Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Nyie si ndio mlipinga ujio wa Jorginho, Ode ,n.k?

Na Kai hamumtaki ?

Ngoja tuone ,But Kai anakaribia Sana kujiunga Arsenal ,

Lavia pia mazungumzo yapo maana wakala wake ndiye kashughulikia Saka aongeze mkataba mpya
Tatizo Kai na Rice wakija ni zaidi ya 170 hiyo so haitowezekana kununua RB, RCB na back up CM au rotation ya Saka.

Tuacheni masikhara 70M kwa Kai ni wizi wa hadharani mara mia hiyo tungemsajili Raphinha
 
Kwa munufaa yako jifunze kwanza kuandika, jifunze matumizi ya alama za uandishi na mpangilio mzuri wa maandishi, labda naweza kuelewa unachoandika, mwandiko mbaya kama bata yaani paka unaboa. This is serious issue.

Sio munufaa ni manufaa na si paka ni mpaka, Ukitaka kumsahihisha mtu atleast na wewe uwe unajua kidogo. Arsenal inakupa stress kiasi hichi umeanza kuishabikia juzi nini?? We are not here to discuss who has the best hand writing and we dont care!!
The only thing we care here ni Arsenal na habari zake!
 
Sio munufaa ni manufaa na si paka ni mpaka, Ukitaka kumsahihisha mtu atleast na wewe uwe unajua kidogo. Arsenal inakupa stress kiasi hichi umeanza kuishabikia juzi nini?? We are not here to discuss who has the best hand writing and we dont care!!
The only thing we care here ni Arsenal na habari zake!
Mwandiko brother, mwandiko wako unaleta kichefuchefu, mwandiko unaboa brother.
 
Sioni na siamini kama tutakwenda kuanza msimu bila ya RB,RCB na RW ila nachohisi, kuamini na kuona lazima kuna maingizo mapya ya nafasi izo watakuja, sana sana atasajiliwa mchezaji mmoja mwenye sifa ya kucheza RCB na RB na hapo RW lazima atakuja tu dirisha bado sana,muda bado upo na dirisha lipo wazi tuwe wavumilivu tu.
 
Tatizo Kai na Rice wakija ni zaidi ya 170 hiyo so haitowezekana kununua RB, RCB na back up CM au rotation ya Saka.

Tuacheni masikhara 70M kwa Kai ni wizi wa hadharani mara mia hiyo tungemsajili Raphinha

Na deal ambalo linaweza kukamilika ni hili la kai kwasababu hakuna timu inayomtaka zaidi ya arsenal.
Lavia yupo vizurii nasikia liver na chelsea wapo interested kama unavyoijua arsenal usajili wa mafungu tu ndo inaweza ! Hapa tusubiri mpaka dead line day tuone waliotajwa wangapi wamekuja
 
Hii timu yetu kwenye maswala ya usajili ni kichekesho sana, waligoma kutoa 70 kwa Raphina sahivi wanataka kuzitoa kwa Kai, walifikia hadi kutoa 80 kwa Caiceso sahivi hawana mda nae wameamia kwa Lavia.
Rive hadi leo ni kelele tuu.
 
Hii timu yetu kwenye maswala ya usajili ni kichekesho sana, waligoma kutoa 70 kwa Raphina sahivi wanataka kuzitoa kwa Kai, walifikia hadi kutoa 80 kwa Caiceso sahivi hawana mda nae wameamia kwa Lavia.
Rive hadi leo ni kelele tuu.
Wewe nae kama ndo umeanza kufatilia mpira, kwaiyo hadi ishu ya Raphinha unajifanya hujui na unalaumu kabisa.
 
Tatizo Kai na Rice wakija ni zaidi ya 170 hiyo so haitowezekana kununua RB, RCB na back up CM au rotation ya Saka.

Tuacheni masikhara 70M kwa Kai ni wizi wa hadharani mara mia hiyo tungemsajili Raphinha
I think Kuna matumizi labda had ya £250m maana KSE waliwahi kusema wata spend Sana iwapo tutarejea UCL, Kai, Rice na Lavia tutakuwa tushagonga £200m , RB na RCB naona kabisa tukisajiri mmoja ,pia kuna kusubiria Kama Gundogan itakuwaje

Kama tutampata Cancelo ,hivi Kuna umuhimu Tena wa RCB? maana White itabid acheze hapo , pia tumeona Kiwior akicheza na Magalhaes kwa pamoja .

Kwa upande wa Backline tukiongeza RB naona tutakuwa tuna depth kubwa

Saliba , Magalhaes,Kiwior , White, Zinny,Tomiyasu, New RB

Midfield : Jorginho, Rice ,Lavia ,Kai , Odegaard,Smith Rowe , Partey(Kama atabaki)
 
Hii timu yetu kwenye maswala ya usajili ni kichekesho sana, waligoma kutoa 70 kwa Raphina sahivi wanataka kuzitoa kwa Kai, walifikia hadi kutoa 80 kwa Caiceso sahivi hawana mda nae wameamia kwa Lavia.
Rive hadi leo ni kelele tuu.
Yaani unataka watoe £100m kwa Rice ,pia watoe £100m kwa Caicedo ,watoe £60m kwa Kai , £45m Lavia , hapo bado RB , hata Madrid huo uwezo Hana Kaka

Madrid kaachana na Kai ili apambane na CF Kwa £100-150m (mbappe au Kane)


