Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Chelsea we are coming ,endeleeni kuzubaa


Brighton expect to include Moises Caicedo in their squad that leaves for the US on Monday.

Chelsea has not come close to matching Brighton's £100 million asking price, and negotiations are ongoing.



(Simon Jones - @MailSport)
 
Hahahah wewe jamaa muda sio mrefu unakua mchawi, umetaja Aston vila,Newcastle, Liver,Man u, Brighton chelsea wana kocha mpya lakini ulipofika kwa Arsenal umesema sajili zao kuna ku click au hapana asa kama sio uchawi ni nini? Kwan hizo team zingine wachezaj wake wanaenda ku click moja kwa moja aiseee izi chuki sio mchezo aiseee,
 
We all know ni wakati wa arsenal fans kutamba huu ni muda wenu tumieni vizuriii kuanzia August mpaka December ila ikifika january up to may watatamba wengine
Hebu mtafute siku moja, mfanye kikao cha dharura. Agenda iwe muda wetu, Arsenal, wa kutamba unaisha lini. Maana mnatuchanganya sisi mashabiki.

Wengine mnasema ligi ikianza ndo tunapoteana. Wengine kama wewe, mnasema ikifika January. Wengine April, ndo mwisho wetu.

Tunakuwa tunashindwa kuelewa, tuache lini kutamba?

Msimu huu mwanzo mwisho!Na makabati yetu ya trophies yapo tayari kupokea something biiiiiiiiiiiiiiig!!!!!!
 
|| Discussions are to take place between Arsenal and Inter for Balogun. Sources expect the fee to be at least £40-45m


[Via - @FabrizioRomano].
 
Hahahah wewe jamaa muda sio mrefu unakua mchawi, umetaja Aston vila,Newcastle, Liver,Man u, Brighton chelsea wana kocha mpya lakini ulipofika kwa Arsenal umesema sajili zao kuna ku click au hapana asa kama sio uchawi ni nini? Kwan hizo team zingine wachezaj wake wanaenda ku click moja kwa moja aiseee izi chuki sio mchezo aiseee,
Jamaa wamejaa hasira Sana ,walidai Rice haji Arsenal,mara hatuna hela ,na bla blaa kibao
 
Inter will ask for final conditions of Folarin Balogun deal early next week. Balogun is open to permanent move but Arsenal are expected to request important fee

Balogun, part of Inter list after Lukaku deal off. Mbala Nzola and Benjamin Sesko are not in the list.
 
Kama mimi navyomuona Mchele, wakawaida. Seriously hata Martinell simuelewagi! ila nashangaaga kondoo mnavyomuelewa.
Martinelli msimu huu amefunga magoli 15 bila goli la penalt na assist 5 msimu huu na ndio kwanza alikuwa ana miaka 21.

Halafu unasema humuelewi.
 
Umesaahau na fezi fo....
Kaka flano ukihadithiwa hiyo fezi fo na hamis 77 unaweza sema hawa mwaka huu hamna hamna yuefa hii hapa,ligi hii hapa...
Ila mpira wa kuongea hasa kipindi cha usajili huoni makosa
inabidi tumuulize Mc hamisi masingeli hizo fezi mwisho wake ni ngapi kwanza?
Unaweza kuta hizo fezi zikaenda mpaka mia.
Hawa wahuni wameigeuza timu yao kama ule mradi wa umeme vijijini(REA)
REA kila siku wao utawasikia tuko kwenye phase 3 mara phase 4 yaani ni ujanja ujanja tu same to Asani nyau.
 
au umeme wa rea
Unajua haya mambo ya rebuilding kugawanywa katika phases ndogo ndogo hutayaona katika timu kubwa haya mambo hufanywa na timu ndogo. Wewe jifikirie Arsenal huu ni mwaka wa ngapi imeanza rebuild hizo phase za mradi wa reli ya standadi geji hazikamiliki tu? Au zipo phase 20?

Timu kubwa zikiyumba rebuild huwa ya kueleweka unamwagwa mpunga vyuma vinaletwa watu wanapiga kazi timu inarudi kuchukua vikombe immediately tofauti na rebuild ya FEZI FOO ya mid table teams kama Arsenal.
#Tukutane May
#Arsenal ni ileile
 
Back
Top Bottom