Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Wewe ni plastic fan, mwakani utakua shabiki wa Newcastle. No soul no history no values mnaenda na upepo tu.

Arsenal ni brand kubwa yenye consistency ndio maana makombe yapo spread out ndani ya miaka 100+. Huwezi ukajiita timu kubwa alafu una mafanikio ndani ya miaka 5 alafu ukapotea mazima!!

So have respect for Arsenal, who have more than a combined 25 major trophies, hao Man City Wana Nini Cha kutuzidi?

Plastic cunts

Consistency ipi unayoongelea wewe? Watu hawapendi timu eti kisa ni ya zamani hata hao man city pia ni wa zamani. Zamani hawakua katika position nzuri kutokana na uchumi waliokua nao, uchumi wa arsenal ulikua mkubwa kuliko wao now wao wana uchumi mkubwa unalalamika hela za warabu, uliipendea arsenal nini mkuu? Huwezi mlazimisha mtu aliyezaliwa 2000 awe arsenal wakati toka amezaliwa hajaona mafanikio yoyote ya washika makopo ( Arsenal) . Just fikiri toka umeanza kushabikia arsenal na huyo dogo wa 2000 nan kaona timu yake ikibeba makombe mengi
 
Wewe ni plastic fan, mwakani utakua shabiki wa Newcastle. No soul no history no values mnaenda na upepo tu.

Arsenal ni brand kubwa yenye consistency ndio maana makombe yapo spread out ndani ya miaka 100+. Huwezi ukajiita timu kubwa alafu una mafanikio ndani ya miaka 5 alafu ukapotea mazima!!

So have respect for Arsenal, who have more than a combined 25 major trophies, hao Man City Wana Nini Cha kutuzidi?

Plastic cunts

utakufa na stress mwaka huu ,team unayoichukia huwezi ,uwanjan ,kiuchawi ,kipesa ,...

Tafuta pesa huko mtaani maisha yanakuchapa mbwa wewe ,


Mambo ya fan base ,fake fans ,sijui man city fan ni watoto sisi hayatuhusu ....

Team umeshindwa kuifunga uwanjan sasa upo unahangaika na fan base

Hayo mambo pelekea huko arsenal ,sisi team yetu inatembeza kichapo huko barani ulaya ,na June 10 utaweka makalio yako kwenye kiti kuona tunavochukua UEFA ....

Kuichukia man city huipunguzii chochote chokolaa wewe uko sumbawanga ndani ndani hata mkuu wa mkoa wako hakujui Leo upo unakenua meno et unaichukia team kubwa dunia kama man city

Kalio wewe
 
Arsenal tunahitaji mabadiliko makubwa sana ya kikosi maana depth ndio imetuua lakini kwa upande wa pili tumejitahidi sana kuliko matarajio wakati msimu unaanza.

1. On a positive note tumequalify UCL kitu ambacho hatukufanikiwa kwa miaka mingi Sasa.

2. Kingine tuna momentum kubwa hivyo tutaingia msimu ujao na motisha zaidi Ili tuweze kufanya makubwa.

3. Tuna kikosi Cha vijana kwahiyo inatupa matumaini kwamba mafanikio yatakuja tu maana wachezaji wetu Bado Wana umri na career kubwa huko mbele.

4. Tuna manegement yenye kiu ya mafanikio na ipo tayari kuwekeza dirisha hili kuongeza ubora wa kikosi.

5. Tuna kocha anayejitambua kwahiyo with time atakua better na sio kuporomoka. Alianza vibaya sana msimu uliopita lakini unaweza ona alivyotubadilisha Hadi kuwania kombe na Man City!!

So washabiki wa Arsenal tuwe optimistic na msimu ujao.
Nakubliana na wewe ila tunatofautiana unaposema tunahitaji mabadiliko makubwa ya kikosi, nadhani tunahitaji ongezeko la wachezaji watatu au wanne (top players) ili kushindana na Manchester city.
 
Nakubliana na wewe ila tunatofautiana unaposema tunahitaji mabadiliko makubwa ya kikosi, nadhani tunahitaji ongezeko la wachezaji watatu au wanne (top players) ili kushindana na Manchester city.
Kitu arsenyani mnaweza win msimu huu ni hiki tu
IMG-20230521-WA0024.jpg
 
utakufa na stress mwaka huu ,team unayoichukia huwezi ,uwanjan ,kiuchawi ,kipesa ,...

Tafuta pesa huko mtaani maisha yanakuchapa mbwa wewe ,


Mambo ya fan base ,fake fans ,sijui man city fan ni watoto sisi hayatuhusu ....

Team umeshindwa kuifunga uwanjan sasa upo unahangaika na fan base

Hayo mambo pelekea huko arsenal ,sisi team yetu inatembeza kichapo huko barani ulaya ,na June 10 utaweka makalio yako kwenye kiti kuona tunavochukua UEFA ....

