Flano
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 5,842
- 16,292
Asno ni ileile tu juzi jana na leo.Hivi Aseno imekuwaje kwani
Mbona sielewi![]()
Hii timu ni kama zimwi tu, takwimu zinaonyesha ndio inayoongoza duniani Kwa kuua mashabiki wake.
Asno ni ileile tu juzi jana na leo.Hivi Aseno imekuwaje kwani
Mbona sielewi![]()
Tena vichaa kweli kweliarsenal ina mashabiki wendawazimu kwelii, unaongelea mataji 13 ambayo toka mwaka 1990 mpaka 2023 ni 3 tu mmeshinda haya mengine ni enzi za ujima
. 1990-2023 ni takribani miaka 33 una mataji 3 , man city toka 2010 -2023 ni takribani miaka 13 na ana ligi 7 . Katika miaka 33 iliyopita arsenal ana ligi 3 na man city ana ligi 7 then unafanya comparison ya man city na arsenal kwelii . Mashabiki wa arsenal wengi ni wendawazimu kwelii







Ukiwa shabiki wa Ass'anal lazima dishi liwe limeyumba.Nikurahisishie kidogo maana arsenal fans ni vituko na wendawazimu yaaani ni kwamba baada ya uhuru wa Tanganyika mpaka sasa Arsenal ana ligi 6 na man city ana ligi 7. Wewe umeanza kushabikia mpira before uhuruama? Ipi timu kubwa hapo
Mtuache basi tuongelee habari zetu za usajili mbona nyuzi za timu zingine hamzivamii kiasi hiki.
Ligi zishaisha nini sasa mnataka.?

au squilacci

.Hivi Aseno bado kukabidhiwa kombe lao la epielo?Asno ni ileile tu juzi jana na leo.
Hii timu ni kama zimwi tu, takwimu zinaonyesha ndio inayoongoza duniani Kwa kuua mashabiki wake.
Sema Aseno mmejua kuchekesha 😂Mtuache basi tuongelee habari zetu za usajili mbona nyuzi za timu zingine hamzivamii kiasi hiki.
Ligi zishaisha nini sasa mnataka.?
Umeambiwa lazima dishi liwe limeyumba kushabikia hii timu.Tukana unavyoweza but Arsenal ndio una record FA cups na ndio pekee EPL kumaliza unbeaten.
Man City mnaisifia sana ila Ina UCL? Kwahiyo ni timu ndogo?
Acheni utoto ukubwa wa timu ni zaidi ya UCL.
Nimependa hii...akirudi tena uni-tag mkuu.Na ndiyo maana wanapambana wabebe UCL ili waingie kwenye orodha ya timu kubwa, huwezi kuwa mkubwa halafu huna kombe la wakubwa, hapo ulipo ukibishana na shabiki wa Nottingham Forest au Aston villa lazima akushinde mana makombe yote uliyonayo yeye kabeba ila yeye akikuonesha UCL tu huna la kumjibu.
Mbona povu linakutoka sana. Nani kasema Man City ni timu kubwa? Umeambiwa ndio wanapambana wachukue ECL ili waingie kwenye timu kubwa.Man City Ina washabiki wangapi? Fan base ya timu ndio mtaji. Man City ni timu mbovu iliyobebwa na waarabu so Haina washabiki hata laki 1 Dunia nzima however arsenal Ina washabiki mamillioni hata kabla ya vita kuu za dunia.
By the way niambie kitu kimoja tu ambacho Man City Wanatuzidi so far?! Licha ya wao kutumia mabilioni but hawafikii mafanikio ya Arsenal mpaka Leo hii.
Sasa kama Manchester City ni timu ndogo kelele za Nini humu. Mimi nilidhani wametuzidi kumbe tumewazidi!!Mbona povu linakutoka sana. Nani kasema Man City ni timu kubwa? Umeambiwa ndio wanapambana wachukue ECL ili waingie kwenye timu kubwa.
Kwamba Nottingham Forest ni kubwa kuliko Arsenal kisa European Cup? Haaahaaa nyie jamaa ni zaidi ya vichaa.Nimependa hii...akirudi tena uni-tag mkuu.
Dishi limeyumba zaidi kama ukishabikia Man City timu isiyo na historia Bali mradi tu wa waarabu wasiotaka haki za binadamu kujisafisha kwenye jumuiya ya kimataifa.Umeambiwa lazima dishi liwe limeyumba kushabikia hii timu.
.Dishi limeyumba zaidi kama ukishabikia Man City timu isiyo na historia Bali mradi tu wa waarabu wasiotaka haki za binadamu kujisafisha kwenye jumuiya ya kimataifa.
I can't wait kwa hukumu Yao maana Moja ya proposal ni kuishusha daraja.
guyMsamehe mkuu.. Uwezo wake wa akil ndo umeishia hapo jarb kumuelewa anayopitia... Ww hujui ni anamsomgo kiasi gn wa mawazo... Depression aliyonayo ni kubwa baada ya kudanganyana na wajinga wenzie kama kina hamis77 kua wao ni mabingwa msimu huu... Msamehe tu jrb kumuelewa.Wewe ni kichaa na hatuoni ajabu maana vichaa wengi ni arsenal. Historia ya nini sasa wewe unaongelea mafanikio ya vita ya kwanza ya dunia huko , tunaongelea vitu ambavyo umeviona wewe na si historia ya mwaka 35 huko. Tumekupendelea tukakuambia basi tuhesabu toka uhuru arsenal ana ligi ngap na man city ana ligi ngap? Timu zote ni miradi ya watu hata arsenal ni mradi wa kroenke hoja ya waarabu unaileta vipi wakati hata arsenal ni timu yaguy
... Ss historia si ndo hii inatengenezwa au anadhan historia maana yake ni nn?.. Yan kuna watu ukiona maandiko yao tu unajua huyu sio mzima na utajisumbua na kupoteza mda bure hata kumQuote kumpa iyo attention.Vijana washamba kabisa hawa tena hawana heshimaHumu kuna vitoto mkuu. Sasa nimeshangaa kajitu 2015 kapo form 5 sijui form 3. Mwaka 2010 ndio kaanza kuangalia mpira.
Na ndio vinaongoza kwa matusi kwenye majukwaa humu ndani.
Hakuna mahali nimewahi sema tungebeba ubingwa msimu huu, in fact Mimi ndio mtu pekee humu niliyesema hatuna depth ya kubeba ligi msimu huu.Depression aliyonayo ni kubwa baada ya kudanganyana na wajinga wenzie kama kina @hamis77 kua wao ni mabingwa msimu huu
Wewe ni plastic fan, mwakani utakua shabiki wa Newcastle. No soul no history no values mnaenda na upepo tu.Wewe ni kichaa na hatuoni ajabu maana vichaa wengi ni arsenal. Historia ya nini sasa wewe unaongelea mafanikio ya vita ya kwanza ya dunia huko , tunaongelea vitu ambavyo umeviona wewe na si historia ya mwaka 35 huko. Tumekupendelea tukakuambia basi tuhesabu toka uhuru arsenal ana ligi ngap na man city ana ligi ngap? Timu zote ni miradi ya watu hata arsenal ni mradi wa kroenke hoja ya waarabu unaileta vipi wakati hata arsenal ni timu yaguy