HENRY14
JF-Expert Member
- May 13, 2021
- 3,593
- 6,932
Pepe training alone mostly. Not seen as part of group and not reintegrated back to group.
(@gunnerblog )
youtube.com/watch?v=macB_V…
Why? Is this fair?
Pepe training alone mostly. Not seen as part of group and not reintegrated back to group.
(@gunnerblog )
youtube.com/watch?v=macB_V…
|| Inter wameripotiwa kutoa ofa ya €40m kwa Balogun, jambo ambalo Arsenal wameomba. Ameambiwa atafute timu pia nasikia hayupo fitWhy? Is this fair?
Wewe ndio unaota ,Cheki huyu mzee anavyoota vibaya
View attachment 2690978
Mikel Arteta took the technical decision to leave Cédric Soares back in the UK. The player is not close to leaving as of today, but his situation is likely to develop in the coming weeks.
Ada ya £105m pamoja na £5m kwa Declan Rice ni zaidi ya Arsenal walikuwa wameweka benki kwenye matumizi - walikuwa wameanza harakati hizo wakihisi bei ya mwisho itakuwa £70m-£80m, hata hivyo, wanaamini wamenunua mchezaji ambaye hawezi kulinganishwa katika nafasi yake. Premier league wameweka hii video ,nataman kumuona Rice Kama no.8 alongside Ødegaard, DM Partey ,
Niwe mkweli Bellingham, Tchoumeni, sijawahi waelewa nasubiri uwanjani nithibitishe ,
Bissouma sikuwahi muamin had leo
Caicedo nahitaji nimuone msimu mwingine isije kuwa ni one season wonder tu
Duh ,kipi Cha ajabu wakati last season tumecheza lone DM , na tumefunga magoli mengi Sana ,Kocha wako akili yake itamtuma Rice acheze lone DM. Akifanya hivyo andaeni kapu la magoli.![]()
Hii sijaiona. Ila jamaa wapo broke kipindi hichiOya umesikia huko Barcelona kaonywa na mancity alipe €40m za Ferran Torres zilizobakia ,maana aliuziwa kwa €55m ,15 alizilipa kwa installment, 40 had Sasa hajalipa
Kipind Ferran anaenda Barca niliona utapeli wa Waz kabisa ,
Caicedo na mtu na nusu, nilisikitika tulipomkosa. Angekuja, ningesema tupo quarantined na ubingwa kwa asimilia >90





Alimuumiza na refa akaacha , baada ya mechi alimuomba msamaha ,Katili sana yule dogo ,
Alimpiga chuma martineli hadi akaomba sabu mwenyew![]()