Talent identification bila clear strategy itakua kama Wenger tu. Huyo huyo Arteta alimsajili Tavares na Vieira na Lokonga and so far wamekua disastrous so tusi exaggerate uwezo wake.
Kingine Havertz anaweza akawa mzuri ila je ana address tatizo la msingi pale Arsenal? Shida yetu kubwa na nimeongelea tokea Bado tunaongoza ligi last December kwua depth kwenye defence itatuua.
Mlibisha sana ila wote tumeona yaliyotokea alipoumia Saliba so sio Kila muda Arteta anajua Kila kitu he's a human anaweza prioritize attacking akasahau defence.
Hapo ni muhimu tusajili RB na RCB au mchezaji hybrid wa hizo nafasi mbili then twahitaji CM wawili yaani rice na sub yake then we still need sub ya Saka hapo walau tunaku better ila spending 70m kwa luxury player wakati hatuna defence depth ndio Yale Yale yanajirudia.
Tutarudi Tena hapa mwakani kulaumiana jinsi tumekosa ubingwa baada ya Saka kuumia au White kuumia!!
Same old Arsenal
Talent ID unaipima kwa sajili zote zifanikiwe? Hakuna kocha wa hivo duniani ,Pep amefeli Mara kadhaa , Arteta kwenye sajili zake 10 unakuta 70% zinafanya vzr , hata kwenye kuendeleza vipaji, ndio maana mchezaji Kama Rice ,Kai wamevutiwa na project yake,
Kuumia kwa Saliba , Ni kweli kuliyumbisha kule nyuma ,but kumbuka ndio Kipind ambacho na Tomiyasu aliumia pia ,na Jakub kiwior alikuwa haja settle kwenye mfumo , Kama Saliba angeumia ,na Tomiyasu angekuwa ok ,bas White Ange shift RCB na Tomiyasu angecheza RB , na tunge cover tatizo ,
Maana Holding alikuwa kwenye mipango ya kuachwa msimu huu, hakuna aliyetegemea tuwapoteze Saliba ,Tomiyasu kwa wakati mmoja ,
, Jakub kiwior alipokuja kucheza alicheza vzr tu ,maana uwepo wa holding ulizuia ARSENAL kufanya build up kwa USAHIHI, Hadi Saliba hajaumia ,Arsenal ndio timu iliyokuwa inafanya buildup zinazofanikiwa kwa USAHIHI
Msimu uliopita hatukuwa na tatizo kubwa la Depth ukifananisha na msimu wa juzi, hivo Kuna progress ipo kwenye kuongeza Depth na Quality
Kama Tunamleta Rice ,lavia ,Kai ,RB ,RW Basi tutakuwa tumeongeza depth kwa asilimia kubwa
Kumbuka Tomiyasu, Saliba wanarudi pre season pia Kuna Kiwior ambaye kiwango chake Ni kizuri
Cha muhimu tunahitaji wachezaji wa 5 ambao ni versatile
Nimesikia Arteta anataka kumtumia Kai pia Kama false 9 Kama alivyotumika Leverkusen