Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Sio mbaya, Rosicky na Arshavin, nilitegemea watacheza ovyo, hawajaniangusha!

Mbele RVP naona hayuko sharp, AW atafanya mabadiliko?

Maana kucheza na striker mmoja mbele halafu kutegemea support ya midfield naona kama haina matunda.

Ila muamuzi na mjuzi ni yeye AW.

Tuvute pumzi, tusubiri kipindi cha pili
 
Timu yetu bila Cesc Fabregas na Samir Nasri inacheza kabumbu ileile labda tu Fabregas ana uwezo wa kufungua ngome. Lakini tuna imani na Aaron Ramsey.
 
Timu yetu bila Cesc Fabregas na Samir Nasri inacheza kabumbu ileile labda tu Fabregas ana uwezo wa kufungua ngome. Lakini tuna imani na Aaron Ramsey.

Ni kweli, ila sijui wangekuwepo na bado kungekua nil nil sijui ingesema vipi?

Ushauri ni kuwasahau hao, babu kashikilia wallet, kuifungua hataki, kazi kweli kweli!
 
Tuko pamoja wakuu na tuangalie second half itakuwaje, inonekana tuko slow na pale kati hakuna mpishi,
Clean sheet ni muhimu, Wenger nahisi atamungiza Theo dakika 20 za mwisho akawakimbize labda tunaweza kushinda 0-1.
 
Duh Wenger ashaanza mihasira mapema mapema hivi? Timu imekamilika ila beki muhimu.
Richard mechi y mwaka jana wakati mnaongoza 4-0 fab na Nasri walikuwa wanacheza au la?
 
Umetuchoka kweli mazee.... Una maana sie ni WABOVU ila sio SANA??? haya bana..... Siku tukimit ndo utarekebisha ulichoandika... Au utasahau?????

Mkuu siwezi meza maneno naona kama kawaida ya mtoto kuchezea shilingi kwenye shimo la choo....................... naona mnajitahidi.
 
Wiltshere naona ame-tweet aingizwe Theo, LOL naona yeye ndio amegeuka Wenger sasa!
 
Timu yetu bila Cesc Fabregas na Samir Nasri inacheza kabumbu ileile labda tu Fabregas ana uwezo wa kufungua ngome. Lakini tuna imani na Aaron Ramsey.

Tofauti ni kwamba majukumu ya Fabregas yana julikana kwahio anapo pata mpira unakuta watu wengi washa make move hili kumpa option ya kutoa pasi, sasa mtu mwenye hayo majukumu amekosekana leo kihasi cha kwamba kila mtu kati anajikuta yuko kwenye process ya kuchukua mpira na matokeo yake hamna watu waliokuwa open kupokea pasi.
 
Back
Top Bottom