Broh, Declan ni mchezaji mzuri, hili wala silipingi. Ambacho nazungumzia mimi ni uhalisia wa City kumuhitaji Declan (they are stacked in the midfield position). Binafsi naamini City hawakuwa wanauhitaji wa kweli wa huduma ya Declan, walibid kwa motives zao zingine.
Mimi naamini City wazinguaji tangu bid yao ya kwanza, nilijua pia kuwa Arsenal ataongeza pesa na City atajifanya kukausha. Sikulazimishi, ila nilijua tu City hawapo serious.Kwahiyo saizi ndio unaamini walibid kwa motivie zao zingine baada ya kuachana na deal la Rice?
Kwanini hukufikiria hiki kitu wakati wamebid ile £90 kuwa wameweka hela mezani ila watakuwa na motive zingine?
Tatizo ni kwamba mmekariri kila Arsenal akiingia vita na club kubwa waga anashindwa, sasa imekuwa ngumu kukubaliana na huo ukweli kwenye issue ya Rice
Msiishi Kwa kukariri Zama zinachange, Leo hii ata Newcastle anaweza kuzimbia club kubwa na zikagwaya
Kwenye ishu ya Rice hata Romano usimuaminiIla kwa sababu Romano karipoti nina wasiwasi, hii issue ya City kupima kina cha maji na kujitoa ni ya kweli. Policy ya City na Liverpool siku zote hawapendi kumshindania mchezaji? Hii ni kazi ya Chelsea, Man U, Barcelona.
Manchester City to leave Declan Rice as internal discussion took place today — after Arsenal record bid submitted on Tuesday. #MCFC
City have no intention to enter into a bidding war, as always. No plans to match £105m proposal.
Over to Arsenal and West Ham now.
-Fabrizio Romano 33m ago
Watakuwa na mawazo ya kijinga Tu ata kama ni watu wa mpira,mfano mtu kama Garry Neville pamoja na kuwa mtu wa mpira unamuonaga ana Akili timamu?Haya wale waliokuwa wanabisha kuwa Man City walikuwa hawamhitaji Rice na wametuma bid ya kihuni, sikiliza hii kutoka kwa watu wa football wenyewe wanaojua yanayojiri nyuma ya pazia.
Mkuu Unahisi tukiangalia kwenye comments zako zote tangu City alipoweka bid ya £90 tutakutana na hiki kitu unachosema kuwa ulijua city atajifanya kususa?Mimi naamini City wazinguaji tangu bid yao ya kwanza, nilijua pia kuwa Arsenal ataongeza pesa na City atajifanya kukausha. Sikulazimishi, ila nilijua tu City hawapo serious.
Grealish alinunuliwa sh ngapi?Man City hawezi kutoa £90+ m kwa mchezaji wa benchi.
Sasa kama hiyo 100m ndiyo ilikuwa thamani waliyoiweka tangu mwanzo, kwanini mpaka City amebid Arsenal ndo amekuja na kiasi wanachokihitaji West Ham?Watakuwa na mawazo ya kijinga Tu ata kama ni watu wa mpira,mfano mtu kama Garry Neville pamoja na kuwa mtu wa mpira unamuonaga ana Akili timamu?
Westham walitaka £100 tangu mwanzo kabisa na hilo kila club iliyotaka huduma ya Rice walilijua
Sasa kama unajua Westham wanataka £100 umuagize pep Abid ili iweje? itabadirisha nini akibid? ilhali ukifika hela inayotakiwa mchezaji anakuwa wako?
Rice ni overrated sababu ni British, in my opinion huwa nawakubali sana South America players ni fighters na ball wanalijua hata baadhi ya African players pia huwa ni wazuri tatizo ni media coverage huwa haipo upande wao so Rice akija ni sawa asipokuja pia ni sawa tu
Pep alikuwa anamuhitaji Grealish, na alimnunua kuwa first team player. Msimu wake wa kwanza Grealish alichelewa kuzoea mfumo wa Pep. Hiki unachokizungumza hapa hakikutokea kwa Grealish pekee, hata Leroy Sane msimu wake wa kwanza alistruggle kuingia katika first eleven.Grealish alinunuliwa sh ngapi?
Ameanza kua regular first XI msimu gani?
Hauwezi kukuta comments zangu, hata leo hii nimekuwa na mood tu ndiyo maana unaona michango yangu humu.Mkuu Unahisi tukiangalia kwenye comments zako zote tangu City alipoweka bid ya £90 tutakutana na hiki kitu unachosema kuwa ulijua city atajifanya kususa?
au tukiangalia comments zako tangu city abidi tutakutana na comments za kusema Arsenal ndo basi tena Kwa Rice?
Hoja yako ya kwamba hatoi pesa ya hivyo ili mchezaji akae benchi bado unaona ipo sawa?Pep alikuwa anamuhitaji Grealish, na alimnunua kuwa first team player. Msimu wake wa kwanza Grealish alichelewa kuzoea mfumo wa Pep. Hiki unachokizungumza happy hakikutokea kwa Grealish pekee, hata Leroy Sane msimu wake wa kwanza alistruggle kuingia katika first eleven.
Watu wa ball wali, expert wa habari kina Fabrizio, na source za Westham kila day nilikuwa naweka hapa wanasema tofaut na porojo zenuHaya wale waliokuwa wanabisha kuwa Man City walikuwa hawamhitaji Rice na wametuma bid ya kihuni, sikiliza hii kutoka kwa watu wa football wenyewe wanaojua yanayojiri nyuma ya pazia.
Issue ni kwamba unajua wanataka ulipe £100 ila hujui wanataka ulipe vipi, sasa ili uwatoe mafichoni unatuma pungufu ili wao ndio wajieleze wanatakaje wakati huo wewe unaongea na mchezajiSasa kama hiyo 100m ndiyo ilikuwa thamani waliyoiweka tangu mwanzo, kwanini mpaka City amebid Arsenal ndo amekuja na kiasi wanachokihitaji West Ham?
Pia kwanini City akuanza na 100m wakati anajua kabisa hiyo ndo pesa inayohitajika kumpata kijana wanayemuhitaji?
Ngoja na huko akutane na Tajiri miluzi kachafukwa tuambiwe alienda kuzuga tuCity kaenda kwa Gabri Veiga baada ya kuachana na Rice huko nako kuna vita pia Chelsea na Liverpool