Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Declan Rice ready to ask West Ham to accept Arsenal's £105m bid

Arsenal confident of reaching agreement with West Ham TODAY

(@SamiMokbel81_DM )
Westham wamesha kubali, wanajadili sasa namna ya kuil;ipa hiyo mil 100 na addons ziweje, final touches
 
The best midfielder in the World.View attachment 2671540
Huyo aenda kuwa nahodha wa Arsenal ana sifa zote.

Sitasahau mechi ya West Ham na Arsenal alipoiongoza timu yake kurudisha magoli mawili wakati Arsenal ilikuwa ikiongoza kwa 2-0.

Na goli la kwanza la West Ham lilisababishwa na Rice ambae alimnyang'anya mpira Thomas Partey ndani ya eneo la Arsenal.
 
Tajiri wa westham na mwenyekit Sullivan Ni mzoefu wa media amewahi kumiliki Daily Star na The mail anajua propaganda vzr

Amepata alichokitaka
Ila kwa sababu Romano karipoti nina wasiwasi, hii issue ya City kupima kina cha maji na kujitoa ni ya kweli. Policy ya City na Liverpool siku zote hawapendi kumshindania mchezaji? Hii ni kazi ya Chelsea, Man U, Barcelona.

Manchester City to leave Declan Rice as internal discussion took place today — after Arsenal record bid submitted on Tuesday. #MCFC

City have no intention to enter into a bidding war, as always. No plans to match £105m proposal.

Over to Arsenal and West Ham now.

-Fabrizio Romano 33m ago
 
Mkataba wa Gundogan waisha 30/6/23 na Man City ni smart guys wakamuwahi kwa kuongea na Barcelona.
Huyo ni free agent hata kabla ya muda huo. Mchezaji anakuwa huru kuingia mkataba na timu yeyeo pale dirisha la January linapofungwa. So logically Ikay alishakuwa free agent tangu February 2023
 
Kuna sababu nyingi pia ikiwemo ya Gundogan kutaka kusomea ukocha.

Gundogan ni mmoja wa wachezaji kipenzi cha Guadiola maana alipokwenda Man City Guadiola alimsajili Gundogan katika wachezaji muhimu.

Hivyo kama ilivyokuwa na Vincent Kompany wachezaji kama hawa huwa tayari wameanza kozi za ukocha.

Xavi pia ni mchezaji wa zamani wa Guadiola akiwa katikati kama kiungo hivyo bado ana mawasiliano na Guadiola, na hiyo yaonekana wazi baada ya Basquets kuondoka, Xavi kamgeukia mwalimu wake Guadiola na wameongea.

Wachezaji wengi wa zamani ambao wamepitia Barcelona Academy au kwa Pep Guadiola akiwemo Mikael Arteta na Vincent Kompany, ndo mtashuhudia wakiwa mameneja wa timu kadhaa za Ulaya miaka ya baadae.
 
Ila kwa sababu Romano karipoti nina wasiwasi, hii issue ya City kupima kina cha maji na kujitoa ni ya kweli. Policy ya City na Liverpool siku zote hawapendi kumshindania mchezaji? Hii ni kazi ya Chelsea, Man U, Barcelona.

Manchester City to leave Declan Rice as internal discussion took place today — after Arsenal record bid submitted on Tuesday. #MCFC

City have no intention to enter into a bidding war, as always. No plans to match £105m proposal.

Over to Arsenal and West Ham now.

-Fabrizio Romano 33m ago
Biashara ya Biding war mnaiweza Chelsea

Nacheka wanaojifanya wanamtaka Caicedo , wataumia vibaya Sana
 
Hakuna timu ya kingese kwasasa Duniani kama Man City.

1. Wanadhoofisha timu zingine ndani ya ligi ili kupunguza ushindani. Wanafuata nyayo za Bayern.

2. Kwenye dirisha la usajili wanafanya moves za uongo. Hili dili la Rice walituma bid ambayo walijua fika itakataliwa.

Faida yao ni kuona Arsenal (mpinzanzi wao mkubwa 2022/23) wakilipa £100m+ kitu kinachopunguza budget ya timu, kama Man City angetulia na bid zake za uongo West Ham huenda wangeuza kwa bei pungufu na Arsenal wangetumia pesa inayobaki kwenye sajili nyingine.

Mimi naona kabisa hii ni michezo michafu ya City ya muda mrefu. Kipindi United wanamfuatilia Maguire wao pia wakaingilia kati mpaka bid ya mwisho United wakatoa £80m. Pia washawahi kufanya hivyo kwa Fred.

Mimi naamini kabisa Man City wanatumia hii mbinu kuona budget za timu pinzani zinatumika kwenye wachezaji wachache, wao wala hawamuhitaji Rice.

Yale makosa 115 ya kuvunja sheria za FFP ni lazima watakutwa na hatia.
 
Walichokifanya Manchester city kwenye deal la Rice ilikuwa ni kuisaidia West Ham united kutaka pesa walioihitaji kwa mchezaji wao.
 
Hakuna timu ya kingese kwasasa Duniani kama Man City.

1. Wanadhoofisha timu zingine ndani ya ligi ili kupunguza ushindani. Wanafuata nyayo za Bayern.

2. Kwenye dirisha la usajili wanafanya moves za uongo. Hili dili la Rice walituma bid ambayo walijua fika itakataliwa.

Faida yao ni kuona Arsenal (mpinzanzi wao mkubwa 2022/23) wakilipa £100m+ kitu kinachopunguza budget ya timu, kama Man City angetulia na bid zake za uongo West Ham huenda wangeuza kwa bei pungufu na Arsenal wangetumia pesa inayobaki kwenye sajili nyingine.

