Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Huyo dogo hatari sana.

Ila timu anayoenda imeuza watu wa msingi wengi wengine wameenda Saudi na wengine wamebaki Ulaya.

Inasemekana Lautaro pia anataka kuondoka.

Lukaku anasakwa na Juve ila ndo Juve hadi iuze Vlahovic.

Ataenda kwenye timu ambayo inataka kujitafuta, kama mashabiki hawana uvumilivu wakatarajia instant results watampa presha sana.
Balogun anaenda ku fanya vizuri Sana halafu inter watamuuza kwa €100m , balogun nimemuangalia Tena mech ya juzi movement zake za haraka kusaka goli , ni vile mashabiki tunaangalia end product Sana

Ila ukimchunguza vzr kwa Seria A anaenda kupiga goli nyingi tu

Kinachomuondoa Arsenal ameshindwa kuhakikishiwa namba moja kwa moja na Sasa anahitaji acheze kila wiki
 
Isipokua kupunguza mabeki na vision ya pasi ila Balogun anapanda, anashuka anakua involved kwenye game vizuri kuliko Nketiah.

Yaani ST hafungi ila wote mnaridhika akicheza
Inter matapeli wale , ngoja watoe £40-45m uone msimu ujao watamuuza Bei gani,

Onana walimchukua bure ,Sasa hivi yanataka €60m hayamsikilizi mtu

Balogun angekuwa yupo hiv kipind kile tunajenga timu msimu wakwanza wa Arteta angepata nafas kila wiki , tatizo Sasa hivi Arsenal ina demand kubwa sio kuingia top 4 ,ni kupambania mataji ,

Ndio Maana mchezaji Kama Tielemans tulimuona wa maana mwaka Jana ,msimu huu hata mashabiki hawakumuwaza
 
Mazungumzo kati ya Arsenal na Inter yatafanyika ili kujadili ada inayowezekana kwa Folarin Balogun.


Vyanzo vinatarajia angalau £40M-45M.
 
Balogun anaenda ku fanya vizuri Sana halafu inter watamuuza kwa €100m , balogun nimemuangalia Tena mech ya juzi movement zake za haraka kusaka goli , ni vile mashabiki tunaangalia end product Sana

Ila ukimchunguza vzr kwa Seria A anaenda kupiga goli nyingi tu

Kinachomuondoa Arsenal ameshindwa kuhakikishiwa namba moja kwa moja na Sasa anahitaji acheze kila wiki
Kwa kiwango chake ni sawa anavyogoma kutoka tena kwa mkopo. Shida ni kwamba huwezi muweka benchi Jesus constant ili Balogun acheze.

Mi namuombea ashine zaidi
 
Inter matapeli wale , ngoja watoe £40-45m uone msimu ujao watamuuza Bei gani,

Onana walimchukua bure ,Sasa hivi yanataka €60m hayamsikilizi mtu

Balogun angekuwa yupo hiv kipind kile tunajenga timu msimu wakwanza wa Arteta angepata nafas kila wiki , tatizo Sasa hivi Arsenal ina demand kubwa sio kuingia top 4 ,ni kupambania mataji ,

Ndio Maana mchezaji Kama Tielemans tulimuona wa maana mwaka Jana ,msimu huu hata mashabiki hawakumuwaza
Huyu long shot merchant tumuache kwanza

Wameuza 100M lukaku. Leo wanataka kuwagea wenzao 30M

Juve wanamtaka Lukakua eti wamesusa kwanini Lukaku aongee na Juve
 
Kwa kiwango chake ni sawa anavyogoma kutoka tena kwa mkopo. Shida ni kwamba huwezi muweka benchi Jesus constant ili Balogun acheze.

Mi namuombea ashine zaidi
Anaangalia future yake zaidi,, ndio maana kaenda USA kawa starter na kaanza kufunga

Akienda hizi Ligi SERIA A ,Laliga ,Ligue 1, atawaka zaidi , EPL Sina uhakika Sana

Ila Inter wameona mbali nasikia yupo kwenye list yao juu kabisa ,wanajua ma CF duniani adimu ,akipiga goli 15 tu hawakosi €100m

Kuna CF wa Atalanta Hojlund kafunga goli 9 mech 32 , manjesta wanamtaka wanaambiwa €100m , Goncalo Ramos nae €100m