Kuichukia man city huipunguzii chochote chokolaa wewe uko sumbawanga ndani ndani hata mkuu wa mkoa wako hakujui Leo upo unakenua meno et unaichukia team kubwa dunia kama man city

Kalio wewe
Nimekuuliza swali Moja tu kipi ambacho Man City anamzidi Arsenal? Umeshindwa kujibu umeanza kelele tu.

Nyie plastics tumewazoea mlikua PSG Sasa mmehamia Man City kesho mtaenda Newcastle. But Man City will never have the Status Arsenal has, success is never bought but can only be earned..
 
Arsenal is a big big club bhana na dunia inatambua hili,

Wewe nani aliekuambia ukichukua uefa, Ueropa, supercup, na world club cup
Ndio una kuwa mkubwa.!?

Shenzi nyie sijui team zenu zilikua wap kugombania ubingwa?

Sasa shabiki wa mancity leo unateseka na Arsenal serious!???

Huku nikukosa akili,,
muulize babako kuhusu arsenal nae atakujibu

Mnatesekaaaa saaanaa eenheeeeee.
 
Hiki kitu ndo kilituangusha msimu ulioisha, unatoa wachezaji 8 unaingiza wachezaji 5 maana yake nini sijui. View attachment 2633587
Squad depth ni muhimu sana ila hao nane kwa haraka haraka watano hawakucheza msimu huu.
1. Tavares
2. Balogun
3. Pepe
4. Maitland-Niles
5. Pablo Mari
6. Xhaka
7. Tierney
8. Holding

So hapo basically ni Tierney, Xhaka na Holding ndio wanaondoka. So wakija watano means wataongezeka wawili zaidi kwenye kikosi kilichokuepo msimu huu unaoisha.

Hao watano can be RCB (RB), LB, DM, CM, RW ambao kwa maoni yangu watatosha kiasi chake.
 
Consistency ipi unayoongelea wewe? Watu hawapendi timu eti kisa ni ya zamani hata hao man city pia ni wa zamani. Zamani hawakua katika position nzuri kutokana na uchumi waliokua nao, uchumi wa arsenal ulikua mkubwa kuliko wao now wao wana uchumi mkubwa unalalamika hela za warabu, uliipendea arsenal nini mkuu? Huwezi mlazimisha mtu aliyezaliwa 2000 awe arsenal wakati toka amezaliwa hajaona mafanikio yoyote ya washika makopo ( Arsenal) . Just fikiri toka umeanza kushabikia arsenal na huyo dogo wa 2000 nan kaona timu yake ikibeba makombe mengi
Waliozaliwa 2000s ndio wengi zaidi Tanzania na Duniani kwa Sasa ila Cha ajabu man City Haifikii Arsenal kwa fan base hata kwa nusu. People like clubs with history and identity sio artificial success and sportswashing.
 
Nimekuuliza swali Moja tu kipi ambacho Man City anamzidi Arsenal? Umeshindwa kujibu umeanza kelele tu.

Nyie plastics tumewazoea mlikua PSG Sasa mmehamia Man City kesho mtaenda Newcastle. But Man City will never have the Status Arsenal has, success is never bought but can only be earned..
Epl man city 7

Arsenal 3
 
Waliozaliwa 2000s ndio wengi zaidi Tanzania na Duniani kwa Sasa ila Cha ajabu man City Haifikii Arsenal kwa fan base hata kwa nusu. People like clubs with history and identity sio artificial success and sportswashing.
Arsenal man historia gani ?

Aisee

Club zenye historia zinajukikana mzee ,barani ulaya zimetikisa huko ,team kama Liverpool,man UTD ,Madrid hizo ndio team zenye historia...


Arsenal mna historia gan ?
 
Arsenal is a big big club bhana na dunia inatambua hili,

Wewe nani aliekuambia ukichukua uefa, Ueropa, supercup, na world club cup
Ndio una kuwa mkubwa.!?

Shenzi nyie sijui team zenu zilikua wap kugombania ubingwa?

Sasa shabiki wa mancity leo unateseka na Arsenal serious!???

Huku nikukosa akili,,
muulize babako kuhusu arsenal nae atakujibu

Mnatesekaaaa saaanaa eenheeeeee.
Ukubwa wa arsenal uko wapi ?

Mnasema mnahistoria ,arsenal ina historia gani barani ulaya ?

Ni kitu gan mlishafanya ulaya dunia nzima ikasema yes ?

Arsenal ni timu ndogo mnoo ,Toka inaanza imecheza final Moja ya CL ,Haina historia yeyote ulaya ,...

Mara ya mwisho mmegongwa 10 -2 na buyern munich kwenye hio CL mnayokimbilia saizi ,...

Na bado Hao madogo mlionao mwaka kesho mnaenda kunyooshwa magoli ya kutosha huko CL ,..

