Labyrinth 84
JF-Expert Member
- Feb 13, 2017
- 1,316
- 3,947
Kwahiyo sasahivi Newcastle akifungwa unaumia kishenzi, uongo?
Bado hajaanza kufungwa nitakujibu August lakini fuatilia comments zangu huko juu utaelewa timu gani kwa miaka 20 ikifungwa naumia kinoma , Newcastle now its my new club so jibu subiri december
Hakuna plastic club weka hilo kwenye akili yako kwanza dogo aliyezaliwa 2000 unaweza kumwmbia man city ni plastic club hata Blackburn rovers ina mashabiki.
Tuachane na hayo leo is the big day for arsenal kusajili mchezaji kwa paun 100 so to focus na sherehe za mwamba rice tumjadili yeye na impact zake kwa arsenal ama vipi[emoji38]