Hadi lukaku anagombewa ,hii inaonesha Kuna shida ya CF duniani ,na itazidi kuwa kubwa Sana ,nawaelewa Sana inter wanajua haitapita misimu miwili watapiga hela ndefu
 
Huyu long shot merchant tumuache kwanza

Wameuza 100M lukaku. Leo wanataka kuwagea wenzao 30M

Juve wanamtaka Lukakua eti wamesusa kwanini Lukaku aongee na Juve
Lukaku kawasaliti kamalizana na Juve, Juve wanamuuza Dusan Psg , Kane Bayern , lukaku Juve , osmhen anabaki Napoli ,

Baada ya hapo hakuna CF wa maana , balogun angekuwa middle team angeuzwa €100m


Yaan yule Hojlund ana goli 9 , Atalanta hawamuuzi chini ya £80m
 
Anaangalia future yake zaidi,, ndio maana kaenda USA kawa starter na kaanza kufunga

Akienda hizi Ligi SERIA A ,Laliga ,Ligue 1, atawaka zaidi , EPL Sina uhakika Sana

Ila Inter wameona mbali nasikia yupo kwenye list yao juu kabisa ,wanajua ma CF duniani adimu ,akipiga goli 15 tu hawakosi €100m

Kuna CF wa Atalanta Hojlund kafunga goli 9 mech 32 , manjesta wanamtaka wanaambiwa €100m , Goncalo Ramos nae €100m

Hadi lukaku anagombewa ,hii inaonesha Kuna shida ya CF duniani ,na itazidi kuwa kubwa Sana ,nawaelewa Sana inter wanajua haitapita misimu miwili watapiga hela ndefu
Siku hizi kutajiwa mchezaji 100 imekua kawaida mno. Liva walijichanganya kwa Nunez, Nyumbu kwa Anthony, chelsea kwa Mudryk na Lukaku.

Na CF wamekua wa kumulika lakini naona mpira umeevolve wafungaji wamekua Mid na wingers zaidi. Nafikiri hii inasababishwa na evolving ya defense systems kama gegenpress na low block

Coz mkipigwa hizo defense kama mfungaji wenu ni CF pekee hapo hamtoki na goli. Flano atauliza Haaland amewezaje akiwa City halafu Weghorst amekua kituko United
 
Arsenal are still in the race to sign Moises Caicedo from Brighton but face big competition with Chelsea for his signature.

[@MailSport]
Huu ndio usajili sasa baada ya Declan Rice. Ni ngumu lakini ikitokea itakuwa fresh mno. Caicedo Lcm, Rice #6, havertz ST. we're unstoppable.
 
Huu ndio usajili sasa baada ya Declan Rice. Ni ngumu lakini ikitokea itakuwa fresh mno. Caicedo Lcm, Rice #6, havertz ST. we're unstoppable.
Balogun 45
Partey 45
KT 30
Holding 8


Figure in €

Total around €100m+. Plus remaining budget inatosha kabisa kuleta Top Midfielder na RW

Naona Chelsea kakaza hataki kutoa £100m kwa caicedo , tajirri miluzi last season kachezea Sana za uso



Inatosha kabisa kuleta kiungo
 
Mazungumzo ya kwenye hii video


Edu: "Three midfielders"

Arteta: "4-3-3, left right and let him (Rice) defend"

Rice: "I'm staying don't worry"

20230715_175734.jpg
 
Simple Inter wanasubiri pesa za onana ,wamnunnue balogun

Since Man United want Onana and Inter want Balogun why don't United send that €60m into Arsenal's account so Onana can go to United and Balogun goes to Inter.

Easiest business ever!!!
 
Balogun 45
Partey 45
KT 30
Holding 8


Figure in €

Total around €100m+. Plus remaining budget inatosha kabisa kuleta Top Midfielder na RW

Naona Chelsea kakaza hataki kutoa £100m kwa caicedo , tajirri miluzi last season kachezea Sana za uso



Inatosha kabisa kuleta kiungo
uhakika uhakika.
 
