kashaanza kujipiga risasi , ameondoa watu 6 ,Hadi sasa kasajili wawili ,anatafuta DM wa uhakika ,

Spurs ,wanauza Kane ,

Manjesta na Chelsea Sina haja ya kuwazungumzia wanajulikana Kama Chelsea ile sio timu nikikundi Cha mdundiko

Chelsea ni Timu ya mdundiko. Sawa
 
Chelsea ni Timu ya mdundiko. Sawa
Tuwe serious had Sasa Chelsea haina combination ya kiungo , na inaenda pre season, je itapata muunganiko Ligi ikianza ?

Kumbuka hapo hapo una mudrky, Sterling ambao unawajua sio wafungaji wazuri

Una James ,chillwell ,fofana na nkunku ambao ni injury prone ,

Mimi nitashangaa Sana mkigombea hata top 6 ,maana Kuna Newcastle, Astonvilla, Brighton , Spurs, hawa wamejiandaa vzr ,achana na City , Liverpool,arsenal na manjesta anafatia
 
Siku hizi kutajiwa mchezaji 100 imekua kawaida mno. Liva walijichanganya kwa Nunez, Nyumbu kwa Anthony, chelsea kwa Mudryk na Lukaku.

nyie mmepigwa 105 kwa mchele halafu umeona mpaka aibu kumuweka hapo kwenye list.
 
@charles_watts mwandishi wa habari za Arsenal Goal.com akiongea kuhusu Thomas Partey:


“Kwanza sidhani kama imethibitishwa kuwa amekubali dili, nimeona taarifa hizo mwenyewe, lakini sio taarifa kutoka popote ambazo ningekuwa na uhakika nazo.

"Kwa ufahamu wangu, hajakubaliana chochote na mtu yeyote na watu wake wa karibu wanashangazwa na ripoti hizi ambazo zinazunguka kwamba amekubali chochote na klabu ya Saudi.

Ninavyofahamu, ataenda Marekani na kikosi kizima kwa sasa.”


(YouTube kupitia TBR)
 
Back
Top Bottom