hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 18,296
- 26,695
City lazima atasajili but Kuna factors naziangalia Hawa wote wanaoondoka walikuwa game changer Sana kwenye matokeo yao ,mtu Kama mahrez ,Bernado , Gundo , so nimeona winger zao watakuwa hasa Grealish na FodenHuyu City anaweza kusajili muda wowote so tusimhukumu kwa hapa tulipo, liva kauza watu 6 ila ndiyo kuna wale wazee ambao walimuangusha msimu ulioisha inawezekana kapima kaona hata nikibaki nao bado hawana msaada kaamua kuwatema.
Sasa ishu inakuja kwamba kasajili Mac Allister (AM), Szoboszlai (AM) Klopp anataka mid yake iwe defensive na attacking ifanywe na Full back na assists watoe full back.
Ama yeye abadililke au wakina Mac Allister wabadilile which naamini itachukua muda, pia ana tatizo lile lile la kikosi finyu.
Chelsea huyu Pochettino ni kocha wa kawaida. Sidhani kama atatoa wanachokidhania, United kocha wao hajaonyesha kama anajua mpira mwingine zaidi ya kucounter na kupaki basi. Tusubiri surprise labda
So na expect hawatakuwa na makali zaidi ,coz ma game changer wao wengi wanaondoka wanaleta wapya ,
Liverpool anafanya kamari mbaya Sana , pamoja na kuleta viungo wawili bado alitakiwa abaki na fabinho amix pale Kati,
Hiki kitu ndio sawa na Arsenal ,fans wanaomba Partey abaki maana tayari anaijua system ya uchezaji
Chelsea hata kikos ni dhaifu ,siwadharau ila ile squad yao inatia wasiwasi Sana , Mudrky ,Sterling , madueke,Jackson , bado wamebaki na kepa ambaye ni rahis Sana kuruhusu magoli ,
Mpaka Sasa hawajui midfield itapatner vipi ,
Lazima tuangalie wapinzani wanajilangaje , nilikuwa Nampa Liverpool nafasi lakin kashaanza kujipiga risasi mapema Sana ,

AC Milan are also interested in signing Folarin Balogun. Inter are very keen on the American striker.
#Milan #FCIM #AFC
)