Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Thanks!! Tukutane hio August . Humu hatuwezi kuondoka sababu ni sehemu ya kufurahii na story za uongo uongo nyingi zinatupa raha hiki ni kijiwe cha epl fans wote humu , hongera mkuu kukifanya hiki kiwe kijiwe bora zaidiii ndo maana humu unaona wapo chelsea , man city, man utd , Liverpool na mimi kijana mpya wa “ THE MAGPIES”

Huwa tunakumiss ukikimbia maana ukweli usemwe tu huwa unalifurahisha na kulichangamsha jukwaa hili
Ki ukweli kabisa Mc Hamisi Masingeli amechangia kwa 80% kukihuisha hichi kijiwe cha kahawa apewe tu maua yake.
Baada ya kukosa kombe la ligi kuu katika dakika za lala salama haliyakua mliongoza ligi kwa zaidi ya siku 258 iliwavunja moyo mashabiki wengi wa Arsenyani.
Nina uhakika zisingekua hamasa zake hili jukwaa lingepoa sana, hata sisi akina Flano tumejikuta tunavutiwa kuja kuchangamsha hichi kijiwe kutokana tu na hamasa na tambo za Captain hamis77
Hongera sana mkuu, hakika unaupiga mwingi.
Ila msijidanganye tu kwa huo usajili wa kuni za mbao na mchele wa pishori msimu ujao mtachukua Epl, mkijitahidi sana ni lilelile kombe lenu la mwanaFA.


#Arsenyo ni Arsenyo tu, kombe sio kipaumbele kwao muhimu ni pressing & Overloading.
 
Hivi ni Mimi tu naona au na nyie , Liverpool hii anayoenda kucheza ni kamari na inaweza mgharimu

Anauza fabinho na Henderson , amewaleta Mac Allister na Szoboslai ,anatafuta DM ,

Mm nilijua anabaki na fabinho ili wacheze na hao wapya ,lakin new midfield ni bonge la kamari ,

Thus why naomba Partey kwetu asiondoke labda next season au January
Liva ni ya kuiogopa sana hujui tu, shida yenu kondoo mnaona Arse88 ndio timu ya moto kumbe hamna kitu, nyie hata top 4 hampo, tupo hapa.
 
Ki ukweli kabisa Mc Hamisi Masingeli amechangia kwa 80% kukihuisha hichi kijiwe cha kahawa apewe tu maua yake.
Baada ya kukosa kombe la ligi kuu katika dakika za lala salama haliyakua mliongoza ligi kwa zaidi ya siku 258 iliwavunja moyo mashabiki wengi wa Arsenyani.
Nina uhakika zisingekua hamasa zake hili jukwaa lingepoa sana, hata sisi akina Flano tumejikuta tunavutiwa kuja kuchangamsha hichi kijiwe kutwa nzima kutokana tu na hamasa na tambo za Captain hamis77
Hongera sana mkuu, hakika unaupiga mwingi.
Ila msijidanganye tu kwa huo usajili wa kuni za mbao na mchele wa pishori msimu ujao mtachukua Epl, mkijitahidi sana ni lilelile kombe lenu la mwanaFA.


#Arsenyo ni Arsenyo tu, kombe sio kipaumbele kwao muhimu ni pressing & Overloading.
@Flano unatunanga hapa Arsenal akija na yule jamaa ako wa Chelsea ,unamfanyia unafiki humwambii ukweli ,Chelsea wanaenda kupambania kushuka daraja

Una roho mbaya aisee , yaani unajua kabisa Chelsea ile sio timu nikikundi Cha mdundiko

Cha ajabu unamdanganya ni title Contender
20230714_151044.jpg
 
Liva ni ya kuiogopa sana hujui tu, shida yenu kondoo mnaona Arse88 ndio timu ya moto kumbe hamna kitu, nyie hata top 4 hampo, tupo hapa.
Chelkenge ni title Contender

Huo umoto wa Liverpool umeuona wapi ikiwa Wana midfield mpya kabisa Mac Allister na Szoboslai na bado hawana DM had Sasa wanamuuza fabinho na Henderson, hapo hapo Wana tatizo la CB na RB

Last season tuliposema Liverpool hayupo kwenye mbio za ubingwa sababu amejaza wazee mlibisha

Safari chelkenge had Sasa ile sio timu ni kikundi Cha mdundiko
20230715_110011.jpg
 
HATIMAYE MIKE DEAN KASEPA

ALIKUWA ANATUUA SANA MECHI ZETU


Mike Dean leaves English football after stepping down as Var and reaches agreement with referees’ chief Howard Webb to leave after being found to be unsuited to Var duties

(@SamWallaceTel )
Howard Webb naye asepe tu, mtetezi wa Man U yule

Sent from my CPH2357 using JamiiForums mobile app
 
Liva ni ya kuiogopa sana hujui tu, shida yenu kondoo mnaona Arse88 ndio timu ya moto kumbe hamna kitu, nyie hata top 4 hampo, tupo hapa.
Arsenal ata top four hatouepo kwa mujibu wako, Mkuu vipi kuhusu Chelsea yenyewe itakuwepo?
 
