zitto junior
JF-Expert Member
- Oct 7, 2013
- 22,757
- 36,291
Man City Ina washabiki wangapi? Fan base ya timu ndio mtaji. Man City ni timu mbovu iliyobebwa na waarabu so Haina washabiki hata laki 1 Dunia nzima however arsenal Ina washabiki mamillioni hata kabla ya vita kuu za dunia.Nikurahisishie kidogo maana arsenal fans ni vituko na wendawazimu yaaani ni kwamba baada ya uhuru wa Tanganyika mpaka sasa Arsenal ana ligi 6 na man city ana ligi 7. Wewe umeanza kushabikia mpira before uhuruama? Ipi timu kubwa hapo
By the way niambie kitu kimoja tu ambacho Man City Wanatuzidi so far?! Licha ya wao kutumia mabilioni but hawafikii mafanikio ya Arsenal mpaka Leo hii.


