Rosicky
JF-Expert Member
- Sep 21, 2015
- 1,203
- 2,064
Kwani huyo jorginho ametufanyia nini cha maana pale arsenal so far??Nyie si ndio mlipinga ujio wa Jorginho, Ode ,n.k?
Na Kai hamumtaki ?
Ngoja tuone ,But Kai anakaribia Sana kujiunga Arsenal ,
Lavia pia mazungumzo yapo maana wakala wake ndiye kashughulikia Saka aongeze mkataba mpya
Unaongea as if mpira unaangaliaga peke yako
Hapa tulipo kama timu tunahitaji quality player tu ambao washa prove.
Narudia tena kukwambia kwenye usajili ukikosa first choice player wako una chance 80% ya kuangukia kwenye galasa

️
| @FabrizioRomano:
Arsenal manager Mikel Arteta has reportedly given a swift rejection to Alexis Sanchez request to rejoin the club, after being called by the former Gunners star.