Labda histori ya mashoga ,maana huko training ground kina lacazete wameacha historia ya kutiana ,kupiga pumbu wanaume wenzao kina viela,....malinda hawana kabisa wale madogo , lacazete sio mtu mzuri
 
Waliozaliwa 2000s ndio wengi zaidi Tanzania na Duniani kwa Sasa ila Cha ajabu man City Haifikii Arsenal kwa fan base hata kwa nusu. People like clubs with history and identity sio artificial success and sportswashing.

Hizi takwimu unazipata wapi?? Kumbuka kwa miaka kibao kenya arsenal fans wamejinyonga . Insta arsenal ina followers 26 M na man city 43 hukoo . Usisahau umri wa ushabiki kindakindaki ni miaka 8 - 27 hapa wengi ndo wameeanza kushabikia mpira wengi na wanakua moto zaidii , kipindi hichi as fan nilikua nawajua mpaka wachezaji wa portsmouth na blackburn!! .. huu ndo muda sahihi wa kuwa shabiki haswa kutokana na kutokuwa na mambo mengi! Jiulize madogo wa 2000 wapo wangapi na kati ya hao ni asilimia ndogo sana utakuta wanashabikia arsenal!! Man city ina ma fans wengi wa umri huo kuliko arsenal
 
Waliozaliwa 2000s ndio wengi zaidi Tanzania na Duniani kwa Sasa ila Cha ajabu man City Haifikii Arsenal kwa fan base hata kwa nusu. People like clubs with history and identity sio artificial success and sportswashing.
Yaah! sure timu inachukua makombe lakini haiwezi kujaza uwanja, timu haina supporters. can't sell out, low attendance, Man city wana washabiki kweli? ahaaha.
IMG_20230524_232840.jpg
 
Ukubwa wa arsenal uko wapi ?

Mnasema mnahistoria ,arsenal ina historia gani barani ulaya ?

Ni kitu gan mlishafanya ulaya dunia nzima ikasema yes ?

Arsenal ni timu ndogo mnoo ,Toka inaanza imecheza final Moja ya CL ,Haina historia yeyote ulaya ,...

Mara ya mwisho mmegongwa 10 -2 na buyern munich kwenye hio CL mnayokimbilia saizi ,...

Na bado Hao madogo mlionao mwaka kesho mnaenda kunyooshwa magoli ya kutosha huko CL ,..

Labda histori ya mashoga ,maana huko training ground kina lacazete wameacha historia ya kutiana ,kupiga pumbu wanaume wenzao kina viela,....malinda hawana kabisa wale madogo , lacazete sio mtu mzuri
Ila inawanyima usingizi ndo ujiulize Sasa
 
Ila inawanyima usingizi ndo ujiulize Sasa
Wamshukuru arteta kuja kuwasaidia team inanuka ushoga , lacazete alikuwa anawapiga pipe wale madogo mpaka huruma ndio maana unawaona kama wala unga wachezaji wa arsenal ....

Kutwa kuchezea dushe la lacazete,training ,changing room kote kulikuwa kunanuka kupigana machine tu ,ndioo maana wanachama cha #gunnergay ...hii team kuishabikia lazima uwe huna akili mzee

Sasa mtu team yake iko na ..

Epl 3

Uefa 0

Final za UEFA 1

Fa 14

Anakwambia inahistoria ,team kama hii haijawahi fanya kituuu chochote balani ulaya , buyern ,Barcelona , madrid zimeidhalilisha hii team mpaka huruma ,mpaka mashabiki wanajinyonga masikin ya Mungu ,mara ya mwisho kuchukua epl 2003/2004......fanbase ya nyoko labda

Team Ina followers 26m Instagram ,tweeter , Facebook,..kangalie team kubwa dunia buyern ,real Madrid ,ac Milan ...ndio utajuaa nin maana ya fan base ...


Arsenal ni small team kama Everton tu ...msituchoshe akili #gaygunner nyie
 
Yaah! sure timu inachukua makombe lakini haiwezi kujaza uwanja, timu haina supporters. can't sell out, low attendance, Man city wana washabiki kweli? ahaaha.View attachment 2633834
Kwamba uwanja wa Emirates unazid atmosphere ya bernabeu

Yaan arsenal anajaza uwanja kuzid anfield, bernabeu...

Hio Emirates ni uwanja Hauna historia yeyote,
 
Yaah! sure timu inachukua makombe lakini haiwezi kujaza uwanja, timu haina supporters. can't sell out, low attendance, Man city wana washabiki kweli? ahaaha.View attachment 2633834
Si unaona Sasa, imejaa plastic fans tu yaani watalii na washabiki wafuata upepo tu ila sidhani kama Ina washabiki hata million 1 Dunia nzima.

Ila eti ni timu kubwa ya kulinganisha na Arsenal? Hahahhaa
 
Back
Top Bottom