Za ndani kabisa, Arsenal wakimuuza Partey kwa £45-50m , wanahamia kwa Caicedo

Brighton amekaa pembeni hana papara anasubiri wakujiunga kwenye biding war

Arsenal na caicedo walishamalizana personal term

Arsenal na Lavia walishamalizana personal term
arteta hajielewi kwa hili naomba nitofautiane naye aisee ni kocha wetu lakini akumbuke bado ni mchanga kwenye career ya ukocha kuna wachezaji sio wa kuwapoteza kirahisi

Last season tumewin match nyingi sana kwa uwepo wa partey kwenye mido, he was our backbone kwenye mido plus xhaka, aya xhaka ameondoka na partey anaondoka eti kisa tuna rice na joginho plus huyo lavia/caicedo kama atakuja like serious the guy alituoffer vitu vingi sana plus experince atakayekuwa amesahau akaangalie game yetu na city ya 2021/2022( home) ataelewa kwa nn nalia na TP

next season michuano inaongezeka halafu sisi tunakazana kuvuruga eneo letu la kiungo, experience ya TP tunahitaji UEFA na this season ni kama wachezaji wetu wanaenda kumalizia kile walichoashindwa kumalizia next season

Utaondoaje stater wako wawili kwenye mido??? Are u serious Arteta??
kufanya partenship ya wachezaji sio kitu kirahisi na cha harakaharaka, Asijione Pep kwa kufanya maamuzi magumu

Amini nawaambieni akiondoka TP, tunapoteana mchana kweupee....
 
Arsene Wenger -


"Nililazimika kuvumilia bila pesa hata kidogo, kwa hivyo lazima utafute njia tofauti kuendesha timu"

Arsenal sasa ina nguvu nzuri ya kifedha na wananunua kile wanachofikiri kitawasaidia kutwaa ubingwa.”

Ninaamini tutashinda ubingwa (PL), ni rahisi kama hivyo. Sina mashaka kwa Arsenal kuliko mchezo wa baiskeli (Tour de france) leo."


Arsene Wenger kuhusu usajili wa Arsenal Rice, Havertz na Timber -

"Nadhani ni uwekezaji mzuri," Wenger aliiambia Eurosport. "Kwa ujumla, binafsi nadhani wamefanya manunuzi mazuri kwani ni wachezaji ambao sasa wamekomaa, 23,24, na bado wachanga hivyo wanaweza kukaa pamoja kwa miaka michache."

(@eurosport)
 
arteta hajielewi kwa hili naomba nitofautiane naye aisee ni kocha wetu lakini akumbuke bado ni mchanga kwenye career ya ukocha kuna wachezaji sio wa kuwapoteza kirahisi

Last season tumewin match nyingi sana kwa uwepo wa partey kwenye mido, he was our backbone kwenye mido plus xhaka, aya xhaka ameondoka na partey anaondoka eti kisa tuna rice na joginho plus huyo lavia/caicedo kama atakuja like serious the guy alituoffer vitu vingi sana plus experince atakayekuwa amesahau akaangalie game yetu na city ya 2021/2022( home) ataelewa kwa nn nalia na TP

next season michuano inaongezeka halafu sisi tunakazana kuvuruga eneo letu la kiungo, experience ya TP tunahitaji UEFA na this season ni kama wachezaji wetu wanaenda kumalizia kile walichoashindwa kumalizia next season

Utaondoaje stater wako wawili kwenye mido??? Are u serious Arteta??
kufanya partenship ya wachezaji sio kitu kirahisi na cha harakaharaka, Asijione Pep kwa kufanya maamuzi magumu

Amini nawaambieni akiondoka TP, tunapoteana mchana kweupee....
Sidhan Kama anataka kumpoteza Partey ,ila mchezaji anaangalia pesa za waarabu ,ndio maana Arsenal Kuna kiwango Cha pesa wameweka ili kikifikiwa Basi watamuachia

Kumbuka waarabu Sasa hivi wanaweka mishahara mikubwa Sana

Mchezaji Kama Ruben Neves ,Savic , n.k wamefata pesa huko

Usimlaumu Arteta ,angalia na upande wa wachezaji ,Partey analipwa £200k ,Waarabu nasikia wamemuwekea £400k per week
 
Sidhan Kama anataka kumpoteza Partey ,ila mchezaji anaangalia pesa za waarabu ,ndio maana Arsenal Kuna kiwango Cha pesa wameweka ili kikifikiwa Basi watamuachia

Kumbuka waarabu Sasa hivi wanaweka mishahara mikubwa Sana

Mchezaji Kama Ruben Neves ,Savic , n.k wamefata pesa huko

Usimlaumu Arteta ,angalia na upande wa wachezaji ,Partey analipwa £200k ,Waarabu nasikia wamemuwekea £400k per week
TP hana nia ya kuondoka arsenal hata kidogo
this season
Arteta siwezi kumsamehe kwa hili
 
Back
Top Bottom