Naapia sina tabia za kike kukimbia comments kama weweNikikuona unaandika upuuzi sikujibu, na mtu anayeandika kutafuta cheap popularity kama wewe nitakujibu kukuchefua tu.
Naapia sina tabia za kike kukimbia comments kama weweNikikuona unaandika upuuzi sikujibu, na mtu anayeandika kutafuta cheap popularity kama wewe nitakujibu kukuchefua tu.
Tatizo Kai na Rice wakija ni zaidi ya 170 hiyo so haitowezekana kununua RB, RCB na back up CM au rotation ya Saka.Nyie si ndio mlipinga ujio wa Jorginho, Ode ,n.k?
Na Kai hamumtaki ?
Ngoja tuone ,But Kai anakaribia Sana kujiunga Arsenal ,
Lavia pia mazungumzo yapo maana wakala wake ndiye kashughulikia Saka aongeze mkataba mpya
Kwa munufaa yako jifunze kwanza kuandika, jifunze matumizi ya alama za uandishi na mpangilio mzuri wa maandishi, labda naweza kuelewa unachoandika, mwandiko mbaya kama bata yaani paka unaboa. This is serious issue.
umeanza kuishabikia juzi nini?? We are not here to discuss who has the best hand writing and we dont care!!Mwandiko brother, mwandiko wako unaleta kichefuchefu, mwandiko unaboa brother.Sio munufaa ni manufaa na si paka ni mpaka, Ukitaka kumsahihisha mtu atleast na wewe uwe unajua kidogo. Arsenal inakupa stress kiasi hichiumeanza kuishabikia juzi nini?? We are not here to discuss who has the best hand writing and we dont care!!
The only thing we care here ni Arsenal na habari zake!
Tatizo Kai na Rice wakija ni zaidi ya 170 hiyo so haitowezekana kununua RB, RCB na back up CM au rotation ya Saka.
Tuacheni masikhara 70M kwa Kai ni wizi wa hadharani mara mia hiyo tungemsajili Raphinha
Wewe nae kama ndo umeanza kufatilia mpira, kwaiyo hadi ishu ya Raphinha unajifanya hujui na unalaumu kabisa.Hii timu yetu kwenye maswala ya usajili ni kichekesho sana, waligoma kutoa 70 kwa Raphina sahivi wanataka kuzitoa kwa Kai, walifikia hadi kutoa 80 kwa Caiceso sahivi hawana mda nae wameamia kwa Lavia.
Rive hadi leo ni kelele tuu.
I think Kuna matumizi labda had ya £250m maana KSE waliwahi kusema wata spend Sana iwapo tutarejea UCL, Kai, Rice na Lavia tutakuwa tushagonga £200m , RB na RCB naona kabisa tukisajiri mmoja ,pia kuna kusubiria Kama Gundogan itakuwajeTatizo Kai na Rice wakija ni zaidi ya 170 hiyo so haitowezekana kununua RB, RCB na back up CM au rotation ya Saka.
Tuacheni masikhara 70M kwa Kai ni wizi wa hadharani mara mia hiyo tungemsajili Raphinha
Yaani unataka watoe £100m kwa Rice ,pia watoe £100m kwa Caicedo ,watoe £60m kwa Kai , £45m Lavia , hapo bado RB , hata Madrid huo uwezo Hana KakaHii timu yetu kwenye maswala ya usajili ni kichekesho sana, waligoma kutoa 70 kwa Raphina sahivi wanataka kuzitoa kwa Kai, walifikia hadi kutoa 80 kwa Caiceso sahivi hawana mda nae wameamia kwa Lavia.
Rive hadi leo ni kelele tuu.
Umeona matatizo ya Hawa fans , ishu ya raphina mtu anakwambia tulikataa kutoa pesa ,wakati Mchezaji alisema anataka Barca tu, hata Chelsea walipofanya kiburi wakamalizana na Leeds wakaweka mezani £65m , mchezaji aliwagomea kweupeWewe nae kama ndo umeanza kufatilia mpira, kwaiyo hadi ishu ya Raphinha unajifanya hujui na unalaumu kabisa.
Umemuona Lavia ? Kwa £45m itakuwa usajiri mzuri Sana ,Tatizo Kai na Rice wakija ni zaidi ya 170 hiyo so haitowezekana kununua RB, RCB na back up CM au rotation ya Saka.
Tuacheni masikhara 70M kwa Kai ni wizi wa hadharani mara mia hiyo tungemsajili Raphinha
I think Kuna matumizi labda had ya £250m maana KSE waliwahi kusema wata spend Sana iwapo tutarejea UCL, Kai, Rice na Lavia tutakuwa tushagonga £200m , RB na RCB naona kabisa tukisajiri mmoja ,pia kuna kusubiria Kama Gundogan itakuwaje
Kama tutampata Cancelo ,hivi Kuna umuhimu Tena wa RCB? maana White itabid acheze hapo , pia tumeona Kiwior akicheza na Magalhaes kwa pamoja .
Kwa upande wa Backline tukiongeza RB naona tutakuwa tuna depth kubwa
Saliba , Magalhaes,Kiwior , White, Zinny,Tomiyasu, New RB
Midfield : Jorginho, Rice ,Lavia ,Kai , Odegaard,Smith Rowe , Partey(Kama atabaki)

️ | TRANSFERS: Partey has interest from Saudi Arabia
: According to reports, Thomas Partey is the latest player to receive interest from Saudi Arabia.
#AFC #Transfers #Ghana #ParteyYah maana bila kuuza naona tayari dili za Kai na Rice zipo advanced na zote zinaweza kufikia £150-170mThere are moneys coming from sales of players eg TK, bolagun, holding, Pepe,Mari etc

| @FabrizioRomano:
Arsenal have rejected Alexis Sanchez’s request to re-sign him this summer.
Arsenal manager Mikel Arteta has reportedly given a swift rejection to Alexis Sanchez request to rejoin the club, after being called by the former Gunners star.
The Spaniard reportedly informed his former team-mate that he did not fit into the club’s plans, with younger players preferred as Arsenal seek to challenge for the title.Fans wengi leo wamelipukwa na hii habari ,binafsi sijashtushwa maana nilishaziona dalili ,alipochoma mech na Westham ,mechi na Soton alivyosumbuliwa na Lavia Kama sikosei akaanza kula bench akawa anacheza Jorginho na timu ikawa ina control game vzr tu nikajua Safari yake ipo njiani , hapo nikaamini Arteta anaamin tayari kwenye system yake .Daah uyu Partey mbona ananiuma sana kama akiondoka aisee