Labyrinth 84
JF-Expert Member
- Feb 13, 2017
- 1,093
- 3,151
Wewe ni plastic fan, mwakani utakua shabiki wa Newcastle. No soul no history no values mnaenda na upepo tu.
Arsenal ni brand kubwa yenye consistency ndio maana makombe yapo spread out ndani ya miaka 100+. Huwezi ukajiita timu kubwa alafu una mafanikio ndani ya miaka 5 alafu ukapotea mazima!!
So have respect for Arsenal, who have more than a combined 25 major trophies, hao Man City Wana Nini Cha kutuzidi?
Plastic cunts
Consistency ipi unayoongelea wewe? Watu hawapendi timu eti kisa ni ya zamani hata hao man city pia ni wa zamani. Zamani hawakua katika position nzuri kutokana na uchumi waliokua nao, uchumi wa arsenal ulikua mkubwa kuliko wao now wao wana uchumi mkubwa unalalamika hela za warabu
, uliipendea arsenal nini mkuu? Huwezi mlazimisha mtu aliyezaliwa 2000 awe arsenal wakati toka amezaliwa hajaona mafanikio yoyote ya washika makopo ( Arsenal) . Just fikiri toka umeanza kushabikia arsenal na huyo dogo wa 2000 nan kaona timu yake ikibeba makombe mengi
