Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Ahsante mkuu kwa hili. Inaonyesha kuwa eneo hilo liko well covered kutokana na profile na uwezo wa mtu wanayemtumia, na methodology yake. Tatizo langu ni kwenye team, namna gani wachezaji wanakuwa motivated kushinda mechi au wanavyoandaliwa psychological kwenye mechi, bila kujali kubwa au ndogo, mara kadhaa tumefall short kwenye mechi na timu za kawaida na kushinda big matches...

Hili swala la kuwa motivate wachezaji Wenger ndio upungufu wake mkubwa sana. Nadhani Adebayor pia alizungumzia hilo swala kwamba ndio tofauti kubwa kati ya Wenger na Mourhino.


Long time mkuu, naona ulipotea jukwaani hapa, karibu sana.
 
MIE SIO ARSENAL NI MSHABIKI WA LIVERPOOLFC, BADO NASHANGAA WATU AU WASHABIKI WA ARSENAL KUKATA TAMAA NA WENGER USAJILI MWISHO NI 31 August. Wenger akiuza Fab na Nasri anaweza kuleta mtu kama Tevez na Hazard kati akaweka Aaron Ramsey na Welshire Nyuma akampata Cahill au Samba au Dann je ukiwa kama Mshabiki wa Arsenal utakuwa hujarizika na hilo?.
 
Hakuna sababu ya kujisikia unyonge unapokuwa Mshabiki wa Arsenal.... Nadhani its tym up for the AL CAPITAIN to go.... Sidhani kama this tym atabaki roamers ni kuwa soon jamaa ataondoka LONDON to his BOYHOOD club Barca... Ila sio end of football.... The rset and his replacement will do something within the club....Its tym up kumpa Vermaleen U captain wa timu... I believe tutanyanyua kwapa this season.... GO GOONERZ....
 
Hakuna sababu ya kujisikia unyonge unapokuwa Mshabiki wa Arsenal.... Nadhani its tym up for the AL CAPITAIN to go.... Sidhani kama this tym atabaki roamers ni kuwa soon jamaa ataondoka LONDON to his BOYHOOD club Barca... Ila sio end of football.... The rset and his replacement will do something within the club....Its tym up kumpa Vermaleen U captain wa timu... I believe tutanyanyua kwapa this season.... GO GOONERZ....

Welcome back mkuu.
 
Hapa naona N'castle wanaingia uwanjani... Wakifuatiwa na Arsenal....... Hope the boyz will bring BURUDANI.... MUNGU IJAALIE ARSENAL... IJAALIE FURAHA YANGU.......
 
Ngoja tuwaonyeshe kabumbu hawa New Castle last season walibebwa na refa.
 
list la ushindi ni:

Szczesny,gibbs,vermalen,koscienly,sagna,arshavin,rosicky,ramsey,song,gervirnho,van persie
 
Szczesny, Sagna, Vermaelen, Koscielny, Gibbs, Rosicky, Song, Ramsey, Arshavin, Gervinho, van Persie. You have my 100% Support... All the best lads....... WALETEEEEEEEEE...............
 
Szczesny, Sagna, Vermaelen, Koscielny, Gibbs, Rosicky, Song, Ramsey, Arshavin, Gervinho, van Persie. You have my 100% Support... All the best lads....... WALETEEEEEEEEE...............
Fanyeni mtakavyofanya lakini ManU ni bingwa tena this season
 
Hii rumours inayoendelea vipi wakuu? Kuhusu kubadirishana na MAN CITY watupe TEVEZ na sisi tuwape Nasri.

Sema sijui kama Tevez atakubali mshahara wetu na pia jamaa mambo yake ya kutaka kuondoka uingereza itakuwa kazi bure tumefanya.
 
Haya walete walete...!

Babu alisema "hold ur nerve, trust me!"..

Sasa tuone kweli kama babu anajua anachokifanya, na sie fans and pundits, we are just ehh... mmhhh..FANS AND PUNDITS!

AW is GOD!
 
Back
Top Bottom