kilamba lamba
JF-Expert Member
- May 27, 2020
- 427
- 738
Tuambie wewe city Akiwa serious huwa anaweka dau gani kwa mchezaji...Hauwezi kukuta comments zangu, hata leo hii nimekuwa na mood tu ndiyo maana unaona michango yangu humu.
Ila pia sio lazima tufikie huku unakotaka. Nishasema, mimi ninaamini Declan hana kiwango cha kuwa regular starter katika kikosi cha Man City, hivyo City hawakuwa serious katika hii bidding saga.
Sikulazimishi kukubaliana na huu mtazamo wangu, pia sina maana kuwa Declan ni mchezaji mbaya.
: 
