As of now hakuna timu ya kumaliza juu ya Arsenal we boyaManu anamaliza juu ya Arsenal time will tell
Yote hayo nimeyaona , ila mm mlevi Sana wa wachezaj wanaopiga pass kwa usahihi , halafu Rice nimeona anacheza 8 vzr kabisa ,
Nataman kuwaona na Partey jumlisha Zinny , Øde
Jesus ashindwe yeye tu

Willy ,hatimaye mwanao Rice katua ,ilinichukua muda Sana kumuelewa RiceAs of now hakuna timu ya kumaliza juu ya Arsenal we boya
Hapo 9 Kuna mechi acheze Kai havertzMartinel. 9. Saka
.
.
. . Rice. . Odegard
.
.
. .Partey
.
.
Zincenko. saliba. .Gabriel. Timber
. .Rambo
.
.
Hiko ndio kikosi changu jamani
Hapo namba Tisa ata ukimuweka magwaya ata-shine tu
kuta vilabu havitaleta timu uwanjani
#ArsenalNDOO
Hapo 9 Kuna mechi acheze Kai havertzMartinel. 9. Saka
.
.
. . Rice. . Odegard
.
.
. .Partey
.
.
Zincenko. saliba. .Gabriel. Timber
. .Rambo
.
.
Hiko ndio kikosi changu jamani
Hapo namba Tisa ata ukimuweka magwaya ata-shine tu
kuta vilabu havitaleta timu uwanjani
#ArsenalNDOO
Mwisho wa msimu msimamo utakua hiviAs of now hakuna timu ya kumaliza juu ya Arsenal we boya


️
. Goli la kwanza la Declan Rice kwenye Ligi kuu England lilikuwa dhidi ya Arsenal.
. Declan Rice kwasasa ndie mchezaji ambae amecheza michezo mingi kwenye wachezaji wenye miaka 20-29. Hadi sasa amecheza michezo zaidi ya 200 ya Ligi Kuu England.
2014, Rice alitemwa na Akademi ya Chelsea na kusajiliwa Akademi ya Westham. Frank Lampard amasema alipendekeza jina la Rice kwenye msimu wake wa pili, baada ya Chelsea kuruhusiwa kusajili, lakini uongozi haukutilia maanani.
Declan atakuwa mtu wa pilli mwenye jina la Rice kuchezea Arsenal. Wa kwanza alikuwa Mkongwe Pat Rice. Na kwa mara ya kwanza tangu klabu kuundwa itakuwa na mchezaji mwenye jina la Declan.
Declan Rice ndie mchezaji aliyezuia mipira mingi kwenye kuunda mashambulizi wapinzani (interception) LigiKuu. Mara 63, akifatiwa na Caicedo mara 56.
Declan Rice anaondoka akiwa ameisadia Westham kupata taji la UEFA conference League, taji la kwanza baada ya miaka 43 ya ukame... tuna maanisha Westham hawakuwa na kombe hata la mbuzi kwa miaka 43 
Newcastle ikibadili kocha inakua City mpya
As of now hakuna timu ya kumaliza juu ya Arsenal we boya


The pettiness is real and I’m here for it…
Arsenal posted the Rice announcement bang on 13:05.
1:05pm.
£105m.
#Arsenal ni ileileWe all know ni wakati wa arsenal fans kutamba huu ni muda wenu tumieni vizuriii kuanzia August mpaka December ila ikifika january up to may watatamba wengine![]()
Haya kila kheri mshabiki Lia Lia wa Newcastle ,Kuna uzi wenu humu kaufufueWe all know ni wakati wa arsenal fans kutamba huu ni muda wenu tumieni vizuriii kuanzia August mpaka December ila ikifika january up to may watatamba wengine![]()
Timber mnyama flani hivi, nimecheki game ya Ajax vs Dort(4-1) alimficha sana halaand. Afu vijana wamekuja na sumu mixer ushabiki. Saliba X Timber itakuwa balaa kubwa.Willy ,hatimaye mwanao Rice katua ,ilinichukua muda Sana kumuelewa Rice
Kuna watu mpaka leo hawamuelewi,,