Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

arsenal ina mashabiki wendawazimu kwelii, unaongelea mataji 13 ambayo toka mwaka 1990 mpaka 2023 ni 3 tu mmeshinda haya mengine ni enzi za ujima . 1990-2023 ni takribani miaka 33 una mataji 3 , man city toka 2010 -2023 ni takribani miaka 13 na ana ligi 7 . Katika miaka 33 iliyopita arsenal ana ligi 3 na man city ana ligi 7 then unafanya comparison ya man city na arsenal kwelii . Mashabiki wa arsenal wengi ni wendawazimu kwelii
Tena vichaa kweli kweli
 
Na ndiyo maana wanapambana wabebe UCL ili waingie kwenye orodha ya timu kubwa, huwezi kuwa mkubwa halafu huna kombe la wakubwa, hapo ulipo ukibishana na shabiki wa Nottingham Forest au Aston villa lazima akushinde mana makombe yote uliyonayo yeye kabeba ila yeye akikuonesha UCL tu huna la kumjibu.
Nimependa hii...akirudi tena uni-tag mkuu.
 
Man City Ina washabiki wangapi? Fan base ya timu ndio mtaji. Man City ni timu mbovu iliyobebwa na waarabu so Haina washabiki hata laki 1 Dunia nzima however arsenal Ina washabiki mamillioni hata kabla ya vita kuu za dunia.

By the way niambie kitu kimoja tu ambacho Man City Wanatuzidi so far?! Licha ya wao kutumia mabilioni but hawafikii mafanikio ya Arsenal mpaka Leo hii.
Mbona povu linakutoka sana. Nani kasema Man City ni timu kubwa? Umeambiwa ndio wanapambana wachukue ECL ili waingie kwenye timu kubwa.
 
Mbona povu linakutoka sana. Nani kasema Man City ni timu kubwa? Umeambiwa ndio wanapambana wachukue ECL ili waingie kwenye timu kubwa.
Sasa kama Manchester City ni timu ndogo kelele za Nini humu. Mimi nilidhani wametuzidi kumbe tumewazidi!!
 
Nimependa hii...akirudi tena uni-tag mkuu.
Kwamba Nottingham Forest ni kubwa kuliko Arsenal kisa European Cup? Haaahaaa nyie jamaa ni zaidi ya vichaa.

Ukubwa wa timu ni Fan Base vis a Vis Mapato ya merchandise sio UCL Moja ndio libadili yote hayo.

Wewe unaijua Steau Bucuresti? kwamba kisa ina UCL basi ni kubwa kuliko Arsenal?

Plastic cunts!!
 
Umeambiwa lazima dishi liwe limeyumba kushabikia hii timu.
Dishi limeyumba zaidi kama ukishabikia Man City timu isiyo na historia Bali mradi tu wa waarabu wasiotaka haki za binadamu kujisafisha kwenye jumuiya ya kimataifa.

I can't wait kwa hukumu Yao maana Moja ya proposal ni kuishusha daraja.
 
Nyie wazee mliodhan mnabeba ligi mpo?

Kabisa mlivo vichwa maji mkajua mtachukua ligi mbele ya man city?.. Kwl sometimes ugonjwa wa akil Una dalili nyng sana .

Hongeren lkn mmefuzu UCL baada ya miaka ming.
 
Dishi limeyumba zaidi kama ukishabikia Man City timu isiyo na historia Bali mradi tu wa waarabu wasiotaka haki za binadamu kujisafisha kwenye jumuiya ya kimataifa.

I can't wait kwa hukumu Yao maana Moja ya proposal ni kuishusha daraja.

Wewe ni kichaa na hatuoni ajabu maana vichaa wengi ni arsenal. Historia ya nini sasa wewe unaongelea mafanikio ya vita ya kwanza ya dunia huko , tunaongelea vitu ambavyo umeviona wewe na si historia ya mwaka 35 huko. Tumekupendelea tukakuambia basi tuhesabu toka uhuru arsenal ana ligi ngap na man city ana ligi ngap? Timu zote ni miradi ya watu hata arsenal ni mradi wa kroenke hoja ya waarabu unaileta vipi wakati hata arsenal ni timu ya guy
 
Wewe ni kichaa na hatuoni ajabu maana vichaa wengi ni arsenal. Historia ya nini sasa wewe unaongelea mafanikio ya vita ya kwanza ya dunia huko , tunaongelea vitu ambavyo umeviona wewe na si historia ya mwaka 35 huko. Tumekupendelea tukakuambia basi tuhesabu toka uhuru arsenal ana ligi ngap na man city ana ligi ngap? Timu zote ni miradi ya watu hata arsenal ni mradi wa kroenke hoja ya waarabu unaileta vipi wakati hata arsenal ni timu ya guy
Msamehe mkuu.. Uwezo wake wa akil ndo umeishia hapo jarb kumuelewa anayopitia... Ww hujui ni anamsomgo kiasi gn wa mawazo... Depression aliyonayo ni kubwa baada ya kudanganyana na wajinga wenzie kama kina hamis77 kua wao ni mabingwa msimu huu... Msamehe tu jrb kumuelewa.

Ss ww ukitk ujue sio mzima.. Anakwambia team haina historia ... Ss historia si ndo hii inatengenezwa au anadhan historia maana yake ni nn?.. Yan kuna watu ukiona maandiko yao tu unajua huyu sio mzima na utajisumbua na kupoteza mda bure hata kumQuote kumpa iyo attention.
 
Humu kuna vitoto mkuu. Sasa nimeshangaa kajitu 2015 kapo form 5 sijui form 3. Mwaka 2010 ndio kaanza kuangalia mpira.

Na ndio vinaongoza kwa matusi kwenye majukwaa humu ndani.
Vijana washamba kabisa hawa tena hawana heshima
 
Depression aliyonayo ni kubwa baada ya kudanganyana na wajinga wenzie kama kina @hamis77 kua wao ni mabingwa msimu huu
Hakuna mahali nimewahi sema tungebeba ubingwa msimu huu, in fact Mimi ndio mtu pekee humu niliyesema hatuna depth ya kubeba ligi msimu huu.

So usinichanganye na hao mashabiki uchwara
 
Wewe ni kichaa na hatuoni ajabu maana vichaa wengi ni arsenal. Historia ya nini sasa wewe unaongelea mafanikio ya vita ya kwanza ya dunia huko , tunaongelea vitu ambavyo umeviona wewe na si historia ya mwaka 35 huko. Tumekupendelea tukakuambia basi tuhesabu toka uhuru arsenal ana ligi ngap na man city ana ligi ngap? Timu zote ni miradi ya watu hata arsenal ni mradi wa kroenke hoja ya waarabu unaileta vipi wakati hata arsenal ni timu ya guy
Wewe ni plastic fan, mwakani utakua shabiki wa Newcastle. No soul no history no values mnaenda na upepo tu.

Arsenal ni brand kubwa yenye consistency ndio maana makombe yapo spread out ndani ya miaka 100+. Huwezi ukajiita timu kubwa alafu una mafanikio ndani ya miaka 5 alafu ukapotea mazima!!

So have respect for Arsenal, who have more than a combined 25 major trophies, hao Man City Wana Nini Cha kutuzidi?

Plastic cunts
 
Back
Top Bottom