Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] arsenal ina mashabiki wendawazimu kwelii, unaongelea mataji 13 ambayo toka mwaka 1990 mpaka 2023 ni 3 tu mmeshinda haya mengine ni enzi za ujima[emoji23][emoji23] . 1990-2023 ni takribani miaka 33 una mataji 3 , man city toka 2010 -2023 ni takribani miaka 13 na ana ligi 7 . Katika miaka 33 iliyopita arsenal ana ligi 3 na man city ana ligi 7 then unafanya comparison ya man city na arsenal kwelii . Mashabiki wa arsenal wengi ni wendawazimu kwelii
Ujima ndio Nini? Arsenal ipo kabla hata ya vita kuu ya kwanza ya Dunia Sasa kwa kuwa umezaliwa juzi huwezi potezea rekodi za nyuma. Hiyo man City licha ya kuwekeza mabilioni imetuzidi kombe Gani taja Moja tu mjadala uishe.
 
Na ndiyo maana wanapambana wabebe UCL ili waingie kwenye orodha ya timu kubwa, huwezi kuwa mkubwa halafu huna kombe la wakubwa, hapo ulipo ukibishana na shabiki wa Nottingham Forest au Aston villa lazima akushinde mana makombe yote uliyonayo yeye kabeba ila yeye akikuonesha UCL tu huna la kumjibu.
Kama PSG na Man City hawana UCL what's the difference na Arsenal if at all sisi ni timu ndogo?

Ni hivi man City haituzidi kombe lolote lile, Haina fan base hata 10% ya Arsenal, hawana Mapato kama ya Arsenal, hawana mafanikio kama Arsenal, hawana history kama arsenal. So kwa parameter zote hizo hakuna kitu Man City wametuzidi so far.
 
Tumekuja kwasababu nyie pia huwa mnakuja kule kwetu na vihere here vyenu, na hatutoki hapa mpk mtuambie kwnn mliamua kuongopea dunia kwamba nyie ni MATAITO KUNITENDA [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Muendelee kubaki mpaka siku muone tukibeba Mataji Tena. The project is just beginning
 
Hamna kitu Pep anatumia pesa ndio maana kafundisha Barca, Bayern na Man City akitoka hapo ataenda PSG. Ila akiwa na timu yenye bajeti kama spurs au Atletico Madrid hawezi lolote.

So Man City wameshinda Mataji kwa kutumia advantage ya Hela na ndio maana wanachunguzwa natumaini adhabu Yao itakua kali Ili huu upuuzi ukomeshwe.
Lia sana makalio wewe [emoji23][emoji23][emoji23]taja timu ambayo haitumii pesa
mancity-20230521-0016.jpg
 
Kama PSG na Man City hawana UCL what's the difference na Arsenal if at all sisi ni timu ndogo?

Ni hivi man City haituzidi kombe lolote lile, Haina fan base hata 10% ya Arsenal, hawana Mapato kama ya Arsenal, hawana mafanikio kama Arsenal, hawana history kama arsenal. So kwa parameter zote hizo hakuna kitu Man City wametuzidi so far.
Sasa kama mnamapato kwanin mnalia hamna pesa [emoji23][emoji23][emoji23]

Au hayo mapato ni makalio yako
 
Hamna kitu Pep anatumia pesa ndio maana kafundisha Barca, Bayern na Man City akitoka hapo ataenda PSG. Ila akiwa na timu yenye bajeti kama spurs au Atletico Madrid hawezi lolote.

So Man City wameshinda Mataji kwa kutumia advantage ya Hela na ndio maana wanachunguzwa natumaini adhabu Yao itakua kali Ili huu upuuzi ukomeshwe.
Man city ni team kubwa mnoo ,haiwezi kufungiwa na sababu za kijinga ambazo hazina ushahidi ,tulete kikosi cha man city hapa na kiasi cha pesa walichotumua kusajili tulinganishe na vilabu vingine pale uingereza [emoji23][emoji23][emoji23]

Wewe ni mpumbavu tu ....

