Tchoumeni namuona Kama kiungo flan mgumu , napenda viungo like Lavia ,Kuna takwimu moja ya Lavia inasema katika press 10 alizofanyiwa alipoteza mpira mara moja tuBellingham tupo pamoja
Ila Tchoumeni technically kwenye ni mid ni mzuri mno mno mno
Ndio maana camavinga anacheza full back, coz ukimtoa Tony / modric anaefata ni Tchoumeni
Dream team ya Madrid pale mido wawe Tchoumeni, camavinga
Caicedo so far ni mchezaji mzuri
Japo msimu mmoja zaidi aoneshe uwezo zaidi
Kuweka €100m ni kamari Kama kamari zingine tu
Brother naomba nieleze potential kubwa ya rice na mimi niwe na muuadmire kama wewe,maana mimi nachangamoto ya kupenda viungo wanoweza kuchezea sana mpira na wako comfortable na mpira kama partey na laviaLast season tumemtegemea sn Zinny kuimplement tactics, ila ukiwa na Timber, caicedo, zinny, Rice &Arteta on the wheel, you're unstoppable. Una switch unavyojisikia.
Hawa mkuu wanatak wewe uweke hapa G/A za Grealish yan bila izo hawa hawawez kuona impact yake kwa City msimu huu.Kumfananisha na pepe ni ujinga, yees Grealish hana stats za maana sana ila kwa pepe hells no!!! Jack ana dribble unaona kabisa mabeki wanaogopa kumkaba na anavuta mabeki wanakuja kwake na kuachia nafasi kwa watu wengine , pepe hata sijui alikua anafanya nini uwanjani yeye mwenywe muoga kukaa na mpira ndo hawezi akishika mpira unajua tu huu Umepotea!!
Panga pangua ya man city grealish ulikua humkosi this season alikua hakosi first 11, sio mafanikio ya timu yamembeba bali yeye pia amechangia mafanikio ya timu
Kwenye mid pia lazima umpate mtu mgumu, ndio maana as fans hatupendi kusikia habari za partey kutaka kuondokaTchoumeni namuona Kama kiungo flan mgumu , napenda viungo like Lavia ,Kuna takwimu moja ya Lavia inasema katika press 10 alizofanyiwa alipoteza mpira mara moja tu
Trusty InAmario cozier-Dubbery balaa jingine hilombavu ya kulia,akiweza kuyafanya mambo yake pasipo presha,SAKA atapata mrithi sahihi
....
Nelson safari ya soka inaweza kufupishwa na majeraha.
Fabio Vieira ajaribu kumuiga Leon Goretzka inaweza kumsaidia,ila fabio itakuwa anashida kubwa ya kiafya.
Elneny nae sio mchezaji wa kumtegemea yeye anachoweza ni kukamia mechi mbili au tatu msimu mzima
Trossard ndio kiraka chenye fitna kinacheza nafasi zisizopungua 4
Wamalize na Romeo Lavia halafu Patei abaki,Joginho kwa ajili ya mechi kadhaa
Alex Runnarson,Trusty wameenda kufanyaje huko marekani?maana sijawaona kama wanaendana na arteta kwa sasa
Tchouameni hamna kituKwenye mid pia lazima umpate mtu mgumu, ndio maana as fans hatupendi kusikia habari za partey kutaka kuondoka
Nyumbu Wana casimiro
Kenge walikua na Ngoro kante mkata umeme
Liverpunda walikua wijnaldum
City walikua na Yaya toure pia na ferdinand
Moja Kati ya kuyumba kwa arsenal kwa misimu ya hivi karibuni ilikua kukosa mtu wa aina hiyo
Ndio maana mid yetu ilikua ina vuja Sana
Ukiwa na;
rice/odegard/Saka/martinel/Jesus/Kai/trossad/Rowe/nelson/nketiah/Fabio
Inabidi uwe na mtu mweusi mkatili mgumu wa kuwafanya Hawa wawe bora
Lavia ni mzuri aje Kama backup ina maana aingie taratibu taratibu
Akiondoka partey Basi aje Tchoumeni hakuna hakuna Basi atue huyo caisedo
Kiuongo tegemezi kwenye mid ya timu ya taifa ya ufaransa kwa nimuonavyo nafikiri nimchezaji mzuri sanaTchouameni hamna kitu
Ah yani ni hamna kitu kwa hela iliyotolewa ila siyo kwamba ni kiazi kabisa kabisaKiuongo tegemezi kwenye mid ya timu ya taifa ya ufaransa kwa nimuonavyo nafikiri nimchezaji mzuri sana
Mkuu hapo nimekusoma SasaAh yani ni hamna kitu kwa hela iliyotolewa ila siyo lkwamba ni kiazi kabisa kabisa
Madrid naona anapambwa Sana ila bila wale wazee wawili Luka na Kross ,wale watoto Jude , Tchoumeni,Cebalos na Camavinga ,ni middle ya kawaida tu, pale namkubali mtu mmoja mapafu ya mbwa Fede valvedeAh yani ni hamna kitu kwa hela iliyotolewa ila siyo lkwamba ni kiazi kabisa kabisa
Aliyekuja akaclick easily ni Camavinga. Tena walimchukua kwa 40M nafikiri ile aibu ya mchezaji wa pili ghali anakua flop baada ya Hazard ndiyo imesababisha alazimishwe kucheza.Madrid naona anapambwa Sana ila bila wale wazee wawili Luka na Kross ,wale watoto Jude , Tchoumeni,Cebalos na Camavinga ,ni middle ya kawaida tu, pale namkubali mtu mmoja mapafu ya mbwa Fede valvede
Huyu Jude hata National team ilikuwa had acheze na wakabaji wawili ndio angalau unamuona
Kuna mechi Vs USA , na Canada , Southgate aliweka Nadhani Mount Rice Jude , Dk 45 zilitosha Jude hoi ,
Tchoumeni bado namfatilia kwa karibu maana hata Madrid hajawa starter, na naamin Madrid wakimpata mtu wakumuuzia kwa €80m fasta wanafanya biashara
Labda agewe muda. Kwa sababu pale ilitarajiwa aje amrithi Casemiro, akaonekana hajaiva akala bench akiwa anatokea sub na majeruhi yakamvaa.Kiuongo tegemezi kwenye mid ya timu ya taifa ya ufaransa kwa nimuonavyo nafikiri nimchezaji mzuri sana
Oya umesikia huko Barcelona kaonywa na mancity alipe €40m za Ferran Torres zilizobakia ,maana aliuziwa kwa €55m ,15 alizilipa kwa installment, 40 had Sasa hajalipaAliyekuja akaclick easily ni Camavinga. Tena walimchukua kwa 40M nafikiri ile aibu ya mchezaji wa pili ghali anakua flop baada ya Hazard ndiyo imesababisha alazimishwe kucheza.
Kwa Hazard baadaye wakarusha taulo ulingoni wenyewe tusubiri kwa Aurelien