Kwani Kati ya City na Arsenal ni nani wa Kwanza kutuma offer ili useme hiyo kauli ya kuwa you swear?
Na kwanini useme kama City asingeingilia deal Rice angeuzwa £75 or below ilhali offer ya Kwanza ya arsenal iliyokataliwa ilikuwa above?
Westham made it clear, they want £100, ila Rice katika hesabu zake akawa ana prefer zaidi Arsenal kuliko team ingine kulingana na sababu zake
Issue ni kwamba city waga hawana pigo za kugombania wachezaji kwa sababu wanaamini wachezaji wengi wanatamani kucheza city hivo hawana haja ya kutumia nguvu kubwa kumshawishi mchezaji
Na pep akikutaka hakuakikishii namba, itabidi uipambanie ili ucheze, sasa mtu kama Rice anaona anaweza kupoteza ata nafasi yake team ya Taifa
Kwahiyo hizi ngonjera sijui ohhh city walitumika,ohhh sijui westham wajanja hazina mashiko, baada ya bid ya city wengi waliamini ndo imeisha hiyo kwahiyo msibadirike badirike kama vinyonga
Philips kachukua makombe yote matatu ila kayachukulia akiwa benchi, na kapoteza namba yake team ya Taifa, kwahiyo everything has it's price.