makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 37,428
- 108,438
Hao wote kwa gabriel jesus hawafui dafu,
Jesus anachukuliwa poa ila boli limelala pale, anakupa vitu vingi,
Osimhen usishangae ndani ya misimu miwili asiimbwe tena
Kwa balogun hatukosi €40-50m
Inter na Ac Milan zinamtaka
Kuna mdau anasema tuwauze wote Nketiah na balogun
Tukapambane kwa Victor osmhen
Jesus anachukuliwa poa ila boli limelala pale, anakupa vitu vingi,
Osimhen usishangae ndani ya misimu miwili asiimbwe tena