Flano
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 5,842
- 16,292
Ki ukweli kabisa Mc Hamisi Masingeli amechangia kwa 80% kukihuisha hichi kijiwe cha kahawa apewe tu maua yake.Thanks!! Tukutane hio August . Humu hatuwezi kuondoka sababu ni sehemu ya kufurahii na story za uongo uongo nyingi zinatupa raha hiki ni kijiwe cha epl fans wote humu , hongera mkuu kukifanya hiki kiwe kijiwe bora zaidiii ndo maana humu unaona wapo chelsea , man city, man utd , Liverpool na mimi kijana mpya wa “ THE MAGPIES”
Huwa tunakumiss ukikimbia maana ukweli usemwe tu huwa unalifurahisha na kulichangamsha jukwaa hili
Baada ya kukosa kombe la ligi kuu katika dakika za lala salama haliyakua mliongoza ligi kwa zaidi ya siku 258 iliwavunja moyo mashabiki wengi wa Arsenyani.
Nina uhakika zisingekua hamasa zake hili jukwaa lingepoa sana, hata sisi akina Flano tumejikuta tunavutiwa kuja kuchangamsha hichi kijiwe kutokana tu na hamasa na tambo za Captain hamis77
Hongera sana mkuu, hakika unaupiga mwingi.
Ila msijidanganye tu kwa huo usajili wa kuni za mbao na mchele wa pishori msimu ujao mtachukua Epl, mkijitahidi sana ni lilelile kombe lenu la mwanaFA.
#Arsenyo ni Arsenyo tu, kombe sio kipaumbele kwao muhimu ni pressing & Overloading.




