Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Nasikia alichoongeza Ni upfront tu ya £5m

Ila ofa yao haina utofauti na ya Arsenal,

Imekataliwa muda huu

West Ham have turned down Man City offer for Declan Rice. #MCFC made formal proposal last night worth £80m + £10m add-ons. #WHUFC unimpressed & quickly rejected it. #Arsenal have seen 2 bids rebuffed but remain determined to sign 24yo @TheAthleticFC #AFC

[@David_Ornstein]
Westham wanatengeneza Bidding war na amewapatia kweli kweli aidha hadi mmoja ajitoe au mtafika 150m
 
😆😂😆😂

😆😆😆😆 Labda hao waliotengeneza hiyo graphic hawajui kiingereza pia. Inabidi watu wenye akili kubwa kama Arsenal fans wachambue waielewe ila ukiwa nyumbu huwezi elewa. Kwanza wote mmeleta graphics zinazosema source ni Transfermarkt lakini moja inasema Arsenal wa pili, ingine inasema tofauti.

Pia ni rahisi kufikiri kuwa huenda mchezaji Chelsea alinunuliwa Kwa thamani kubwa lakini akiwa hapo akashuka thamani hivyo akiwekwa sokoni hana thamani kubwa. Mfano Kepa wa kununuliwa 72m huko saivi nyie nyumbu mtanunua Kwa ngapi mkimtaka.?

Yule Antony mtoto wa uswazi na mpira wa mchangani mliemnunua 100 huko mkimweka sokoni hata 10 hampati. Bado kuna Sanchoka aliyechoka kweli kweli. 75m kumnunua . Hata 40 mtapata kwake? Halimagwaya 80 hakuna mtu atamchukua hata bure
Valuable squad ni dhamani ya wachezaji
Valuable Club ni thamani ya assets zote
Kwa Squad Chelsea ya pili baada ya City - pia hii itategemea muda, wakireview tena baada ya hii fagiafagia, inaweza ikapanda au ikashuka
Kwa dhamani nzima ya timu Chelsea na. 8 Arsenal na. 10 na hii inategemea sana usahihi wa taarifa zilziopatikana na muda ulioripotiwa, taarifa za taasisi zingine zinazochakata hiziz taarifa zinakuwa na anomaly kubwa na ndio maana kila source ina rating yake binafsi inayotofautiana
Forbes wao wana hii, dhamani ya assets zote waliupdate May 2023
1687855200591.png

Kwa hio na wewe HENRY14 unataka kuamini kabisa kua Arsenal wachezaji wake wanathamani kubwa kuliko Buyern Munich na Chelsea.
Kisa Asaninyau ameshika nafasi ya pili kwenye ligi nyuma ya City basi na kwenye kila kitu mnaamua tu wenyewe kujiweka kwenye nafasi ya pili?
Daaahhh kweli nimeamini kushabikia Arsenyani lazima kwanza uwe msukule. View attachment 2669935

Unaongelea Most valuable squad halafu Title unaandika Most valuable Club?
Hebu kuweni Serious basi japo kidogo, msiwe mnapenda kujitoa ufahamu ili tu kufurahisha makondoo ya mchungaji Mackenzie. View attachment 2669943View attachment 2669944View attachment 2669945

Sijakurupuka na wala sikuongea kiushabiki.
Kama alikua anaongelea Most valuable squad kwa nini Title iwe ni Most valuable Club?
Kwanza hata hio valuable Squad Arsenyau yuko nafasi ya 4 huko nyuma ya Chelsea na Buyern. View attachment 2669948View attachment 2669949
 
Hiyo habari haitaji chanzo, wapiga porojo kwenye media ni wengi nazo ni vyanzo
Ukweli ni kwamba City wakiwa serious, Rice atapenda kwenda City kuliko Arsenal labda kama Rice haelewani na PEP maana ndio kizuizi kikubwa kwa mchezaji. Mchezaji mkubwa anahitaji kukaa chini ya kocha wanaoelewana naye
Msidharau hii ili baadaye msije mkaumia sana
Kwanza huyo Rice kwa akili ya kawaida tu unafikiri atakubali kuacha kujiunga na timu inayobeba makombe makubwa kila msimu halafu aende akachezee Kwa kina kwangu pakavu nitilie mchuzi?
Labda kama ulivyosema awe haelewani na kocha wa City ndio ataenda Arsenyau.
Sheikh Mansuri ada ya uhamisho anaitoa yote ndani ya msimu mmoja wakati Arsenyau wanaomba walipe kwa kudunduliza kwa miaka 5.
Arsenyo sio mteja ni dalali tu kama vile Dr. Shika mzee wa 900 itapendeza.
Kroenke's wameshazoea kununua wachezaji wa mafungu mafungu, £50,000 anapata wachezaji wake 6 au 7 unafikiri ataweza kutoa £100m kununua mchezaji mmoja?
Tumeshayaona kwa Mudryk, Caicedo na sasa hivi Rice.
Nimekaa paleeeeeee.
 
