Mashabiki wengi wa Arsenal hawajui timu yao ilikuwa wapi imetoka wapi na inaenda wapi
Mtu had leo anamuwazia pepe ,kT,holding wacheze,mtu anakwambia tunahitaji CF wa maana ,ukimwambia wataje hawajui
CF waliofanya vzr last season na waliopo ulaya Ni
Halland
Kane
Osmhen
Lacazette
Balogun
Hadi hapo unaanza kusaka kwa tochi
Sasa Cha ajabu balogun tumemuweka sokon
Lacazette kwetu alifikia hatua akawekwa bench na Nketiah
Kane ,Arsenal na Spurs hawauzian wachezaji
Victor Ni €140-150m
Lakini mtu anakwambia tusajiri CF

Jesus alifunga Goli 9-10 na alikosa miez 3 nje