𝐒𝐇𝐈𝐋𝐈𝐍𝐆𝐈 𝟔 𝐆𝐇𝐀𝐋𝐈 𝐙𝐀𝐈𝐃𝐈 𝐃𝐔𝐍𝐈𝐀𝐍𝐈

Ngoja niwakumbushe Kidogo.Tulianza Kuwapelekea Westham United £80M wakakataa

Tukurudi Tena na £90m Westham United akakataa Tena.Na hapa MAN CITY akaingilia kati nae Kapeleka £90m

Tukatoka na Jambia tukaweka Ubaoni £105m .Man City akaweka Mikono Juuu akakambia.Ile Wazungu wenyewe wanaita STATEMENT OF INTENT

So Mpaka hapo tukawa tumemgalagaza Bingwa wao MANCHESTER CITY.

Man United waliambiwa hata hela msilete.So walikataliwa hata kabla hawajasema ofa yao.

Chelsea? Frank Lampard alisema alitaka Kumsajili Nahodha wa Chelsea kwa Miaka 10 Ijayo.Walivyoulizia? Wakaambiwa mpo Karibu zaidi na BURNLEY Kuliko Manchester United hivyo msijisumbue..

Bayern Munich? Waliambiwa siwezi Kutoka London nije Kijijini huko

Umetazama namna ambavyo DECLAN UBWABWA anatambulishwa kwa wachezaji wenzake pale LONDON COLNEY? Ile clip Mimi mpaka sasa nimeitazama mara Mia 489.

DECLAN UBWABWA Anasema Utakuwa ni mtu mjinga zaidi Duniani Arsenal hii ya MIKEL ARTETA inakutaka halafu ukatae.

BACK WHERE WE BELONG.THE FAMOUS ARSENAL .KENGE NYIEEEEEE


Mzee wa jambia View attachment 2689199
Nyumbu kumbe waliambia hata hiyo pesa wasipeleke
 
@Flano unatunanga hapa Arsenal akija na yule jamaa ako wa Chelsea ,unamfanyia unafiki humwambii ukweli ,Chelsea wanaenda kupambania kushuka daraja

Una roho mbaya aisee , yaani unajua kabisa Chelsea ile sio timu nikikundi Cha mdundiko

Cha ajabu unamdanganya ni title Contender View attachment 2689251
Hiyo picha wapo wakiwa
Ata nyuso zao hazina furaha
 
@Flano unatunanga hapa Arsenal akija na yule jamaa ako wa Chelsea ,unamfanyia unafiki humwambii ukweli ,Chelsea wanaenda kupambania kushuka daraja

Una roho mbaya aisee , yaani unajua kabisa Chelsea ile sio timu nikikundi Cha mdundiko

Cha ajabu unamdanganya ni title Contender View attachment 2689251
Mkuu pokea kwanza pongezi zangu za dhati halafu ndio uweke mezani hoja za Chelkenge.
 
HATIMAYE MIKE DEAN KASEPA

ALIKUWA ANATUUA SANA MECHI ZETU


Mike Dean leaves English football after stepping down as Var and reaches agreement with referees’ chief Howard Webb to leave after being found to be unsuited to Var duties

(@SamWallaceTel )

Hapa tuseme tutakuwa tumeongeza points 6-9 Kila msimu maana jamaa alikuwa anapenda kutuua sana
 
Chelkenge ni title Contender

Huo umoto wa Liverpool umeuona wapi ikiwa Wana midfield mpya kabisa Mac Allister na Szoboslai na bado hawana DM had Sasa wanamuuza fabinho na Henderson, hapo hapo Wana tatizo la CB na RB

Last season tuliposema Liverpool hayupo kwenye mbio za ubingwa sababu amejaza wazee mlibisha

Safari chelkenge had Sasa ile sio timu ni kikundi Cha mdundikoView attachment 2689253
Endelea kuwadanganya kondoo wenzako kuwa Arse88 ana uwezo wa kuchukua ubingwa, mwisho wa siku uwakimbie
 
Arsenal now have the most valuable squad in WORLD FOOTBALL according to Transfermarkt

The signing of Declan Rice places their squad at a valuation of €1.21bn - ahead of Man City in 2nd on €1.19bn. #afc

[@TMuk_news]
 
Ki ukweli kabisa Mc Hamisi Masingeli amechangia kwa 80% kukihuisha hichi kijiwe cha kahawa apewe tu maua yake.
Baada ya kukosa kombe la ligi kuu katika dakika za lala salama haliyakua mliongoza ligi kwa zaidi ya siku 258 iliwavunja moyo mashabiki wengi wa Arsenyani.
Nina uhakika zisingekua hamasa zake hili jukwaa lingepoa sana, hata sisi akina Flano tumejikuta tunavutiwa kuja kuchangamsha hichi kijiwe kutokana tu na hamasa na tambo za Captain hamis77
Hongera sana mkuu, hakika unaupiga mwingi.
Ila msijidanganye tu kwa huo usajili wa kuni za mbao na mchele wa pishori msimu ujao mtachukua Epl, mkijitahidi sana ni lilelile kombe lenu la mwanaFA.


#Arsenyo ni Arsenyo tu, kombe sio kipaumbele kwao muhimu ni pressing & Overloading.
Umesaahau na fezi fo😂😂😂....
Kaka flano ukihadithiwa hiyo fezi fo na hamis 77 unaweza sema hawa mwaka huu hamna hamna yuefa hii hapa,ligi hii hapa😂😂😂😂...
Ila mpira wa kuongea hasa kipindi cha usajili huoni makosa😂😂😂
 
Back
Top Bottom