Team ya dunia ,inayotikida uingereza Kwa Sasa na kila Kona ya dunia mpaka mbinguni ,haiwezi kuguswa na vijisababu vya kijinga kama vilee[emoji23][emoji23][emoji23]

Kulala chuma hicho kunguni wewe ...
View attachment 2631979
 
Kama PSG na Man City hawana UCL what's the difference na Arsenal if at all sisi ni timu ndogo?

Ni hivi man City haituzidi kombe lolote lile, Haina fan base hata 10% ya Arsenal, hawana Mapato kama ya Arsenal, hawana mafanikio kama Arsenal, hawana history kama arsenal. So kwa parameter zote hizo hakuna kitu Man City wametuzidi so far.
Unasemaje wewe kalio [emoji23][emoji23][emoji170][emoji170]
FB_IMG_16847813016692517.jpg
 
Haya ndio makombe ya epl ,maana epl imeanza mwaka 1992 ,,hayo mangine before jesusu Christ wapelekee Wana historia wakasome [emoji23][emoji23]

Source : England premier league View attachment 2631990
Hata UCL imeanza 1990s!! punguzeni utoto na ulimbukeni. Hiyo ni rebranding tu in fact zamani timu zilikua zaidi ya 22 so ilikua competitive zaidi kuliko Sasa.

Plastic fans, I can't wait adhabu ya FIGC mfutiwe kabisa usajili ligi kuu.
 
Man city ni team kubwa mnoo ,haiwezi kufungiwa na sababu za kijinga ambazo hazina ushahidi ,tulete kikosi cha man city hapa na kiasi cha pesa walichotumua kusajili tulinganishe na vilabu vingine pale uingereza [emoji23][emoji23][emoji23]

Wewe ni mpumbavu tu ....

Team ya dunia ,inayotikida uingereza Kwa Sasa na kila Kona ya dunia mpaka mbinguni ,haiwezi kuguswa na vijisababu vya kijinga kama vilee[emoji23][emoji23][emoji23]

Kulala chuma hicho kunguni wewe ...
View attachment 2631979
Plastic fans, sports washing ya waarabu kama PSG tu hamna kingine. Ushahidi wa emails upo, mmehamisha pesa kimagendo Ili kuinflate Mapato ya klabu. Mtanyooshwa tu mbona Juve alishushwa daraja nyie ni mna historia kama ya Juve ulaya?!

Plastic cunts, man City Haina hata washabiki laki 1 Dunia nzima so most of you are plastic fans with no history or legacy.
 
Kuna watu wanateseka humu kwn?

Kwn kuna mtu alikulazimisha kushangilia team za comedy wazee?.

Acheni kujipeni strees mnabishana ujinga kama kina hamis77 mnaonekana mwehu.. Team sio mzaz au nn kama unaona itakuua hama.. Acha kukaza fuvu mwshoe upate kisonono wakuu.

Tunawakaribisha#TheCityzens wazee wa kupress na kuoverload.

Sasa team ndo msimu wake mzr imeenda Trophyless na kelele zote zile kwl?.. Arsenal kuja tena beba kombe la maana sijui ni lin..kama huyu Arteta ndo wanamuona ni Master tactician ambaye hana mpinzan [emoji23].
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] arsenal ina mashabiki wendawazimu kwelii, unaongelea mataji 13 ambayo toka mwaka 1990 mpaka 2023 ni 3 tu mmeshinda haya mengine ni enzi za ujima[emoji23][emoji23] . 1990-2023 ni takribani miaka 33 una mataji 3 , man city toka 2010 -2023 ni takribani miaka 13 na ana ligi 7 . Katika miaka 33 iliyopita arsenal ana ligi 3 na man city ana ligi 7 then unafanya comparison ya man city na arsenal kwelii . Mashabiki wa arsenal wengi ni wendawazimu kwelii
Tena vichaa kweli kweli [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom