999 chatta
JF-Expert Member
- Apr 17, 2020
- 874
- 1,627
Sancho Mimi bado sijaona kama kafeli, udhaifu wake labda kwenye defense. Ila kwenye phase ya kushambulia Sancho namwogopaga sana, ana flexibility kubwa sana na utulivu ila manyumbu wanasema anatetemekaUnpopular opinion
Kwanini tusiende pale Manjesta tukamsajili Jodan Sancho ambaye anaonekana kashafeli ila kiukweli Ni ubovu wa timu maana kwa balaa alilofanya Bundesliga Tena misimu miwili au mitatu alikuwa anaonekana Ni Potential inayokuja kutisha
Ukiangalia kwanza anachezeshwa out of position ,Sancho Ni Right winger au acheze 10 kwa ku alternate
Anafaa kuwa mbadala wa Saka
Kwa dau la £35-40m manjesta watamuachia ,
:
Jurriën Timber vs Josko Gvardiol (2022/23)