𝐒𝐇𝐈𝐋𝐈𝐍𝐆𝐈 𝟔 𝐆𝐇𝐀𝐋𝐈 𝐙𝐀𝐈𝐃𝐈 𝐃𝐔𝐍𝐈𝐀𝐍𝐈
Ngoja niwakumbushe Kidogo.Tulianza Kuwapelekea Westham United £80M wakakataa
Tukurudi Tena na £90m Westham United akakataa Tena.Na hapa MAN CITY akaingilia kati nae Kapeleka £90m
Tukatoka na Jambia tukaweka Ubaoni £105m .Man City akaweka Mikono Juuu akakambia.Ile Wazungu wenyewe wanaita STATEMENT OF INTENT
So Mpaka hapo tukawa tumemgalagaza Bingwa wao MANCHESTER CITY.
Man United waliambiwa hata hela msilete.So walikataliwa hata kabla hawajasema ofa yao.
Chelsea? Frank Lampard alisema alitaka Kumsajili Nahodha wa Chelsea kwa Miaka 10 Ijayo.Walivyoulizia? Wakaambiwa mpo Karibu zaidi na BURNLEY Kuliko Manchester United hivyo msijisumbue..
Bayern Munich? Waliambiwa siwezi Kutoka London nije Kijijini huko
Umetazama namna ambavyo DECLAN UBWABWA anatambulishwa kwa wachezaji wenzake pale LONDON COLNEY? Ile clip Mimi mpaka sasa nimeitazama mara Mia 489.
DECLAN UBWABWA Anasema Utakuwa ni mtu mjinga zaidi Duniani Arsenal hii ya MIKEL ARTETA inakutaka halafu ukatae.
BACK WHERE WE BELONG.THE FAMOUS ARSENAL .KENGE NYIEEEEEE [emoji1787][emoji119]
Mzee wa jambia
View attachment 2689199