Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Ten Hag
"We have to deal with it well but Arsenal all the time their squad is totally available."

Ndio tayari Baba Ubaya ameshaanza ku deal na tatizo la majeruhi kwenye squad yake kwa kufanya usajili kabambe wa aliekua daktari wa Arsenyo.
Asilete visingizio vngne tena...kwhyo maana yke hao physicians walokuwepo hapo Unyumbuni ni vilaza wanashindwa ku handle majeruhi vzuri sio....wacha ligi ianze tuone atakuja na malalamiko gani tena 7hag
 
Hadi kufikia 2015 afrika kulikua hakuna shabiki wa man city. Kutoka vyanzo vya kuaminika

Kikawaida ilikua ngumu kushabikia laliga alafu usiwe na timu epl

Plastic fans Uzi wenu unawachangiaji watatu tu
Mathematical exponentially mmeanza kuishabikia 2019, na sio Kama unavyotaka kudanganya watu hapa
Mkuu attention seekers kama Hawa unakaa kimya Haina haja ya kujibishana naye...unampuuza tu
 
Hadi kufikia 2015 afrika kulikua hakuna shabiki wa man city. Kutoka vyanzo vya kuaminika

Kikawaida ilikua ngumu kushabikia laliga alafu usiwe na timu epl

Plastic fans Uzi wenu unawachangiaji watatu tu
Mathematical exponentially mmeanza kuishabikia 2019, na sio Kama unavyotaka kudanganya watu hapa
Ni vzr kusema kile Ambacho ww kinakufanya ufurahi.

Kwhy mm nakuelewa unatak kujifuraisha na siwez kipangana na ilo ww endelea kuamin kile kinachofany ww upunguze machungu ya kua shabik wa Arsenal.

Arsenal hata Mungu akikupa Golden chance uishi hata miaka 200 sidhan kama kuna siku utaiona inabeba UCL.

Kwhy najua machungu yenu yanatokea wap na ninakuelewa mkuu.
 
Nashangaa hawa wapuuz wachache wa Arsenal wanajikuta die hards fans wa Gunners.

Mwshn mwa ligi wkt team inafanya vibaya mlikua wapi jukwaani hapa mbona mlikimbia kwenda mafichoni.

Nyie ni wapuuz sana nyie ndo wanafiki wakubwa.. Yan jukwaa lenu mlikua mnaliona kama moto.. Hlf saiv mnajitokeza kusema nn hapa.

Nyie wengi wenu ni shabik maandaz mlikua wap wkt team yenu inapelekwa moto na kupokonywa ligi mkiwa mmekaa kileleni kwa sik 200+.

Leo hii mko hapa mnajifanya ndo doe hards fana.. Wkt team wkt inapokea vipigo hamkuonekana hapa.
 
Mtaalamu ukijaga huku unabwata kuw kuna matusi, unajifanya kama vile umetoka peponi kwenye jukwaa la Nyumbu kule

Matokeo yake kule saiz ndio kuna matusi kama yote, kuna kajamaa sijui kametokea wapi kutwa kutukana wenzie as if yeye anajua kila kitu

Kajamaa kanatuna balaa Kutwa utaskia mpumbavu, Mjinga,mafala ila kutwa kutangaza kwamba jukwaa la Arsenal ndio kuna matusi

Wakati mna kadalali kenu huko kana kazi mbili tu, kutukana na udalali maana tangu mwezi wa 5 kenyewe ni habari ya kesho team inauzwa, kesho bid mpya, kesho board inakutana, Rio kavujisha kesho hivi, kesho blaaaa blaaaa
Al-Hadidy njoo kuna tuhuma zako. Title contenders zinakupiga Madongo huku eti wanakuita wewe dalali😀
 
Mkuu mbona haya mambo yanaongeleka mbona hupendi kuona Amani imetawala
😀😎😎🏃🏃🏃🏃
IMG_20230708_122530.jpg
 
Wewe ni msengerema tu. Hili jukwaa umelizoea kupitiliza. Kachat huko Manure huu upumbavu wako. You are a Borer.Nakuchukia kama harufu ya Kinyesi
Kaboom 💥 leo nimekubamba. Hatimaye yule shabiki wa Arsenali mtukanaji nguli kwenye jukwaa la Man U ajulikana ambaye ndio wewe. ID zako zingine fekero ni dadamlamayao @natukundakum nyamanolokwetu @baisesekwetu kengemajikwetu
 
EBL2017. ..anasema amedokezwa

One of my Patron's said to me that Arsenal will have lots of tactical variation next season - he's right.