Kati ya Rice na Caicedo lazima tukubali klabu imuache mmoja

Caicedo Ni £120m ,Chelsea wanapambana watoe £80m + Gallagher ,
 
Wewe nae kama ndo umeanza kufatilia mpira, kwaiyo hadi ishu ya Raphinha unajifanya hujui na unalaumu kabisa.
Umeona matatizo ya Hawa fans , ishu ya raphina mtu anakwambia tulikataa kutoa pesa ,wakati Mchezaji alisema anataka Barca tu, hata Chelsea walipofanya kiburi wakamalizana na Leeds wakaweka mezani £65m , mchezaji aliwagomea kweupe


Ishu ya Caicedo ,Arsenal alifika had £75m wakaambiwa NOT FOR SALE ,ila utasikia mtu analalamika tulishindwa kutoa hela

Brighton walijua summer atahitajika ndio maana wamesema Ni £120m
 
Tatizo Kai na Rice wakija ni zaidi ya 170 hiyo so haitowezekana kununua RB, RCB na back up CM au rotation ya Saka.

Tuacheni masikhara 70M kwa Kai ni wizi wa hadharani mara mia hiyo tungemsajili Raphinha
Umemuona Lavia ? Kwa £45m itakuwa usajiri mzuri Sana ,

Kai tulimkosaga Kipind kile ilikuwa awe successor wa Ozil , kwa mfumo ule wa Chelsea ,ngumu ku shine , Gallagher alikuwa Moto Sana , amerudi Chelsea hii kawa average player wakutupwa .

Arsenal wamegoma £70m kwa Kai, Chelsea wapo tayari kushusha Bei, nasikia Ni £60m(yenye add ons)
 
I think Kuna matumizi labda had ya £250m maana KSE waliwahi kusema wata spend Sana iwapo tutarejea UCL, Kai, Rice na Lavia tutakuwa tushagonga £200m , RB na RCB naona kabisa tukisajiri mmoja ,pia kuna kusubiria Kama Gundogan itakuwaje

Kama tutampata Cancelo ,hivi Kuna umuhimu Tena wa RCB? maana White itabid acheze hapo , pia tumeona Kiwior akicheza na Magalhaes kwa pamoja .

Kwa upande wa Backline tukiongeza RB naona tutakuwa tuna depth kubwa

Saliba , Magalhaes,Kiwior , White, Zinny,Tomiyasu, New RB

Midfield : Jorginho, Rice ,Lavia ,Kai , Odegaard,Smith Rowe , Partey(Kama atabaki)

There are moneys coming from sales of players eg TK, bolagun, holding, Pepe,Mari etc
 
Hawa wasaudia wakileta ofa nzuri kwa Partey sion Arteta akiiacha

Neves kauzwa kwa €55m , Saudi wameamua

️ | TRANSFERS: Partey has interest from Saudi Arabia

: According to reports, Thomas Partey is the latest player to receive interest from Saudi Arabia.

The Gunners are reportedly open to selling Partey this window with Fabrizio Romano claiming there is “concrete” interest.

With two years left on his current, Arsenal should be able to demand a hefty for him - £50m+. #AFC #Transfers #Ghana #Partey
 
There are moneys coming from sales of players eg TK, bolagun, holding, Pepe,Mari etc
Yah maana bila kuuza naona tayari dili za Kai na Rice zipo advanced na zote zinaweza kufikia £150-170m

Hapo hapo wamefungua mazungumzo na Lavia ambaye wakala wake ndiye ka play part kubwa Saka aongeze mkataba mpya
 
| @FabrizioRomano:


“Kai Havertz has been very clear and this morning in new contacts, he wants to join Arsenal. He has an agreement with Arsenal on personal terms, so everything is ready on player side.

“Arsenal have to be fast. They want to be fast. They want to complete the deal with Chelsea right after the international break to prepare the medical test and sign the contracts.

“So Arsenal will submit a new proposal for Havertz in the next days after the opening bid rejected. But the conversation is going very well. The player wants to go to Arsenal at the moment, the situation with Bayern is very quiet because the expectation is for Havertz join Arsenal. So let's see how the conversation with Arsenal and Chelsea will go.” [via YouTube] #afc
 
Arteta angemrudisha jamaa akae hata benchi pale , Elnino Malavila ,Moja ya sajili Bora kabisa ya mzee Wenger


Arsenal have rejected Alexis Sanchez’s request to re-sign him this summer.

Arsenal manager Mikel Arteta has reportedly given a swift rejection to Alexis Sanchez request to rejoin the club, after being called by the former Gunners star.

The Spaniard reportedly informed his former team-mate that he did not fit into the club’s plans, with younger players preferred as Arsenal seek to challenge for the title.

(@MailSport)
IMG_20230618_200345.jpg
 
Daah uyu Partey mbona ananiuma sana kama akiondoka aisee
Fans wengi leo wamelipukwa na hii habari ,binafsi sijashtushwa maana nilishaziona dalili ,alipochoma mech na Westham ,mechi na Soton alivyosumbuliwa na Lavia Kama sikosei akaanza kula bench akawa anacheza Jorginho na timu ikawa ina control game vzr tu nikajua Safari yake ipo njiani , hapo nikaamini Arteta anaamin tayari kwenye system yake .


Nadhan umri wake 30yrs, amebakiza miaka miwili kwa mkataba wake, wamesema ikija ofa nzuri wanamuuza ,na wakipata mbadala wake, tayari timu za Saudi Arabia zishaanza kumnyemelea ,
 
Back
Top Bottom