Fanyeni mtakavyofanya lakini ManU ni bingwa tena this season
Rosickyyy unataka kuchagua ya nini pale? mkwajuuu tu
Tumsubiri kumuona captain wetu mpya VAN PERSIE jamaa ambae hana papara za kuhama wala nini.
Kumbe sio wabovu sana wakuu...........................
what is wrong with RVP?????