Instead of only Zinchenko inverting, Timber can too.

They can play long over man-to-man presses (Havertz).

They can use Havertz as a left-sided 8 with Zinchenko tucked in.
IMG_20230628_182144.jpg
 
Mashabiki wengi wa Arsenal hawajui timu yao ilikuwa wapi imetoka wapi na inaenda wapi

Mtu had leo anamuwazia pepe ,kT,holding wacheze,mtu anakwambia tunahitaji CF wa maana ,ukimwambia wataje hawajui

CF waliofanya vzr last season na waliopo ulaya Ni

Halland
Kane
Osmhen
Lacazette
Balogun


Hadi hapo unaanza kusaka kwa tochi

Sasa Cha ajabu balogun tumemuweka sokon

Lacazette kwetu alifikia hatua akawekwa bench na Nketiah

Kane ,Arsenal na Spurs hawauzian wachezaji

Victor Ni €140-150m

Lakini mtu anakwambia tusajiri CF

Jesus alifunga Goli 9-10 na alikosa miez 3 nje
CF waliofanya vizuri hujawajumuisha wa ligi ya Ureno
 
CF waliofanya vizuri hujawajumuisha wa ligi ya Ureno
Ureno kule Kuna Goncalo Ramos

Kuna mehd teremi nimeona Arsenal tumehusishwa nae ,ana miaka 30 ,chance ni ndogo kuja

ST wamekuwa adimu ,labda u develop wakwako ,ndio maana Arsenal wanamuuza Balogun kwa £45-50m ,akikiwasha Tena msimu ujao utasikia €100m

Tammy Abraham alifunga Goli 12 tu Seria A , et Bei ni €80m
 
Relax broo usichukulie mambo serious sana utaishia kupata maradhi bure.
Hivi ushafikiria Barcelona ikifa kutakua na raha gani ya kufatilia La Liga bila ya uwepo wa El Clasico?
Maisha siku hizi yamerahisishwa sana yamekua ni very simple, ukiona unakwazika na comments zangu unaingia tu hapo juu kwenye Option halafu una click Ignore unakua umemaliza tatizo lako.
Ila kuna fans wenzio humu wasiponiona siku 2 au tatu lazima wanitafute kwenye majukwaa mengine na kuniomba nije kuwachagamsha humu.

Hapo kwenye kuja kukuomba uje .... Hapana. Wewe unajileta na sisi tunakupa za uso. Ukikimbilia kwenu tunakuja huko huko matofalini na kukupa za uso huko pia
 
Daaahhh hizi ni kufuru sasa yaani ndani ya miaka 5 iliyopita Chelsea amebeba haya makombe makubwa yote hapo chinihalafu wewe unawaita middle table team?

FIFA Club World Cup 2021-2022.

UEFA Supercup 2021-2022

Champions League 2020-2021

Europa League 2018-2019

FA Cup 2017-2018

Champions League. 2016-2017

Haya tuonyeshe hio Giant team yenu Arsenyeto ina kombe gani kubwa imebeba ndani ya miaka 20 iliyopita.
Akijibu najiua
 
Shabik yoyote ambaye alikuwepo wkt tunawapelekea moto had tunachukua ligi na akazid kuwepo hapa ndo naweza ongea nae tubishane.

Sio nyie oya oya mnaoibuka kipind kuna tetes za usajili na kuja na porojo za vijiweni.

Wakija unitaq umepiga pale pale nilipopiga jana. Wanasema Kwenye mshono
 
Back
Top Bottom