Mimi naona kabisa hii ni michezo michafu ya City ya muda mrefu. Kipindi United wanamfuatilia Maguire wao pia wakaingilia kati mpaka bid ya mwisho United wakatoa £80m. Pia washawahi kufanya hivyo kwa Fred.

Mimi naamini kabisa Man City wanatumia hii mbinu kuona budget za timu pinzani zinatumika kwenye wachezaji wachache, wao wala hawamuhitaji Rice.

Yale makosa 115 ya kuvunja sheria za FFP ni lazima watakutwa na hatia.
Walichokifanya Manchester city kwenye deal la Rice ilikuwa ni kuisaidia West Ham united kutaka pesa walioihitaji kwa mchezaji wao.
Man City hawakuwa wakimuhitaji Rice, walikuwa wakisaidia kulazimisha mtu fulani atoe fedha.

Gundogan kaondoka hivyo wamesajili Kovacic na pia pale katikati wanae Kalvin Philips ambae msimu mzima wa 2022/23 amekaa bench.

Ingawa kama nilivyosema hapoi juu kwamba hii pesa si nyingi sana ina makato kadhaa.
 
Rice atasajiliwa na Arsernal kwani personal terms zilikuwa tayari zimefikiwa na pande zote mbili.

Hiyo fedha 105 si nyingi kama inavyokuzwa kwani kuna kulipa kwa awamu, tozo kwa mawakala, na makato mengine.

Arsenal wataka walipe ndani ya miaka mitano lakini West Ham wataka ndani ya miaka miwili.

Ila kuna uwezekano Arsenal wakafikia kulipa ndani ya miaka 3 na nusu na watakamilisha usajili.

Kama nilivyosema huko juu Arsenal hizo ndizo targets zao Harvezt, Timber na Rice ni must sign msimu huu.

Hivyo hadi sasa Arsenal wametumia kiasi kama

Harvezt 65 M
Timber 50M

Declan Rice kuwa 105

Tukumbuke kwa Harvezt ni 60M plus 15 ads on, Timber ni 40M plus 10M Ads On na Rice ni 100M plus 5M ads on.

Hivyo Arsenal bado waweza kusajili wachezaij wengine wakiamua kulingana na jinsi wapangavyo malipo ya awamu.

Chelsea bado wazilipa ada za wachezaji wao karibu wote na hata huyu Jackson ana mkataba wa miaka 8, hivyo ada yake italipwa miaka zaidi ya mitano.
Wanachofanya Chelsea ni kukosa hela tu hawana hela hao, wanachofanya ni ujanja ujanja tu kuoandoa wachezaji wote waliokua wanalipwa pesa nyingi kwenye uongozi wa Roman na kuamua kusajili vitoto kwa mikataba mirefu na kuvipa lako moja na nusu kushuka chini. Wajiangalie sana na sera yao ya usajili kwa sasa, wameenza mwanzo kabisa kule ambako Arteta alikua mwaka juzi.
 
Hakuna timu ya kingese kwasasa Duniani kama Man City.

1. Wanadhoofisha timu zingine ndani ya ligi ili kupunguza ushindani. Wanafuata nyayo za Bayern.

2. Kwenye dirisha la usajili wanafanya moves za uongo. Hili dili la Rice walituma bid ambayo walijua fika itakataliwa.

Faida yao ni kuona Arsenal (mpinzanzi wao mkubwa 2022/23) wakilipa £100m+ kitu kinachopunguza budget ya timu, kama Man City angetulia na bid zake za uongo West Ham huenda wangeuza kwa bei pungufu na Arsenal wangetumia pesa inayobaki kwenye sajili nyingine.

Mimi naona kabisa hii ni michezo michafu ya City ya muda mrefu. Kipindi United wanamfuatilia Maguire wao pia wakaingilia kati mpaka bid ya mwisho United wakatoa £80m. Pia washawahi kufanya hivyo kwa Fred.

Mimi naamini kabisa Man City wanatumia hii mbinu kuona budget za timu pinzani zinatumika kwenye wachezaji wachache, wao wala hawamuhitaji Rice.

Yale makosa 115 ya kuvunja sheria za FFP ni lazima watakutwa na hatia.
Daaaah!
Umetumia hasira nyingi mpaka umeharibu!
 
Walichokifanya Manchester city kwenye deal la Rice ilikuwa ni kuisaidia West Ham united kutaka pesa walioihitaji kwa mchezaji wao.
Tabu Iko palepale kwa City....huwezi kukaa juu milele kwenye mpira kamwe...msimu huu atasumbuka sana kwenye ligi maana watu wanasajili sana kutokana na udhaifu wa timu zao wanavyoziona na hela wanazo...kwhyo wao wapige Kila fitna ila tabu Iko palepale...msimu ujao Arsenal, Chelsea na Newcastle watasumbua...Liverpool na Man UTD itategemea na watakavyofanya mpk dirisha la usajili litakapofungwa ila ligi itakuwa ngumu...Kipara Pep guardiola ajiandae
 
Kwenye dirisha la usajili Man City wanacheza rafu sana. Mbinu yao ili kuendelea kushinda ni kuingilia deals za wapinzani kuhakikisha kile kidogo walichonacho kinatumika kwa mchezaji mmoja.

Hawa ni baadhi ya wachezaji Man City waliwatumia kupoteza pesa za wapinzani.
20230628_134207.jpg
 
Back
Top Bottom