Kwanza huyo Rice kwa akili ya kawaida tu unafikiri atakubali kuacha kujiunga na timu inayobeba makombe makubwa kila msimu halafu aende akachezee Kwa kina kwangu pakavu nitilie mchuzi?
Labda kama ulivyosema awe haulewani na kocha wa City ndio ataenda Arsenyau.
Sheikh Mansuri ada ya uhamisho anaitoa yote ndani ya msimu mmoja wakati Arsenyau wanaomba walipe kwa kudunduliza kwa miaka 5.
Arsenyo sio mteja ni dalali tu kama vile Dr. Shika mzee wa 900 itapendeza.
Kroenke's wameshazoea kununua wachezaji wa mafungu mafungu, £50,000 anapata wachezaji wake 6 au 7 unafikiri ataweza kutoa £100m kununua mchezaji mmoja?
Tumeshayaona kwa Mudryk, Caicedo na sasa hivi Rice.
Nimekaa paleeeeeee.
Mzee baba lini unanizibua makofi
 
" Labda hao waliotengeneza hiyo graphic hawajui kiingereza pia"

hii picha kuna muhuni mmoja amei edit, kama sio mchungaji Mckenzie basi kuna msukule mwingine uliofanya hivyo na kwa vile njia ya muongo ni fupi ikajikuta tu imejichanganya kwenye kuandika title. View attachment 2670186
Halafu wakiitwa makondoo wanakasirika. Hapo wameweka hivyo ili kujifurahisha.Hivi umewahi kuwaelewa hawa jamaa.
 
Nasikia alichoongeza Ni upfront tu ya £5m

Ila ofa yao haina utofauti na ya Arsenal,

Imekataliwa muda huu

West Ham have turned down Man City offer for Declan Rice. #MCFC made formal proposal last night worth £80m + £10m add-ons. #WHUFC unimpressed & quickly rejected it. #Arsenal have seen 2 bids rebuffed but remain determined to sign 24yo @TheAthleticFC #AFC

[@David_Ornstein]
Wabaki na mchezaji wao....sometimes kama klabu mnatakiwa muwe na maamuzi magumu....across Europe kuna viungo wengine wakabaji wazuri kuliko yy...after all wachezaji wa Kiingereza wanakuzwa sana tofauti na uhalisia....Arsenal wanatakiwa waangalie watu wengine
 
Westham wanatengeneza Bidding war na amewapatia kweli kweli aidha hadi mmoja ajitoe au mtafika 150m
Inshallah, Leo jion tunamaliza hii biashara ,

Declan Rice is waiting for Arsenal to raise their bid for him after West Ham rejected Manchester City’s opening offer of £90m

(@JacobSteinberg )
 

Misukule wanaelewekaga basi?
Hawa dawa yao kila comment ni kupiga tu nyundo ya kichwa.
Wewe jamaa badala upambane na manjesta Hali mbaya ,unahangaika na Arsenal

Manjesta ina matakataka wengi mmeshindwa kuwauza ,hamjasajili

Unahangaika humu dah
 
Wabaki na mchezaji wao....sometimes kama klabu mnatakiwa muwe na maamuzi magumu....across Europe kuna viungo wengine wakabaji wazuri kuliko yy...after all wachezaji wa Kiingereza wanakuzwa sana tofauti na uhalisia....Arsenal wanatakiwa waangalie watu wengine
Kuna muda inabidi kupambana Hadi mwisho ili kutuma ujumbe ,maana dharau Ni nyingi


Declan Rice is waiting for Arsenal to raise their bid for him after West Ham rejected Manchester City’s opening offer of £90m

(@JacobSteinberg )
 
It's like title Race imeanza mapema

Timu nyingine nikama zimejikatia tamaa za kupambana na Pep,

Manjesta haeleweki anaboresha Nini ndio kwanza yupo na kina magwaya

Liverpool anasubiri miujiza ya Klopp

Chelsea hawa wanaanza na Moja


Cha ajabu mashabiki ya unyumbuni inakuja kupiga kelele humu
IMG_20230627_121914.jpg
 
Rice akionekana anaenda Arsenal tunaambiwa mbovu Mara Pep hamtaki


Ikionekana anaenda City , tunaambiwa Arsenal hatuna hela ,na bla blaa kibao

Wanafiki wamejiweka hapo Kati

Time will tell
 
Rice akionekana anaenda Arsenal tunaambiwa mbovu Mara Pep hamtaki


Ikionekana anaenda City , tunaambiwa Arsenal hatuna hela ,na bla blaa kibao

Wanafiki wamejiweka hapo Kati

Time will tell
Soon tutaanza kuambiwa tumepigwa, tumeingia kichwa kichwa, wakati hapo kati walikuwa wanajaribu kutucheka eti tumemfukuzia mchezaji afu tumemkosa

Hakuna kitu kibaya kwa mwanaume kuliko kuhaha haha (umbeya umbeya) kwa wenzio badala ya kurekebisha kwako
 
Wote wanaotukebehi humu ,Hadi kesho angalieni msijifiche tu
hamna jeuri ya kutunishiana misuli na Sheikh Mansour.
Nyie tafuteni kila Lukonga wengine tu, hapo kwa Rice mtakula za uso kama mlivyokula za uso kwa Mudrick mkaanza kutukanana wenyewe kwa wenyewe humu.
 
Kauzeni Magwaya kwanza kule OT ndo uje kufanya Fujo hmu mkuu...
Maskini ndie anategemea auze kwanza kisha ndio anunue.
Matajiri tunanunua tukiona hafai tunamuweka pembeni anakula mshahara wa bure tunanunua mwingine.
Hapo atachagua mwenyewe atafute timu nyingine au abaki aendelee kula kuku kwa mrija.
Timu yetu ni namba 2 kwa utajiri duniani, ina vyanzo vingi vya mapato haitegemei biashara ya kuuza wachezaji ili ijiendeshe.
Thamani ya Man Utd moja ni sawa na vilabu vitatu vya Arsenyo.
Engineer soma hioooo
1687764295114.jpg
 
Back
Top Bottom