NEGAN
JF-Expert Member
- May 12, 2023
- 1,764
- 4,272
Sio uchawi ndugu ni scientifically proved. Hapo hatujaongelea factor kama mentality ya Arsenal kufukuzia ubingwa kwa siku 200+ na kuupoteza wiki za mwisho wachambuzi nguli na wataalamu wa saikolojia wanasema fighting spirit ya Arsenal itashuka na mifano hii imetokea kwa timu nyingi hapo nyuma.Hahahah wewe jamaa muda sio mrefu unakua mchawi, umetaja Aston vila,Newcastle, Liver,Man u, Brighton chelsea wana kocha mpya lakini ulipofika kwa Arsenal umesema sajili zao kuna ku click au hapana asa kama sio uchawi ni nini? Kwan hizo team zingine wachezaj wake wanaenda ku click moja kwa moja aiseee izi chuki sio mchezo aiseee,
Hivyo wataalamu wa saikolojia nguli hawaipi nafasi Arsenal ya kuchukua ubingwa. Ila kwa kuwa wewe ni shabiki unaona tunaponda na kuita uchawi. Muda utaongea.
#Tukutane May
#Arsenal ni ileile

@amylawrence71
️ | Romeo Lavia still Arsenal’s next top target as Mikel Arteta sees him as a huge talent, but Arsenal not willing to meet the £50m valuation. 

